UN kupinga mradi wa Steigler's Gorge ni uhujumu

UN kupinga mradi wa Steigler's Gorge ni uhujumu

Ndio maana nimekuuliza ili uweze kufikiria steps mbili au tatu mbele.
Jiulize kwamba wakoloni walipoondoka Tanzania walikufa au?
Na interests zao zilikoma?
Kuwa na Aggreko na Dowans ni kielelezo tu cha interests za hao wakubwa.
Kesho inaweza ingia kampuni lenye jina tofauti.

Mwafrika, kila mtu anataka upumbazwe ili daima ubaki tegemezi.
Na ukiwa tegemezi, umeshatawaliwa upya.
Na ndio maana nili-restructure swali langu kwamba kama sio Aggreko na Dowans basi ni makampuni yao gani walikuwa wanayalinda enzi za Mwalimu?

Na kama sio makampuni, ni maslahi yao yapi waliyokuwa wanayalinda enzi za Mwalimu?

Au labda tu nikukumbushe kama umesahau au nikujuze kama hujui!

Rais Reagan wa US aliwahi kuitoa US from UNESCO kwa madai kwamba UNESCO wanai-favor Soviet over the United States!

Ni juzi juzi tu hapa Rais Donald Trump nae ametishia kuitoa US from UNESCO (baada ya kutolewa na Reagan, ilirudishwa na Bush) over Jerusalem saga huku Israel nayo ikitangaza kumuunga mkono Trump kujitoa from UNESCO!

Kwahiyo hayo madai yako hayana msingi wowote na yameshazoeleka duniani kutokana na misimamo ya UNESCO!
 
Usichokijua ni kuwa gesi YOTE ILISHAUZWA. na gharama ya umeme wa Gesi ni kubw amno kwa sasa maana gesi sio yetu..
Ges ni madini? sheria mpya ina ruhusu kupitia upya mikataba, na madini ni mali ya serikali au taifa sasa sijaelewa hapo mkuu...? ameuziwa kwa muda gani? aliye nunua ni mtanzania?
 
Eti mwanasiasa.... Nachosema tuwe na vipaumbele maana nchi yetu ni maskini nmetoa mfano kwani umeme wa gesi ya mtwara na lindi si mlisema inaweza kumaliza shida ya umeme tena tukauza hadi DRC ama sio professor muhongo aliosema haya ????

Kama kuna mradi wa umeme wa gesi basi pesa inayobaki ifanye kazi zingine either iende REA ambayo still inaweza fund kilimo cha umwagiliaji na sio lazima mpaka Stiegler's gorge cjui kwanni unakariri mambo

REA needs funding.... Irrigation needs funding hivyo tufanye mradi mmoja baada ya mwingine sio overlapping wakati kanchi maskini haka na mahitaji ni mengi kuliko pesa hivyo sio economic kuanzisha miradi miwili mikubwa ya umeme ilihali kuna mambo mengi yamelala yanasubiri funding

Kilimo cha umwagiliaji kitatumia REA ambayo source inaweza kuwa bado umeme wa gesi ssa wapi nmesema bila Stiegler's gorge basi ndio kilimo cha umwagiliaji hakiwezekani au na wwe umekuwa mwanasiasa kusema Stiegler's gorge ndio mwarobaini wa nishati ya umeme ilihali mlisema gesi ndio mwarobaini

Nlikuona mtu makini kumbe walewale tu
Ninachokiona nabishana na mtu ambaye hatuko kiwango kimoja. Unachoeleza hakielweki na unahangaika na vijineno vya wanasiasa. Mabishano kama haya ni mazuri kama tungekuwa na uelewa wa kiwango kimoja.
 
Tuendelee na yetu na wao wabaki na ya kwao.

Ninaunga mkono 100% kuendelezwa kwa mradi huu mkubwa. Mbona kwenye kuchumba madini huko Mikoa ya mwanza, Mara na Arusha na Shinyanga na Uraniam huko Bahi dodoma hawaoigi kerere wakati wanajua kwamba Chanzo kikuu cha Maji wanayotumia Mkoa wa Dodoma kipo huko huko wanapochimba hayo madini. Mbona hawapigi kerere pale wananchi wanapokufa kwa kemikali za zumu zinazotililishwa na Migodi mikubwa ya Canada hapa nchini.

