Una ushauri gani kwa Binti anayeanza maisha mapya mjini?

Una ushauri gani kwa Binti anayeanza maisha mapya mjini?

Hi.

Ushauri gani unaweza kumpa binti aliye in her early 20s ambaye anajiandaa kuhamia mji mkubwa kwa mara ya kwanza, kujihusisha na kazi ya waitress asiye na exposure ya maisha yoyote? Anajiandaa kuishi mbali na wazazi, kukutana na mazingira mapya, watu wapya, marafiki wapya, na hali mpya, ikiwa ni pamoja na kukutana na different men and women from different places, kukutana na watu wabaya na wema, watu wa asili tofauti

Ushauri wenu utasaidia
Ana tako?
 
Akae mbali na wanaume wanaosema nibebee mimba nikuoe 😜😅

Lakini pia akae mbali na wanaume wa miaka 45 wanaosema Sijaoa.

Si hivyo tu akae mbali na wanaume wanaolala kwenye magheto ya wanawake bila kuogopa.

Kwa kuongezea akae mbali na wanaume wanaosema nikopeshe laki mbili nitakupa laki nne.
Na mengineyo 😜😜😜😜
Msahauri nayeye kutokuwa omba omba mjini maana ukituomba pesa ovyo nasisi tutakuomba maku
 
Akae mbali na wanaume wanaosema nibebee mimba nikuoe 😜😅

Lakini pia akae mbali na wanaume wa miaka 45 wanaosema Sijaoa.

Si hivyo tu akae mbali na wanaume wanaolala kwenye magheto ya wanawake bila kuogopa.

Kwa kuongezea akae mbali na wanaume wanaosema nikopeshe laki mbili nitakupa laki nne.
Na mengineyo 😜😜😜😜
Aiseee hatari kumbe mitego mingi sanaa
 
1. Kama hana support system kutoka kwenye familia, maendeleo ataanza kuyaona kwenye miaka 27/28. Kama hatokuwa na tamaa hatatumika vibaya na ME.

2.Kama anatamaa ajue kuwa atatumika sana hivyo na yeye ajue kuwatumia to her advantage. (kama ana akili lakini) note; wanaume si wajinga, wana udhaifu tu.

3.Kazi yake ina age limit, hivyo afanye asave aanzishe hata side hustle.

4.Aombe Mungu na atumie akili katika mahusiano kama anapenda/wish kuolewa mapema. Kama hatopenda kuolewa in her 20’s ajitunze sana.. Ataolewa siku akitaka (it takes courage, akili, exposure na favors from God tho, na si kila mtu ataipata hiyo favor)

5.Akiamua kuzaa kabla ya kuolewa akumbuke mtoto ni wa mama unless kwa wenye bahati mtoto ni wa baba na mama.

6. Sio lazima kufanya kila dhambi, dhambi zingine zinaharibu roho na kukupeleka down moja kwa moja, Achague dhambi kwa uangalifu..Aepuke peer-pressure na maneno ya vijiweni 😀

7.Asisahau sadaka na wazazi kama anao, ufunguo wa mengi uko hapa.

Kila la heri.
 
1. Kama hana support system kutoka kwenye familia, maendeleo ataanza kuyaona kwenye miaka 27/28. Kama hatokuwa na tamaa hatatumika vibaya na ME.

2.Kama anatamaa ajue kuwa atatumika sana hivyo na yeye ajue kuwatumia to her advantage. (kama ana akili lakini)

3.Kazi yake ina age limit, hivyo afanye asave aanzishe hata side hustle.

4.Aombe Mungu na atumie akili katika mahusiano kama anapenda/wish kuolewa. Kama hatopenda kuolewa in her 20’s ajitunze sana.. Ataolewa siku akitaka (it takes courage, akili, exposure na favors from God tho, na si kila mtu ataipata hiyo favor)

5.Akiamua kuzaa kabla ya kuolewa akumbuke mtoto ni wa mama unless kwa wenye bahati mtoto ni wa baba na mama.

6.Asisahau sadaka na wazazi kama anao, ufunguo wa mengi uko hapa.

Kila la heri.
❤️Na Mimi nimesaidika
 
1. Kama hana support system kutoka kwenye familia, maendeleo ataanza kuyaona kwenye miaka 27/28. Kama hatokuwa na tamaa hatatumika vibaya na ME.

2.Kama anatamaa ajue kuwa atatumika sana hivyo na yeye ajue kuwatumia to her advantage. (kama ana akili lakini) note; wanaume si wajinga, wana udhaifu tu.

3.Kazi yake ina age limit, hivyo afanye asave aanzishe hata side hustle.

4.Aombe Mungu na atumie akili katika mahusiano kama anapenda/wish kuolewa mapema. Kama hatopenda kuolewa in her 20’s ajitunze sana.. Ataolewa siku akitaka (it takes courage, akili, exposure na favors from God tho, na si kila mtu ataipata hiyo favor)

5.Akiamua kuzaa kabla ya kuolewa akumbuke mtoto ni wa mama unless kwa wenye bahati mtoto ni wa baba na mama.

6. Sio lazima kufanya kila dhambi, dhambi zingine zinaharibu roho na kukupeleka down moja kwa moja, Achague dhambi kwa uangalifu..Aepuke peer-pressure na maneno ya vijiweni 😀

7.Asisahau sadaka na wazazi kama anao, ufunguo wa mengi uko hapa.

Kila la heri.
Asante dada♥️💯
 
Back
Top Bottom