Umri unaenda, nachanganyikiwa

Usiogope 👏
 
Wee bado mteke sana, lkn bado unalo tumaini.
 
Njoo pm
 
Umejuaje kuwa huna chochote?...
Ni nini kinachokuambia kuwa hivyo unavyovitaja ni vyovyote?..
Mkuu jifunze kutokea ndani yako na siyo nje yako....hayo yote unayoyataja ni elimu uliyomezeshwa nje yako ila ndani yako kuna kila kitu.
................................................................................................................................................................
Nina uhakika wa zaidi ya asilimia 100% kuwa pamoja na hayoyote uliyoyataja kuna wakati unakisikia ndani yako vizuri na hapo ndipo ulipo " ni wewe" patumie vizuri.
 
Huyo Yabesi akamlingana Mungu wa Israeli, akisema, Lau kwamba ungenibariki kweli kweli, na kuipanua mipaka yangu, na mkono wako ukawa pamoja nami, nawe ungenilinda nisipatwe na maovu wala madhara! Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…