Tumewachoka sasa Watuache tu.
 
Ninachokiona nabishana na mtu ambaye hatuko kiwango kimoja. Unachoeleza hakielweki na unahangaika na vijineno vya wanasiasa. Mabishano kama haya ni mazuri kama tungekuwa na uelewa wa kiwango kimoja.
Usikimbie mada wewe ulisema SG ndio solution

Mimi nkasema hapana walishasema gesi ndio suluhu ya umeme hivyo kuliko kufua umeme mara mbili tuwekeze pia kwenye miradi mingine

Nkshauri pesa ya stiegler ipelekwe kilimo cha umwagiliaji

Wewe ukajibu utapelekaje kilimo cha umwagiliaji bila umeme na ukasema hence Stiegler's gorge muhim

Ndio nkakujibu umeme utafika kupitia REA kwa hizi hydro zilizopo na gesi ya mtwara na sio lazima mpaka SG iwepo

Sasa kipi hicho ni kigumu kuelewa....
 
Tuendelee na yetu na wao wabaki na ya kwao.

Ninaunga mkono 100% kuendelezwa kwa mradi huu mkubwa. Mbona kwenye kuchumba madini huko Mikoa ya mwanza, Mara na Arusha na Shinyanga na Uraniam huko Bahi dodoma hawaoigi kerere wakati wanajua kwamba Chanzo kikuu cha Maji wanayotumia Mkoa wa Dodoma kipo huko huko wanapochimba hayo madini. Mbona hawapigi kerere pale wananchi wanapokufa kwa kemikali za zumu zinazotililishwa na Migodi mikubwa ya Canada hapa nchini.

Tumewachoka sasa Watuache tu.
Ripoti Umesoma mkuu au headline za gazeti ndio unaitumia kama reference??? Ungesoma kwanza kabla ya kuanza kurusha lawama kwa hao ''wazungu''
 
Nafkir hata mtoa mada hajui undani wa athari za mazingira kwa kuhusianisha pia na mazingira ambayo mradi utajengwa
 
Mradi wa steiglers gorge ni unnecessary na ecological destructive, hilo halina mjadala.

Tuna gesi ambayo mpaka leo iko under utilised.
Tuna makaa ya mawe, the cheapest source of energy tunayoweza kutumia. Its destructive pia lakini on the good side yako kwenye maeneo ambayo ni remote and not in one of the largest protected reserve site in the world.
Tuna uwezo wakuproduce wind energy in a large quantity, ila mpaka leo hakuna any signs ya kuanzisha mradi huo.
Tuna a long coastline yenye uwezo wakutuwezesha kuproduce energy kupitia tidal waves.
Tuna uwezo wa kupower miji mingi midogo Tanzania kwa kutumia umeme wa jua tu.

Ila vyote hivyo hamna mpango navyo au hamtaki kuvitekeleza in full.

Juzi juzi a few years back serikali imetoka kuiomba UN kufanya boundary change ya selous kwa ajili ya uranium mining ambayo in the end itakuja kuproduce a ton of radioactive waste ambayo ita-affect the game reserve.

Hapo hapo kuna swala la ujangili humo kwenye hiyo reserve, kwenye idadi ya tembo wameshuka toka 60,000+ in 2009 mpaka 10,000+ in 2013. Tumekaa tu, wala hakuna serious effort kukabiliana na hilo.

Tena sasa mnataka mjenge a hydro plant ambayo ita-flood a large area of the reserve na kuharibu the ecosystem ya eneo hilo,just from the construction alone.

Yani sisi ni kuharibu haribu tuu...

Hydro plants zetu nyingi if not all, zimetengenezwa wakati wa mkoloni, hivi mnadhani wangeshindwa kujenga hiyo hydro plant kwenye hiyo reserve. Mnadhani ni wajinga sana mpaka wakaamua kuachana na hiyo idea. Tena walikuwa na uwezo both financially na engineering wise, kwasababu kama waliweza kutekeleza a large project such as reli ya kati, project kama hii isingewashinda.

