Mwaka 2021, Mchungaji Ian Ndlovu kutoka Zimbabwe alisema kuwa Roho wa Mungu amemwambia kuwa awaambie kuhusu Raisi mwanamke kutoka Afrika Mashariki.
Aliambiwa kuwa, wote wanaompenda Raisi huyu mwanamke wanapaswa wamwombee sana maana aliona atapitia matukio mawili huko miaka ya mbele ambapo atafanya makosa mawili kutokana na kupewa ushauri mbaya na watu wake anaowaamini waliopo kwenye uongozi wake.
Akifanya makosa mawili hasahasa kosa la pili katika tukio la pili, kutatokea na Upinzani mkubwa ndani ya chama chake na pia Upinzani utatoka nje kwake ambao itasababisha madhara katika safari yake ya uongozi mtukuka.
Atakayetaka kufuatilia ujumbe huu anaweza kumsikiliza hapa kwenye link nitakayotuma hapa.
Mimi simjui huyu Rais mwanamke mpaka sasa.
Link:
Aliambiwa kuwa, wote wanaompenda Raisi huyu mwanamke wanapaswa wamwombee sana maana aliona atapitia matukio mawili huko miaka ya mbele ambapo atafanya makosa mawili kutokana na kupewa ushauri mbaya na watu wake anaowaamini waliopo kwenye uongozi wake.
Akifanya makosa mawili hasahasa kosa la pili katika tukio la pili, kutatokea na Upinzani mkubwa ndani ya chama chake na pia Upinzani utatoka nje kwake ambao itasababisha madhara katika safari yake ya uongozi mtukuka.
Atakayetaka kufuatilia ujumbe huu anaweza kumsikiliza hapa kwenye link nitakayotuma hapa.
Mimi simjui huyu Rais mwanamke mpaka sasa.
Link: