Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Kwani lazima ufanye mapenzi mkuu si uache tuHabari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10.
Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni, nini nifanye kuondokana na adha hii inanitesa sana.
🤣🤣🤣🤣God forbidKilo77
Dakika 17-24 ndiyo standard,huyo mwamba ana shida,aende muhimbili kuna kitengo hichoDakika 5 ni standard wala sio tatizo
Wauza vumbi wamekuja na sera mpya ya kupotosha watu ili dawa zao ziuzike.
Na hii inakuja kupewa nguvu na watu ambao wako kwenye abyss na pornografía.
Wanajifananisha wao na hao ma pornstar na kuona kama wao hawana uwezo kwasababu hao ma pornstar wanaenda beyond.
Pole sana zinafanya uwe tegemeziUsije ukatumia Viagra. Utajuta.
Juzi Kati nilikwenda Mloganzila kukawa na promoshon ya dawa za kuongeza nguvu almaaruf Zwagra kutoka Yemen. Dogo kaniambia nichukue tani yangu. Mie nikachukua vibox vitatu ndani Kuna vidonge 2. Nikafika home sikumuambia MTU, siku ya kwanza nikabugia kimoja kutest zali. Kweli mchezo ulikua mtam tukifaidi saana. Siku ya pili nikabugia viwili, mchezo ukawa mtamu ajabu karibia nusu saa tunabadilisha staili tu. Nikawa nimenogewa, siku ya tatu nikanywa viwili Mambo yakawa Moto Mara mbili nikaona na mwenzangu hakai mbali Nami, Upendo Mara mbili, vyakula vitamu tamu tu, siku ya nne nikamalizia kale kamoja Mambo yakazidi kunoga.
Sasa bwana, baada ya kuacha matumizi ya vile vidonge, inachukua romance ya nusu saa nzima ndio abdala astuke. Ikawa hivyo kwa muda wa miezi miwili, abdala kichwa wazi hataki majukumu.
Sasa hivi afadhali Hali ya zamani ya kutwa Mara mbili imeanza kurejea.
Sitakaa niguse mkongo au Viagra. Tangawizi, vitunguu saumu na asali Ni dawa tosha.
je hili ni tatizo la kuzaliwa au umelipata ukubwani? hebu nijibu hapo nikusaidieHabari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10.
Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni, nini nifanye kuondokana na adha hii inanitesa sana.
Mm mbona napanda mnaz kwa kutumia mkono mmoja na sina hilo tatizoHukuwa unajichukulia sheria mkononi?
Nyeto ukiipiga kikawaida haina uhusiano wa moja kwa moja na upingufu wa nguv za kiume. Unless kama unaipiga kavukavu au isivyo kawaida acheni kupotoshaHiyo ndio sababu kuu sema anazunguka sana, hizo case ni nyingi sana ss hivi na chanzo kikuu (Punyeto)
Average ya mwanaume ku ejaculate haiwezi kuwa 17-24.Dakika 17-24 ndiyo standard,huyo mwamba ana shida,aende muhimbili kuna kitengo hicho
Uwanja nashinwa zunguuka nashida ya goti lapush upNo shortcut piga mazoezi sana zunguka uwanja mara 50 asubuh na jion piga pushup 100 kila siku asubuh na jion kunywa maji mengi sana.. kula mboga za majan kwa wingi kula samak kuna matunda kwa wingi.. ndani ya miez 2 hujapona... Rudi tena hapa nin ufanye
Achana na madawa ya kienyeji achana na madaw ya hosp kwa case ndogo kama hyo
Mbona hata nikienda upande wa pili vimichepuko Hali huwa hivi hiviPole sana zinafanya uwe tegemezi
Mkuu muhimbili nshaenda vipindi viwili tofaut kwa ajili ya hii shida nkaonekana Sina tatizoDakika 17-24 ndiyo standard,huyo mwamba ana shida,aende muhimbili kuna kitengo hicho
Unafanya mazoezi,unakunywa soda,kiasia unaspend time kwenye social media,unaangalia pornography?Mbona hata nikienda upande wa pili vimichepuko Hali huwa hivi hivi
Acha kula vyakula vya mafuta na fanya mazoezi,kula nuts na vitamin aMkuu muhimbili nshaenda vipindi viwili tofaut kwa ajili ya hii shida nkaonekana Sina tatizo