BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Siku ya nane hatakuwa na kibamia ila ukizidisha hapo itabidi usubiri hadi akueWeee siku ya nane!!!? Atakuwa na kibamia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ya nane hatakuwa na kibamia ila ukizidisha hapo itabidi usubiri hadi akueWeee siku ya nane!!!? Atakuwa na kibamia
Ok miaka 15 ,ulikua unajitambua kabisa form 1or 2 ?safii, mi Bado sina mtoto.Yaweza kuwa kweli, mimi mwenyewe nilikatwa chululu nikiwa na miaka 15, ndio maana sina tatizo la ufupi wake, kwani wewe una watoto wangapi ??
Yaani, mimi ntasubiri wakue kabisa, kwanza namuonea huruma mtoto mdogo na kumtahiri tena dah😒Yeah! Akiwa mdogo unamuweka kwa Team Kiba.
Pole sana, unapitwa na mengi, kumiliki watoto kuna raha yake, una mume ?Ok miaka 15 ,ulikua unajitambua kabisa form 1or 2 ?safii, mi Bado sina mtoto.
Hongera kwa raha hiyo, miye bado kwa sasa, not marriedPole sana, unapitwa na mengi, kumiliki watoto kuna raha yake, una mume ?
Kumbe, mm nikawa najua ata siku ya 8 atakuwa na kipisiSiku ya nane hatakuwa na kibamia ila ukizidisha hapo itabidi usubiri hadi akue
mrembo wangu umepotea sana jaman! Uko nchini kweli?I'm also here to learn....., naskia inabidi asiwe mdogo sana chululu yake itakua fupi akaja kuchekwa na wakwe baadaye.
My babe, nipoo nilikua na kihoma kidogo, naishia kuingia kusoma na kutoka, vipi lakini za sikuu?mrembo wangu umepotea sana jaman! Uko nchini kweli?
Pole sana my chwitii,.tha mbona hujanambia that ur ill my lolo 😍😍😍 me missin you baddd oohh!!!My babe, nipoo nilikua na kihoma kidogo, naishia kuingia kusoma na kutoka, vipi lakini za sikuu?
Sisi mabaharia tushajua unakoendea acha uhuni wewePole sana, unapitwa na mengi, kumiliki watoto kuna raha yake, una mume ?
Wewe ni team kiba😏😏😏Dah! Nilitahiriwa nikiwa darasa la tatu!
Mtoto wangu nitamtahirisha akiwa secondary kabisa!
Mimi ni Team Mond, Team Captain.Wewe ni team kiba[emoji57][emoji57][emoji57]
Are you serious?Atajitahiri mwenyewe akitaka kuoa
Me nitamtahiri siku nane or 12 years.Usimpleleke jando mapema mpaka afike 18 maana akibalehe ataanza usumbufu ,akiwa ana govi mawenge ya kwa vibinti yanakuwa sio sana
Kuhusu umri not so sure ila bila shaka miaka mitatu,minne hadi sita ila isizidi kumi sio mbaya coz sisi kipindi hicho tulicheza humo......
Jamani wadau nisaidieni mwenye kujua haya mambo, ni umri upi unaoshauriwa kitaalamu kumtahiri mtoto wa kiume, na je kuna njia ngapi za kufanya hiyo kitu.
Maana kuna maneno yanasema eti ukimfanyia akiwa bado mdogo kuanzia miaka 0 hadi mmoja eti atakuja kuwa dhaifu katika ile shughuli ya kikubwa, wengine wanasema ukimfanyia kakua ndio hiyo kitu itamtokea akiwa mkubwa
Pia njia ipi ni salama zaidi mimi najua ya kukata na kushonwa naambiwa ipo nyingine yakufunga na plastiki, je ipi ni nzuri?
Nategaemea msaada wenu waungwana, maana kunasehemu nilisoma eti matatizo mengi ya wanaume kushindwa kuwatimizia wepenzi wao tohara isiyo sahihi ni moja ya sababu