Una ushauri gani kwa Binti anayeanza maisha mapya mjini?

Ana tako?
 
Msahauri nayeye kutokuwa omba omba mjini maana ukituomba pesa ovyo nasisi tutakuomba maku
 
Aiseee hatari kumbe mitego mingi sanaa
 
1. Kama hana support system kutoka kwenye familia, maendeleo ataanza kuyaona kwenye miaka 27/28. Kama hatokuwa na tamaa hatatumika vibaya na ME.

2.Kama anatamaa ajue kuwa atatumika sana hivyo na yeye ajue kuwatumia to her advantage. (kama ana akili lakini) note; wanaume si wajinga, wana udhaifu tu.

3.Kazi yake ina age limit, hivyo afanye asave aanzishe hata side hustle.

4.Aombe Mungu na atumie akili katika mahusiano kama anapenda/wish kuolewa mapema. Kama hatopenda kuolewa in her 20’s ajitunze sana.. Ataolewa siku akitaka (it takes courage, akili, exposure na favors from God tho, na si kila mtu ataipata hiyo favor)

5.Akiamua kuzaa kabla ya kuolewa akumbuke mtoto ni wa mama unless kwa wenye bahati mtoto ni wa baba na mama.

6. Sio lazima kufanya kila dhambi, dhambi zingine zinaharibu roho na kukupeleka down moja kwa moja, Achague dhambi kwa uangalifu..Aepuke peer-pressure na maneno ya vijiweni 😀

7.Asisahau sadaka na wazazi kama anao, ufunguo wa mengi uko hapa.

Kila la heri.
 
❤️Na Mimi nimesaidika
 
Asante dada♥️💯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…