UN kupinga mradi wa Steigler's Gorge ni uhujumu

Una mawazo ya ujima, kwa vile umeshazoea na kuzoea kuishi kwenye nyumba za koroboi
Maji yanapopungua duniani ndio mradi mkubwa wa hydro unataka kuanzishwa.

Mtera miaka mingi sasa maji hayatoshi, na kama Mtera maji ni tatizo basi kidatu nayo itakuwa kwenye mkumbo huo huo

Mvua kadri miaka inaposonga inazidi kupungua tusije maliza kujenga kisha maji yakawa hayatoshi na hivyo return ikawa ni sawa na ziro

Study ya maji ya miaka ya 70 haiwezi kuwa sahihi kwa sasa kwani kumeshuhudiwa mabadiliko makubwa ya tabia nchi
 
Hiyo nuclear plant unayosema am sure ipo kwenye nchi inayojitegemea kila kitu hivyo UN haina ubavu wa kuinterfere sana sasa nyie kila kitu kukopa kwa wazungu na worldbank alafu wakiwapangia hamtaki!! Kumbuka mikopo mingi ina masharti yake mengineyo yakitaka m-sign makubaliano ya issue za mazingira n.k sasa kwanini wakiisimamia mnaanza mapovu!! Jitegemeeni muone kama watawapangia mambo ila kopa kopa hii imefika trillion 80 alafu mkipangiwa mnalialia ndio nn ssa wakati mliyataka wenyewe

Kingine unasema makaa ya mawe na gesi na SG zitumike zote!!! Are you serious?? Ina maana kipaumbele cha Tanzania ni kufua umeme kwenye kila mradi tena hata kabla wa gesi haujakamilika??? Muhongo tulimsikia wote alisema Gesi ndio suluhu ya tatizo la umeme Tanzania na alisema ile ya kinyerezi itamaliza mgao rasmi ila mpaka leo maeneo mengi dar umeme wa kubangaiza..... Sasa kabla hamjamalizana na gesi ya lindi mshakimbilia Stiegler's gorge ina maana taifa mnakosa vipaumbele !!

Kwanini msimalizane na gesi kwanza alafu ndio muingie kwenye SG.... Au hizo pesa za SG mngewekeza kwenye kilimo hasa cha umwagiliaji ili maisha ya wakulima ambao ndio majority ya Tanzania yakuwe kiuchumi!!! Why hamtuliii mlisema gesi mtauza umeme mpaka DRC afu leo hii mnasema SG ndio kila kitu

Tuwaeleweje
 
Kwa Magu wataula wa chuya! Prezdaa Magu songa mbele baba, kurudi nyuma, mwiko!
Kwa mazuri unayofanya tuko nyuma yako, yale mengine hapana!
Hehehee wakati hao hao anawafuata wamkopeshe hela ya kujenga Reli!! Mnaleta kiburi wakati mnawategemea
 
Tungekuwa na Malengo yetu kama Taifa. Malengo hayo yasingekuwa yanabadilishwa na Political Leaders bali wao wangekuwa wanatakiwa kuyatekeleza kwa kupokezana vijiti. Imagine after 2025 anakuja Political Leader mwingine anaturudisha kwenye Umeme wa Gas wakati Umeme wa Stiglers Gorges haujapatiwa ufumbuzi.
 
Tumemkabidhi lori dereva kipovu na kiziwi twafwaaaaaaaa ?!!!!
 
Mkuu unayosema ndiyo mnayolishwa na wazungu myakariri ili msiendelee ku think outside the box.
Google The Roosevelt Dam huko Marekani lilojengwa miaka ya 1910.
Mkuu hilo ndo wazungu wanapenda ulikariri ili usiendelee daima.
Amka usingizini.
 
Mambo niliyosikia kuhusu gesi,Leo hakuna mtu atakayeniaminisha kuna mradi mwingine wowote eti utamaliza matatizo ya nishati!Wanasiasa ni waongo na matapeli wakubwa!
Tuongee mambo mengine na si utapeli tapeli sijui UN sijui umeme..suluhisho la nishati!Utapeli tu!
 
Mambo muhimu yanajadiliwa kisiasa na kiumbeaumbea no fact zozote zenye mashiko. Hebu mleta hoja unaye pinga ya UN njoo na point zenye mashiko za kuwapinga Hawa wakoloni UN.
NInavyohisi hakuna haja ya kuja na chochote. Hilo gazeti kama limeandika hayo, basi mwandishi hajitambui. Au, aliyesoma hajui walichokiandika. UN haijawahi kujihusisha na mambo kama hayo. UN chombo kipi? Baraza la usalama? Kitu gani kinachoitwa UN?
 
