Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Kuna raha yake ya kutahiriwa ukiwa mkubwa, ila adha yake pia ni hatari.

Kulala uchi huku mkuyenge ukipigwa na upepo usiku kucha ni noma aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Noma sana..mimi nakumbuka kuna bro mmoja nilivyopona akaniambia ni "muda sasa wa wewe kutafuta demu na umwambie kabisa kuwa kisu chako ni kipya"..naikumbuka sana hii
 
Noma sana..mimi nakumbuka kuna bro mmoja nilivyopona akaniambia ni "muda sasa wa wewe kutafuta demu na umwambie kabisa kuwa kisu chako ni kipya"..naikumbuka sana hii
Kuna jamaa mmoja alikuwa mkubwa kipindi hicho mimi nilikuwa na miaka 9, alipopona kidonda baada ya kutahiriwa akaenda kutest kwenye papuchi ya ng'ombe kama mkuyenge umeimarika kwa kazi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..Hii noma sana..
Kuna jamaa mmoja alikuwa mkubwa kipindi hicho mimi nilikuwa na miaka 9, alipopona kidonda baada ya kutahiriwa akaenda kutest kwenye papuchi ya ng'ombe kama mkuyenge umeimarika kwa kazi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna jamaa mmoja alikuwa mkubwa kipindi hicho mimi nilikuwa na miaka 9, alipopona kidonda baada ya kutahiriwa akaenda kutest kwenye papuchi ya ng'ombe kama mkuyenge umeimarika kwa kazi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Chief nakumbuka mimi nimetahiriwa nina miaka 17 nikiwa nimesimama, hosp ya jeshi Kiabakari, nilivyorudi nyumbani sikusema asubuhi nikaamkia shamba niliweza kulima japo walinigundua kwa baadaye sana baada ya kuniona natembea upande upande.
 
Tukae pembeni kweli..kuna zile jamii inabidi hadi usubirie wenzako wakue ndo mpelekwe jando..

Tena haiwezi kutokea ukatahiriwa kabla ya kaka yako au mtahiriwe pamoja. Lazima mkubwa atangulie kwanza.

Na mie ni kwenye kundi hilo hilo la miaka 14, tena baada ya kulazimisha sana.
 
Chief nakumbuka mimi nimetahiriwa nina miaka 17 nikiwa nimesimama, hosp ya jeshi Kiabakari, nilivyorudi nyumbani sikusema asubuhi nikaamkia shamba niliweza kulima japo walinigundua kwa baadaye sana baada ya kuniona natembea upande upande.
Ina maana ulijipeleka mwenyewe kutahiriwa kwa siri...?

Endapo usingefanya hivyo, wazazi wasingekupeleka kutahiriwa?

Ulivaa nguo za aina gani baada ya kutahiriwa kiasi kwamba usijulikane mapema, sisi mtu ukishatahiriwa unabaki kuvaa nguo moja tu(shati au t-shirt) halafu unajifunga shuka rubega kama wamasai. Hii inasaidia usitoneshe kidonda na usisababishe joto ambalo ni hatari kwa kidonda.
 
Mama aliniambia nilitailiwa nikiwa na siku 20 na hali ya huku chini ni inch 6.5 urefu na upana inch 5. Sometimes najisemeaga kama ningetailiwa mkubwa ningekuwa Mandingo na huwa naitaka sana kuwa na hongo la haja. Ila hata hii fresh tu maisha yanaenda.

Kuhusu kibamia: mimi sio mtaalamu sana ila nachoamini kibamia ni kurithi. Ni kama unavyoona watu wengine ni warefu na wengine wafupi. Ukifatilia utakuta mzazi mmoja au shangazi au mjomba ni mrefu/mfupi.

Kama kuna sababu za kisayansi kuhusu kutailiwa na mapena na ukibamia ni vyema mkatutoa tongotongo.
 
Ina maana ulijipeleka mwenyewe kutahiriwa kwa siri...?

Endapo usingefanya hivyo, wazazi wasingekupeleka kutahiriwa?