Muda mwingine tusiwe wabishi, natuangalie impact ya vitu tunavyotaka kufanya.
Unajua kuwa Mradi wa steiglers gorge unachukua asilimia tatu tu ya eneo lote sasa kwa nini tusitumie eneo hilo ? si kila lisemwalo na wazungu ni sahihi wakati wao hawana msaadakatika maisha yetu wao ni kila kitu kutukandamiza.
 
Ripoti Umesoma mkuu au headline za gazeti ndio unaitumia kama reference??? Ungesoma kwanza kabla ya kuanza kurusha lawama kwa hao ''wazungu''

Si kila kitu kinachofanywa na serikali ni cha kupinga. ungejua kwa nini Tunalipa Umeme bei juu ungenielewa. Hata kama wana sababu tosha za kimazingira. Hao Wamarekani ndiyo wenye hayo makampuni yanayoinyonya Tanzania kupitia Tanesco kwa mitambo yao ya kuzalisha umeme.

Huwezi hata siku moja ukawa rafiki wa Marekani au Umoja wa ulaya isipokuwa wao wanafaidika/kukuibia kiuchumi.

Rafiki wa kweli kwa Tanzania ni China pekee.

Wote walibaki wanapambana na hali zao za kiuchumi.
 
Mradi wa steiglers gorge ni unnecessary na ecological destructive, hilo halina mjadala.

Tuna gesi ambayo mpaka leo iko under utilised.
Tuna makaa ya mawe, the cheapest source of energy tunayoweza kutumia. Its destructive pia lakini on the good side yako kwenye maeneo ambayo ni remote and not in one of the largest protected reserve site in the world.
Tuna uwezo wakuproduce wind energy in a large quantity, ila mpaka leo hakuna any signs ya kuanzisha mradi huo.
Tuna a long coastline yenye uwezo wakutuwezesha kuproduce energy kupitia tidal waves.
Tuna uwezo wa kupower miji mingi midogo Tanzania kwa kutumia umeme wa jua tu.

Ila vyote hivyo hamna mpango navyo au hamtaki kuvitekeleza in full.

Juzi juzi a few years back serikali imetoka kuiomba UN kufanya boundary change ya selous kwa ajili ya uranium mining ambayo in the end itakuja kuproduce a ton of radioactive waste ambayo ita-affect the game reserve.

Hapo hapo kuna swala la ujangili humo kwenye hiyo reserve, kwenye idadi ya tembo wameshuka toka 60,000+ in 2009 mpaka 10,000+ in 2013. Tumekaa tu, wala hakuna serious effort kukabiliana na hilo.

Tena sasa mnataka mjenge a hydro plant ambayo ita-flood a large area of the reserve na kuharibu the ecosystem ya eneo hilo,just from the construction alone.

Yani sisi ni kuharibu haribu tuu...

Hydro plants zetu nyingi if not all, zimetengenezwa wakati wa mkoloni, hivi mnadhani wangeshindwa kujenga hiyo hydro plant kwenye hiyo reserve. Mnadhani ni wajinga sana mpaka wakaamua kuachana na hiyo idea. Tena walikuwa na uwezo both financially na engineering wise, kwasababu kama waliweza kutekeleza a large project such as reli ya kati, project kama hii isingewashinda.

Muda mwingine tusiwe wabishi, natuangalie impact ya vitu tunavyotaka kufanya.
Mbona unalalamika tu, Nini solution, lete mpango kazi
 
Huu ni mradi wetu ,pia sisi tunaowataalam wa mazingira hivyo hatuna budi kuimarisha na kujenga cha kwetu

Rais pambana tuujenge mradi huo
 
Si kila kitu kinachofanywa na serikali ni cha kupinga. ungejua kwa nini Tunalipa Umeme bei juu ungenielewa. Hata kama wana sababu tosha za kimazingira. Hao Wamarekani ndiyo wenye hayo makampuni yanayoinyonya Tanzania kupitia Tanesco kwa mitambo yao ya kuzalisha umeme.

Huwezi hata siku moja ukawa rafiki wa Marekani au Umoja wa ulaya isipokuwa wao wanafaidika/kukuibia kiuchumi.

