Unabii baada ya kiongozi mmoja wa juu kubeza uwepo wa Mungu

Unabii baada ya kiongozi mmoja wa juu kubeza uwepo wa Mungu

Hatokuwa Rais stay tune wengi mtapigwa bumbuwazi ila that is how will happen
Binafsi namkubali kiongozi wetu aendelee kutuongoza, najua sio Malaika, ana mapungufu.
Ili hizo tabiri zenu zisitimie lazima amteue M/mwenyekiti ambaye ni very royal kwake, anayemfahamu vizuri, chama kisimteulie,

Fomu iwe moja tu, secretariet ya chama aipe ahadi nzuri nzuri kiwa iwapo akishinda Mambo yao safi

Wazee wastaafu wasiwe na maamuzi yoyote zaidi ya ushauri tu
 
Ndugu wa Tanzania lipo jambo mbele ya Taifa linakuja kama jambo la masihara. Ila Mungu huko Mbinguni moyo wake umekataa kwenda na kiongozi mkubwa ktk Taifa la Waungwana wana wa Mzee Nyerere na hii ni baada ya kiongozi huyo kukebei uwepo wa Mungu ktk moja ya kikao kikubwa cha kiserikali.

Hii haitokuwa mara ya kwanza tofauti na watangulizi wa Taifa Hilo. Sisi wana kuona mbali wadogo kama sisimizi tusio na nguvu tumetumwa kuwaambia kama Taifa Mungu wa Taifa la Tz na Ardhi ya Tanganyika anasema hatokuwa naye na hata baada ya kauli ile yakuwa na mashaka ya aina Mungu yupo ama ayupo basi hatomuona ktk kiti chake nahuwenda kama alivyofanya mzaa ndivyo mwisho wa uongozi wake utakavyokuwa ktk kiti chake.

Mungu ataachia mzaa ktk kiti amekikalia kiasi mzaa huu utakuwa kweli ktk hali ya mzaa mbele ya watu wake wakati wa mchana ili Mungu aheshimiwe.

Je Mungu atadhihakiwa na mwanadam amwache lahasha hata history yake uwenda isitajwe maana Mungu hadhihakiwi na kamwe hatodhihakiwa.

Wewe umesema kama mtamkuta Yeye amekujibu sio mpaka Unikute nipo Hapa akavuta kiti pasipo kujuwa Nini umekisema ulipokaa ukaanguka wanajimu walipo kuja wakasema tumkimbize baharini 🤣 wenye hekima tukasema hapana maneno yake. Basi ameamua mwenye kiti chake iwe darasa kwetu. 🌎😭

Ujumbe huu uwafikie wa Tz na wale mnaamini uwepo wa Mungu na msio amini ili mjuwe Kuna Mungu ktk Taifa la Tz.
Tumuogope Mungu
 
Labda asitake yeye mweyewe kuendelea lkn sio wewe wala binadamu yoyote anaeweza kumzuia asiendelee

Endelea kuandika porojo zako tu humu
😄😄Ht uchaguzi wa Marekani walitubishia
Anachokisema ndo Hali ilivyo!

Usifanye mchezo
 
Back
Top Bottom