Unabii kuhusu Rais mwanamke aliyepo Afrika Mashariki (ulitolewa 2021)

Unabii kuhusu Rais mwanamke aliyepo Afrika Mashariki (ulitolewa 2021)

Hata sasa mie ukiacha utabiri huo nilitaka kuandika humu kumu caution Mh Samia Suluhu Hassan kuwa makini, hii suala la DP w linaweza kuwa makusudi wameanua kumpoteza kabla ya Uchaguzi wa 2025. Hasa watu wa chama chake wanaoutaka Urais
Yeah Aisee Mungu amsaidie kwa kweli.
 
Hatuhitaji hata unabii kujua ,yanayotkoea, ayatendayo na jinsi anavyo yashughulikia ni ushahidi tosha kuwa tumepigwa na kitu kizito🤔inshort kiti kimepwaya,nchi Ina ombwe kubwa la uongozi wa juu wa nchi.
Sema unabii ulitoka August 2021 wakati Hali ilikuwa shwari kabisa.
 
Mwaka 2021, Mchungaji Ian Ndlovu kutoka Zimbabwe alisema kuwa Roho wa Mungu amemwambia kuwa awaambie kuhusu Raisi mwanamke kutoka Afrika Mashariki.

Aliambiwa kuwa, wote wanaompenda Raisi huyu mwanamke wanapaswa wamwombee sana maana aliona atapitia matukio mawili huko miaka ya mbele ambapo atafanya makosa mawili kutokana na kupewa ushauri mbaya na watu wake anaowaamini waliopo kwenye uongozi wake.

Akifanya makosa mawili hasahasa kosa la pili katika tukio la pili, kutatokea na Upinzani mkubwa ndani ya chama chake na pia Upinzani utatoka nje kwake ambao itasababisha madhara katika safari yake ya uongozi mtukuka.

Atakayetaka kufuatilia ujumbe huu anaweza kumsikiliza hapa kwenye link nitakayotuma hapa.

Mimi simjui huyu Rais mwanamke mpaka sasa.

Link:

Ujinga huo.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Tabiri za kishetani dhidi ya muislamu hazina nguvu.

اللَّهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ الْحَيُّ الْقَيُّومُ ۚ لَا تَأْخُذُهُ سِنَةٌ وَلَا نَوْمٌ ۚ لَّهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ مَن ذَا الَّذِي يَشْفَعُ عِندَهُ إِلَّا بِإِذْنِهِ ۚ يَعْلَمُ مَا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ ۖ وَلَا يُحِيطُونَ بِشَيْءٍ مِّنْ عِلْمِهِ إِلَّا بِمَا شَاءَ ۚ وَسِعَ كُرْسِيُّهُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۖ وَلَا يَئُودُهُ حِفْظُهُمَا ۚ وَهُوَ الْعَلِيُّ الْعَظِيمُ

(AL - BAQARA - 255)
Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.
 
Ujue hajamfatilia , Mimi huyu alitabiri kifo cha JPM mwaka 2019, Mimi sikuamini ila ilivotokea 2021, nikaanza kumfatilia, Kila anachosema kinatokea .
Ila uzuri wake huwa anasema Watu wakimuomba Mungu, Mungu anaweza kuepusha jambo, shida ni watu wakipuuzia.
Sasa watu waombee kitu gani? Wote wapoteze muda kuombea mtu anayekumbatia mafisad na watendaji wabovu?Bora kufunga na kuombea family yako 🙏
 
Tabiri za kishetani dhidi ya muislamu hazina nguvu.

اللَّهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ الْحَيُّ الْقَيُّومُ ۚ لَا تَأْخُذُهُ سِنَةٌ وَلَا نَوْمٌ ۚ لَّهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ مَن ذَا الَّذِي يَشْفَعُ عِندَهُ إِلَّا بِإِذْنِهِ ۚ يَعْلَمُ مَا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ ۖ وَلَا يُحِيطُونَ بِشَيْءٍ مِّنْ عِلْمِهِ إِلَّا بِمَا شَاءَ ۚ وَسِعَ كُرْسِيُّهُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۖ وَلَا يَئُودُهُ حِفْظُهُمَا ۚ وَهُوَ الْعَلِيُّ الْعَظِيمُ

(AL - BAQARA - 255)
Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.
So sikuhizi Mungu wa Wakristo na Waislamu ni tofauti?
Sikujua hilo mkuu
 
