Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanikumbusha mene mene tekeriNebukadneza alikuwa KICHAA na kuanza kula majani kama mnyama wa mwituni.
Ila sio Ramli chonganishi kama zile za wanakijani🍀😂jf ina wapiga ramli
Yeah.... tusubiri tuTime will tell.
Hakugongwa misumari!?Jiangalie, Masiha Kristo siyo mtani wako. Dhihaka dhidi ya masiha Kristo, nafsi ya Mungu, usidhani unamkera binadamu yeyote, bali tambua unajitengenezea hukumu.
'Nimepewa mamlaka yote Duniani na mbinguni'
'Yakobo umekuwa nami siku zote, hujamwona Baba? Hujui kuwa Baba yu ndani yangu, nami ni ndani ya Baba? Ukiniona mimi, umemwona Baba'
Yatafakari maneno haya.
Ukiwa na nyundo ni rahisi kugongelea msumariKampuuza HUYU Mungu anae Apia Kwa Aliyeumba Dhakari na kile cha like!
![]()
![]()
Surat Al-Lail
Ayah: 1
وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰ
Naapa kwa usiku unapo funika!
Naapa kwa usiku kinapo enea kiza chake!
Ayah: 2
وَٱلنَّهَارِ إِذَا تَجَلَّىٰ
Na mchana unapo dhihiri!
Na naapa kwa mchana unapo zagaa mwangaza wake!
Ayah: 3
وَمَا خَلَقَ ٱلذَّكَرَ وَٱلۡأُنثَىٰٓ
wama khalaq ٱldhakar walununthaa!
Na kwa Aliye umba kiume na kike!
NYUMBA yako ya vioo unaanzisha mchezo wa kurushiana make![]()
![]()
Ukiwa na nyundo ni rahisi kugongelea msumariKampuuza HUYU Mungu anae Apia Kwa Aliyeumba Dhakari na kile cha like!
[emoji116][emoji116]
Surat Al-Lail
Ayah: 1
وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰ
Naapa kwa usiku unapo funika!
Naapa kwa usiku kinapo enea kiza chake!
Ayah: 2
وَٱلنَّهَارِ إِذَا تَجَلَّىٰ
Na mchana unapo dhihiri!
Na naapa kwa mchana unapo zagaa mwangaza wake!
Ayah: 3
وَمَا خَلَقَ ٱلذَّكَرَ وَٱلۡأُنثَىٰٓ
wama khalaq ٱldhakar walununthaa!
Na kwa Aliye umba kiume na kike!
NYUMBA yako ya vioo unaanzisha mchezo wa kurushiana make[emoji15][emoji12]
Mungu yupi,aliyemlilia Mungu wake msalabani au aliyekua analiliwa!?Mungu hadhihakiwi, Kama uamini Subiria Jibu utalipata
Wewe ni chizi mchundo..........yule makobazi wako mbona juzi pale kabulini kwake kapigwa na mafurikoKuandika kwenyewe hujui,maudhui tafrani...anyway,Mungu mwenyewe unayemsemea ni yesu au!?..Kama yesu huyo usimuogope,alitolewa nduki na watu wenye nyundo na misumari
Mtume kazikwa Madina we mbuzi,dhoruba imetokea MakkahWewe ni chizi mchundo..........yule makobazi wako mbona juzi pale kabulini kwake kapigwa na mafuriko
We ni chizi Anza doziNdugu wa Tanzania lipo jambo mbele ya Taifa linakuja kama jambo la masihara. Ila Mungu huko Mbinguni moyo wake umekataa kwenda na kiongozi mkubwa ktk Taifa la Waungwana wana wa Mzee Nyerere na hii ni baada ya kiongozi huyo kukebei uwepo wa Mungu ktk moja ya kikao kikubwa cha kiserikali.
Hii haitokuwa mara ya kwanza tofauti na watangulizi wa Taifa Hilo. Sisi wana kuona mbali wadogo kama sisimizi tusio na nguvu tumetumwa kuwaambia kama Taifa Mungu wa Taifa la Tz na Ardhi ya Tanganyika anasema hatokuwa naye na hata baada ya kauli ile yakuwa na mashaka ya aina Mungu yupo ama ayupo basi hatomuona ktk kiti chake nahuwenda kama alivyofanya mzaa ndivyo mwisho wa uongozi wake utakavyokuwa ktk kiti chake.
Mungu ataachia mzaa ktk kiti amekikalia kiasi mzaa huu utakuwa kweli ktk hali ya mzaa mbele ya watu wake wakati wa mchana ili Mungu aheshimiwe.
