ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Acha ushamba rais anahusikaje???Unazungumzia Mbunge wakati Waziri wa Elimu anashinda daslm na Rais yupo hapo hapo wakiamua kwenda hata kwa miguu wanafika..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushamba rais anahusikaje???Unazungumzia Mbunge wakati Waziri wa Elimu anashinda daslm na Rais yupo hapo hapo wakiamua kwenda hata kwa miguu wanafika..
Rais akitoa tamko la kuundwa kikosi kazi au kamati ndio utaelewa hivi kutukana hovyo ni ujanja,?Acha ushamba rais anahusikaje?
Maoni yangu ni kuwa tusiwaze ada Mama Samia ameshalipiaKwa matokeo haya una maoni gani?
Shule ipo Jijini Dar es Salam na siyo Nachingwea.
View attachment 2869779
sio uongo mkuu ni ukweli mtupu hii shule hamna kitu 🤣🤣 kwanza wanafunzi wa kike wana tamaa sana na umalaya na wakiume wanapenda uhuni na usela mavi yaani duh
kingine wana changamoto ya usafiri mpka huruma ndo kinachangia sana wanafunzi kuwa wahuni wanakaa stendi mpka saa 3 usku kusubr gari
Hiyo shule hadi form four wanafanyaga vibaya Sana.Ngoja tuone ya kidato cha nne
Tuambie shule ina walimu wangapi na wanafunzi wangapi... Pia darasa la form two lenye wanafunzi karibia 600 lina vyumba vingapi vya form 2Kwa matokeo haya una maoni gani?
Shule ipo Jijini Dar es Salam na siyo Nachingwea.
View attachment 2869779
Inasikitisha sanaHiyo shule hadi form four wanafanyaga vibaya Sana.
Duuh noma sana hao watoto wa msimbazi sec ninaish maeneo ya karibu aseeee ni hatr hapo ni mimba, bangi bora umpe mtot mtaji auze maji kuliko kumpeleka haposababu kubwa shule za Dar kufanya vibaya mfano zilizopo maeneo ya Temeke, kuna Msimbazi wanavaa blue bahari, kuna chanika na nyingine ipo bunju ni ya kata.
1. Utandawazi; hii ni sababu moja kubwa ya watoto wengi wa dar kufeli. Hili linasababishwa na usimamizi mbovu wa wazazi kwa watoto wao wakiwa busy kukimbizana na maisha, watoto kuingia kwenye starehe za mapema, kuangalia video za ngono.
2. Serikali; maisha ya dar ni magumu, kada hii ya ualimu imesahaulika, miundombinu Mibovu, hakuna Hamasa kwa kwa walimu kufanya kazi kwa asilimia zote wanafanya bora liende.
Nimeona mtaala mpya mambo mengi sana, lakini kama serikali haitajitahidi kuboresha maisha na masilahi ya walimu hatutaona mabadiliko.
Wizara husika waliangalie hili suala kwa kina, usitegemee ukafanya vitu kwa njia ile ile ukategemea matokeo tofauti.
Wanafunzi wa Dar wa day mpaka wamalize kusoma wamechoka sana, saa moja usiku unakuta wanafunzi bado wanazunguka vituo vya daladala... Asubuhi wanatakiwa kuwahi tena shule ni kasheshe sana.Daslam kusoma day ni changamoto sana maana naona watoto wanapata tabu sana katika usafiri,
Shuguli za utafutaji zinafanya wazazi wanashindwa kuwajibika vizuri katika kusimamia watoto wao....
Tatu waalimu wapo busy na mishe msihe ili waweze kuendana na hali halisi ya maisha dar es salam
wingi wa viburudisho na sehemu za starehe kuongeza vishawishi kwa wanafunzi
Etc....
sasa hili ndio chanzo kikubwa cha mimba haswa kwa jinsia KE.Wanafunzi wa Dar wa day mpaka wamalize kusoma wamechoka sana, saa moja usiku unakuta wanafunzi bado wanazunguka vituo vya daladala... Asubuhi wanatakiwa kuwahi tena shule ni kasheshe sana.
Rais ni boss wa kila idara, hivyo anahusika kwenye mambo yote ya kitaifa eidha moja kwa moja au kwa kutuma wasaidizi wake.Acha ushamba rais anahusikaje???
Wameendekeza ngono sana mwisho hakuna wasichokijua kupelekea matokeo kua hovyo😂😂😂dathalam bwnKwa matokeo haya una maoni gani?
Shule ipo Jijini Dar es Salam na siyo Nachingwea.
View attachment 2869779
Huyu amemaliza kilakituDaslam kusoma day ni changamoto sana maana naona watoto wanapata tabu sana katika usafiri,
Shuguli za utafutaji zinafanya wazazi wanashindwa kuwajibika vizuri katika kusimamia watoto wao....
Tatu waalimu wapo busy na mishe msihe ili waweze kuendana na hali halisi ya maisha dar es salam
wingi wa viburudisho na sehemu za starehe kuongeza vishawishi kwa wanafunzi
Etc....
Nadhani siyo ya waislam mkuu! Ni shule ya serikali.Shule yenyewe ni ya wavaa makobasi! Elimu dunia sio kipaumbele! Mnawalazimisha! Wana wa mnyaaazi mungu!
😂😂😂Sasa huyo mwl wa Phy, kidato cha tatu anaenda fundisha kina nani maana wote wamepata F[emoji1]