Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Noma sana..mimi nakumbuka kuna bro mmoja nilivyopona akaniambia ni "muda sasa wa wewe kutafuta demu na umwambie kabisa kuwa kisu chako ni kipya"..naikumbuka sana hiiKuna raha yake ya kutahiriwa ukiwa mkubwa, ila adha yake pia ni hatari.
Kulala uchi huku mkuyenge ukipigwa na upepo usiku kucha ni noma aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]