Je Mungu atadhihakiwa na mwanadam amwache lahasha hata history yake uwenda isitajwe maana Mungu hadhihakiwi na kamwe hatodhihakiwa.
Ujumbe huu uwafikie wa Tz na wale mnaamini uwepo wa Mungu na msio amini ili mjuwe Kuna Mungu ktk Taifa la Tz.
Ni suala la muda tu time will tellNdugu wa Tanzania lipo jambo mbele ya Taifa linakuja kama jambo la masihara. Ila Mungu huko Mbinguni moyo wake umekataa kwenda na kiongozi mkubwa ktk Taifa la Waungwana wana wa Mzee Nyerere na hii ni baada ya kiongozi huyo kukebei uwepo wa Mungu ktk moja ya kikao kikubwa cha kiserikali.
Hii haitokuwa mara ya kwanza tofauti na watangulizi wa Taifa Hilo. Sisi wana kuona mbali wadogo kama sisimizi tusio na nguvu tumetumwa kuwaambia kama Taifa Mungu wa Taifa la Tz na Ardhi ya Tanganyika anasema hatokuwa naye na hata baada ya kauli ile yakuwa na mashaka ya aina Mungu yupo ama ayupo basi hatomuona ktk kiti chake nahuwenda kama alivyofanya mzaa ndivyo mwisho wa uongozi wake utakavyokuwa ktk kiti chake.
Mungu ataachia mzaa ktk kiti amekikalia kiasi mzaa huu utakuwa kweli ktk hali ya mzaa mbele ya watu wake wakati wa mchana ili Mungu aheshimiwe.
Je Mungu atadhihakiwa na mwanadam amwache lahasha hata history yake uwenda isitajwe maana Mungu hadhihakiwi na kamwe hatodhihakiwa.
Ujumbe huu uwafikie wa Tz na wale mnaamini uwepo wa Mungu na msio amini ili mjuwe Kuna Mungu ktk Taifa la Tz.
Sijaambulia chochoteNdugu wa Tanzania lipo jambo mbele ya Taifa linakuja kama jambo la masihara. Ila Mungu huko Mbinguni moyo wake umekataa kwenda na kiongozi mkubwa ktk Taifa la Waungwana wana wa Mzee Nyerere na hii ni baada ya kiongozi huyo kukebei uwepo wa Mungu ktk moja ya kikao kikubwa cha kiserikali.
Hii haitokuwa mara ya kwanza tofauti na watangulizi wa Taifa Hilo. Sisi wana kuona mbali wadogo kama sisimizi tusio na nguvu tumetumwa kuwaambia kama Taifa Mungu wa Taifa la Tz na Ardhi ya Tanganyika anasema hatokuwa naye na hata baada ya kauli ile yakuwa na mashaka ya aina Mungu yupo ama ayupo basi hatomuona ktk kiti chake nahuwenda kama alivyofanya mzaa ndivyo mwisho wa uongozi wake utakavyokuwa ktk kiti chake.
Mungu ataachia mzaa ktk kiti amekikalia kiasi mzaa huu utakuwa kweli ktk hali ya mzaa mbele ya watu wake wakati wa mchana ili Mungu aheshimiwe.
Je Mungu atadhihakiwa na mwanadam amwache lahasha hata history yake uwenda isitajwe maana Mungu hadhihakiwi na kamwe hatodhihakiwa.
Ujumbe huu uwafikie wa Tz na wale mnaamini uwepo wa Mungu na msio amini ili mjuwe Kuna Mungu ktk Taifa la Tz.
Exactly,huyo ffala mmoja tuKuandika kwenyewe hujui,maudhui tafrani...anyway,Mungu mwenyewe unayemsemea ni yesu au!?..Kama yesu huyo usimuogope,alitolewa nduki na watu wenye nyundo na misumari
Hao ni wanyongwe kabisaNani ajuaye alipo Nabii Mdude na Mwambukusi!!
nakuuliza wa kihivyo Sio Popo bawa hiyo?? [emoji38][emoji38]Ukiwa na nyundo ni rahisi kugongelea msumari
Ukiwa na nyundo ni rahisi kugongelea msumari
Wagalatia hamna Akili ndomaana matapeli wanawapiga pesa kila sikuWewe ni chizi mchundo..........yule makobazi wako mbona juzi pale kabulini kwake kapigwa na mafuriko
Watafyekwa hao masshoga wa teccHuyu mtu nimemfahamu nami najua haendi kokote atafyekwa 2