Rafiki wa kweli kwa Tanzania ni China pekee.

Wote walibaki wanapambana na hali zao za kiuchumi.
Wapi nmepinga?? Mimi nimeuliza hiyo ripoti ambayo mtoa mada anadai UN imepinga mradi wa stiegler umeisoma

Je sababu gani walizoainisha?? Kwanni hamjadili walichosema UN mnakimbilia tu kusema mara ooh wazungu hivi cjui wazungu vile!!!

Tujifunze tabia ya kusoma kabla ya kuchangia mada nzima sijaona mtu akichanganua maelezo ya UN ukiwemo wwe ila ndio mnaongoza kwa kuwaponda humu

Tubadilike
 
Wapi nmepinga?? Mimi nimeuliza hiyo ripoti ambayo mtoa mada anadai UN imepinga mradi wa stiegler umeisoma

Je sababu gani walizoainisha?? Kwanni hamjadili walichosema UN mnakimbilia tu kusema mara ooh wazungu hivi cjui wazungu vile!!!

Tujifunze tabia ya kusoma kabla ya kuchangia mada nzima sijaona mtu akichanganua maelezo ya UN ukiwemo wwe ila ndio mnaongoza kwa kuwaponda humu

Tubadilike

Nimekuelewa.

Ninachopinga ni pale Wazungu wanapotaka kututawala hata katika mipango na mawazo yetu ya maendeleo. Tupingane katika siasa. Lakini tutapofika kwenye maendeleo ambayo hayana UCCM wala Uchadema Tubaki wote kuwa Watanzania wenye Nia Moja ya kujikomboa katika Umaskini.

NB: Huyu jamaa yupo nyuma sana katika Democrasia Lakini ni Kinara wa kupiganisa Maendeleo ya Kila Mtanzania.
 
Na ndio maana nili-restructure swali langu kwamba kama sio Aggreko na Dowans basi ni makampuni yao gani walikuwa wanayalinda enzi za Mwalimu?

Na kama sio makampuni, ni maslahi yao yapi waliyokuwa wanayalinda enzi za Mwalimu?

Au labda tu nikukumbushe kama umesahau au nikujuze kama hujui!

Rais Reagan wa US aliwahi kuitoa US from UNESCO kwa madai kwamba UNESCO wanai-favor Soviet over the United States!

Ni juzi juzi tu hapa Rais Donald Trump nae ametishia kuitoa US from UNESCO (baada ya kutolewa na Reagan, ilirudishwa na Bush) over Jerusalem saga huku Israel nayo ikitangaza kumuunga mkono Trump kujitoa from UNESCO!

Kwahiyo hayo madai yako hayana msingi wowote na yameshazoeleka duniani kutokana na misimamo ya UNESCO!
You dont seem to grasp the underlying facts behind the UN smoke screen.
UN is a big man's tool, so designed to serve their interests.
There is no simpler explanation than this.
 
Nafkir hata mtoa mada hajui undani wa athari za mazingira kwa kuhusianisha pia na mazingira ambayo mradi utajengwa
Endelea kufikiri kwa umakini zaidi ili ujiridhishe effects kwa mazingira kwa miradi mikubwa kama Three Gorges Dam, China, Aswan High Dam, Egypt, Akosombo Dam Ghana, na mengine mengi.
Unaridhika kunyanyapaliwa na UN, na wewe ndo unajinyanyapaa kuzidi.
 
Tenà UN wafute miradi ya kipumbav yote kwani kule kwenye upanuzi wa barabara ilikuwaje wakaacha kujenga hizo road wakaishia kubomoa nyumba za wanyonge wa ubungo halafu wale wa mwanza wakaambiwa hawatabomolewa shthole! UN futeni ufadhari wa miradi uchwara yenye faida nyingi kwenye soft copy lakini kwenye uhalisia ni vilio! Futa kabisa nyambafu!.​
 
You dont seem to grasp the underlying facts behind the UN smoke screen.
UN is a big man's tool, so designed to serve their interests.
There is no simpler explanation than this.
Simpler explanation or simpler assumption?! My question was very clear but instead of giving the answer, you been giving "simpler explanation" since then!
 
Back
Top Bottom