Bro, mbona unaongea upuuz? Kwaakili yako unadhani upo uwezekano wa kuyafanya yote hayo kwa pamoja?...kijana jifunze siasa za kinataifa..... Na usijifnye unjua sanaaa? Kumbe mpuuz tu
 
Mkuu usipende kubisha kwa sababu una hobby hiyo!
Usha wahi kusikia mpango wa msaada mkubwa kwa Ulaya toka Marekani baada ya WWII iitwayo Marshal Plan?
 
Soma vizuri uelewe ndo utusimulie. UN ni nini? Tangu lini UN ikafanya hayo? Ndani ya UN kuna vyombo vingi, ni kipi kilicholeta hayo?
 
Mkuu unayosema ndiyo mnayolishwa na wazungu myakariri ili msiendelee ku think outside the box.
Google The Roosevelt Dam huko Marekani lilojengwa miaka ya 1910.

Mkuu hilo ndo wazungu wanapenda ulikariri ili usiendelee daima.
Amka usingizini.
Mkuu tujadiliane kwa uhuru na amani bila kushutumiana au kukashfiana maana hatushindani

Kupungua kwa maji Mtera wanalisema wazungu?

Mito mingi ya zamani haipitishi maji tena nalo unataka kuwasingizia wazungu?

Tunahitaji kufanya study tena 2100Mw ya miaka ya 70 hauwezi kuwa leo, vitu vingi vimebadilika na vitaendelea kubadilika
 
NInavyohisi hakuna haja ya kuja na chochote. Hilo gazeti kama limeandika hayo, basi mwandishi hajitambui. Au, aliyesoma hajui walichokiandika. UN haijawahi kujihusisha na mambo kama hayo. UN chombo kipi? Baraza la usalama? Kitu gani kinachoitwa UN?
Haya mzee hebu jinafasi, kwa wewe unayejua kila kitu!
 
View attachment 701334
Haya mzee hebu jinafasi, kwa wewe unayejua kila kitu!
Hiyo ni heading ya gazeti. Soma ndani uelewe wana maana gani? UN mkuu wake ni Secretary general. Baraza la usalama lina mkuu wake anaitwa rais. Ukisoma ndani lazima utagundua uzembe wa msomaji. UN as UN ni chombo cha kisiasa, haiwezi kuzungumzia ujenzi wa bwawa. Never! Au ni UNESCO, Au ni UNEP au nini????....
 
Mkuu usipende kubisha kwa sababu una hobby hiyo!
Usha wahi kusikia mpango wa msaada mkubwa kwa Ulaya toka Marekani baada ya WWII iitwayo Marshal Plan?
Usikimbilie mambo ya marekani kublack mail mataifa na vijimsaada uchwara ili yasiangukie Soviet union...hiyo haina uhusiano wowote na Tanzania kutokuwa na vipaumbele

Mlisema gesi itamaliza shida ya umeme tena mtauza mpaka DRC sasa kelele zile zimeishia wapi mpaka leo hii mseme SG ndio habari ya mujini???

Kingine unasema wazungu hivi wazungu vile..... Nachoshangaa mmesign mikataba mingi sana mkuu ambayo inawafanya muwe eligible kupata misaada flani sasa kwa kuwa nyie ni wakopaji miaka yote mmeshajifunga kwenye treaty za ajabu ajabu kuanzia za utawala bora mpaka mazingira sasa wakiisimamia kwanini mnaanza kelele??

Nilitegemea wwe kma mtu makini (i believe so) ungeweka hapa findings za UN kabla hujaconclude sio mnasema tu UN blah blah hku am sure taarifa kamili au ripoti hujaisoma mnalipeleka wapi taifa kila kitu kujifanya mnajua sana ilihali hao hao UN mnaowaponda ndio wanawafanya muwe eligible kupokea misaada ya mataifa makubwa na world bank!!!

Kama taifa tujikite kwenye mradi mmoja whether UN is right or wrong..... Gesi tumalizane nayo meanwhile tuinue kilimo na uvuvi etc uchumi ukuwe sio mkapa makaa ya mawe.. kikwete gesi.... Magu SG alafu awamu ya tano waseme SOLAR!!! Ndio nini hki sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…