Ulivaa nguo za aina gani baada ya kutahiriwa kiasi kwamba usijulikane mapema, sisi mtu ukishatahiriwa unabaki kuvaa nguo moja tu(shati au t-shirt) halafu unajifunga shuka rubega kama wamasai. Hii inasaidia usitoneshe kidonda na usisababishe joto ambalo ni hatari kwa kidonda.


Unapaka na tumbaku mbichi kidonda kiwahi kupona. Hapo badala ya ganzi mbapelekwa mtoni mnaoga maji ya baridiiii, hiyo ndio ganzi inayofuatiwa na kisu kikali mno huku unatakiwa uonyeshe ukakamavu usilie.
 
Miaka 12 na sikupata maumivu yoyote zaidi ya nikiamka asubuhi kutokana na wanaume marijali lazima ukiamka asubuhi vyombo viende mnara ndo nilikuwa napata maumivu.

Mwanangu nimemtahiri akiwa na miezi Tisa.
 
Unapaka na tumbaku mbichi kidonda kiwahi kupona. Hapo badala ya ganzi mbapelekwa mtoni mnaoga maji ya baridiiii, hiyo ndio ganzi inayofuatiwa na kisu kikali mno huku unatakiwa uonyeshe ukakamavu usilie.
Sisi wanatolewa asubuhi Alfajiri kwenda kupigwa upepo na kukanyaga umande wakiwa peku peku
 
Sisi wanatolewa asubuhi Alfajiri kwenda kupigwa upepo na kukanyaga umande wakiwa peku peku


Ni hiyo hiyo alfajiri mnayopelekwa mtoni upepo unawapata baraaabara mkiwa peku, mtoni yale maji ya baridi yanakoleza dozi tu.

Kimsingi, Babu alisema inatakiwa mtu akitahiriwa ndio aoe, inachukuliwa kama hatua ya kuingia utu uzima. Ukilia unaweza kukosa mchuchu wakati wa kuoa, kutokulia ilikua inaashiria ushujaa.
 
Kawaida yetu tunatahiri baada ya kubalehe above 14 bila ganzi, na unasimama mwenyewe ukiwa umeshika sime na mkuki. Na wengi wetu tuna mikuyenge ya kutosha ila na vibamia wapo wengi tu, hivyo kutahiri mapema au kuchelewa vina mchango kidogo kwenye suala la ukuaji wa uume
 
Ina maana ulijipeleka mwenyewe kutahiriwa kwa siri...?

Endapo usingefanya hivyo, wazazi wasingekupeleka kutahiriwa?

Ulivaa nguo za aina gani baada ya kutahiriwa kiasi kwamba usijulikane mapema, sisi mtu ukishatahiriwa unabaki kuvaa nguo moja tu(shati au t-shirt) halafu unajifunga shuka rubega kama wamasai. Hii inasaidia usitoneshe kidonda na usisababishe joto ambalo ni hatari kwa kidonda.
Yes nilijipeleka mwenyewe, wale wanataka mpaka uwe na 18, nakumbuka nilivaa kaptula ya Jezi so ilikuwa laini nilivaa kwenda na kurudi na wakati wote wa kuuguza, nilienda natembea na nikarudi natembea haikuwa mbali ni kama km 2 ganzi ilianza kukata nafika nyumbani.
 
Ni hiyo hiyo alfajiri mnayopelekwa mtoni upepo unawapata baraaabara mkiwa peku, mtoni yale maji ya baridi yanakoleza dozi tu.

Kimsingi, Babu alisema inatakiwa mtu akitahiriwa ndio aoe, inachukuliwa kama hatua ya kuingia utu uzima. Ukilia unaweza kukosa mchuchu wakati wa kuoa, kutokulia ilikua inaashiria ushujaa.
Hata sisi tulikuwa tunaambiwa ukitahiriwa ndio unakuwa kwenye utu uzima na hapo unafundishwa ujasiri wa mambo mbalimbali ambapo ndio wanapaita Jandoni
 
Back
Top Bottom