Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Kuchelewa hadi 15-18 yrs ina faida kimaumbile, japo hasara kiafya. Inayapa maumbile nafasi sahihi ya kukua, then unatahiri.
Kanda ya ziwa ndio utaratibu wao, na ndio wanasifika kwa maumbile makubwa.
 
ushauri wa wengi humu haujazingatia umuhim wa kumuepusha mvulana wako na aibu ya kibamia. stahili ni kuanzia miaka 5. habar ya dini ni mila tu za watu huko waisrael na waarab
 

Jamani wadau nisaidieni mwenye kujua haya mambo, ni umri upi unaoshauriwa kitaalamu kumtahiri mtoto wa kiume, na je kuna njia ngapi za kufanya hiyo kitu.

Maana kuna maneno yanasema eti ukimfanyia akiwa bado mdogo kuanzia miaka 0 hadi mmoja eti atakuja kuwa dhaifu katika ile shughuli ya kikubwa, wengine wanasema ukimfanyia kakua ndio hiyo kitu itamtokea akiwa mkubwa

Pia njia ipi ni salama zaidi mimi najua ya kukata na kushonwa naambiwa ipo nyingine yakufunga na plastiki, je ipi ni nzuri?

Nategaemea msaada wenu waungwana, maana kunasehemu nilisoma eti matatizo mengi ya wanaume kushindwa kuwatimizia wepenzi wao tohara isiyo sahihi ni moja ya sababu
Kuhusu umri not so sure ila bila shaka miaka mitatu,minne hadi sita ila isizidi kumi sio mbaya coz sisi kipindi hicho tulicheza humo......

What i know binafsi siwezi mtahiri mtoto hospitali yani sijui kushonwa sijui ganzi kwenye hiyo kitu ni BIG NO,niliwahi kupata ajali ya mguu karibu miaka miwili iliyopita nikashonwa ila ile ganzi till now haijapotea ndo iwe huko kwenye hazina kuu kweli? Haya matatizo sijui ya nguvu za kiume sijui na takataka gani huanzia huku....Binafsi sijawahi ona mtu mwenye tatizo la aina hiyo ambaye alipata jando la asili na kama yupo humu atoe ushuhuda.
 
Back
Top Bottom