Usije ukatumia Viagra. Utajuta.
Juzi Kati nilikwenda Mloganzila kukawa na promoshon ya dawa za kuongeza nguvu almaaruf Zwagra kutoka Yemen. Dogo kaniambia nichukue tani yangu. Mie nikachukua vibox vitatu ndani Kuna vidonge 2. Nikafika home sikumuambia MTU, siku ya kwanza nikabugia kimoja kutest zali. Kweli mchezo ulikua mtam tukifaidi saana. Siku ya pili nikabugia viwili, mchezo ukawa mtamu ajabu karibia nusu saa tunabadilisha staili tu. Nikawa nimenogewa, siku ya tatu nikanywa viwili Mambo yakawa Moto Mara mbili nikaona na mwenzangu hakai mbali Nami, Upendo Mara mbili, vyakula vitamu tamu tu, siku ya nne nikamalizia kale kamoja Mambo yakazidi kunoga.
Sasa bwana, baada ya kuacha matumizi ya vile vidonge, inachukua romance ya nusu saa nzima ndio abdala astuke. Ikawa hivyo kwa muda wa miezi miwili, abdala kichwa wazi hataki majukumu.
Sasa hivi afadhali Hali ya zamani ya kutwa Mara mbili imeanza kurejea.
Sitakaa niguse mkongo au Viagra. Tangawizi, vitunguu saumu na asali Ni dawa tosha.