Hatuhitaji hata unabii kujua ,yanayotkoea, ayatendayo na jinsi anavyo yashughulikia ni ushahidi tosha kuwa tumepigwa na kitu kizito[emoji848]inshort kiti kimepwaya,nchi Ina ombwe kubwa la uongozi wa juu wa nchi.
Hujapigwa ila wanaopambana kumpoteza ili waje madarakani ndio wabaya zaidi. Kwasababu ujue kama ni matajiri au wafanyabiaashara wanaosuka kumtoa unadhani wanataka kuingia madarakani ili iweje? Kwa akili yako kwa wana siasa unaowaona saizi Tanzania nani hasa anaweza iongoza Tanzania kwa uaminifu? Hakuna, wanaoutaka ndio akina February, Mwigu, na wengine

So better kumuomnea tu aliepo huyo maza anaweza kuwa anapotoshwa ila ana hofu ya upigaji. Lkn ishi ukijua hakuna mwema atakaekuja ibeba nchi kama taasisi za nchi sio imara.

"AFRIKA HAIHITAJI RAIS IMARA ISIPOKUWA TAASISI IMATQ" BARRACK OBAMA
 
Mwaka 2021, Mchungaji Ian Ndlovu kutoka Zimbabwe alisema kuwa Roho wa Mungu amemwambia kuwa awaambie kuhusu Raisi mwanamke kutoka Afrika Mashariki.

Aliambiwa kuwa, wote wanaompenda Raisi huyu mwanamke wanapaswa wamwombee sana maana aliona atapitia matukio mawili huko miaka ya mbele ambapo atafanya makosa mawili kutokana na kupewa ushauri mbaya na watu wake anaowaamini waliopo kwenye uongozi wake.

Akifanya makosa mawili hasahasa kosa la pili katika tukio la pili, kutatokea na Upinzani mkubwa ndani ya chama chake na pia Upinzani utatoka nje kwake ambao itasababisha madhara katika safari yake ya uongozi mtukuka.

Atakayetaka kufuatilia ujumbe huu anaweza kumsikiliza hapa kwenye link nitakayotuma hapa.

Mimi simjui huyu Rais mwanamke mpaka sasa.

Link:

Sisi tunamuombea Rais Wetu ,Mungu amiongoze Madam President
 
Hujapigwa ila wanaopambana kumpoteza ili waje madarakani ndio wabaya zaidi. Kwasababu ujue kama ni matajiri au wafanyabiaashara wanaosuka kumtoa unadhani wanataka kuingia madarakani ili iweje? Kwa akili yako kwa wana siasa unaowaona saizi Tanzania nani hasa anaweza iongoza Tanzania kwa uaminifu? Hakuna, wanaoutaka ndio akina February, Mwigu, na wengine

So better kumuomnea tu aliepo huyo maza anaweza kuwa anapotoshwa ila ana hofu ya upigaji. Lkn ishi ukijua hakuna mwema atakaekuja ibeba nchi kama taasisi za nchi sio imara.

"AFRIKA HAIHITAJI RAIS IMARA ISIPOKUWA TAASISI IMATQ" BARRACK OBAMA
Kweli anahitaji Sala na Dua.
 
Hujapigwa ila wanaopambana kumpoteza ili waje madarakani ndio wabaya zaidi. Kwasababu ujue kama ni matajiri au wafanyabiaashara wanaosuka kumtoa unadhani wanataka kuingia madarakani ili iweje? Kwa akili yako kwa wana siasa unaowaona saizi Tanzania nani hasa anaweza iongoza Tanzania kwa uaminifu? Hakuna, wanaoutaka ndio akina February, Mwigu, na wengine

So better kumuomnea tu aliepo huyo maza anaweza kuwa anapotoshwa ila ana hofu ya upigaji. Lkn ishi ukijua hakuna mwema atakaekuja ibeba nchi kama taasisi za nchi sio imara.

"AFRIKA HAIHITAJI RAIS IMARA ISIPOKUWA TAASISI IMATQ" BARRACK OBAMA
Sasa hao kina January na mwigulu and the like si ndiyo think tank yake? unategemea jipya gani hapo?mimi nakereka kuona watu wanamtetea huyu maza,manake ye ndo president,Sasa anashindwaje kupanga team nzuri ya kumsaidia kuendesha hii nchi?wale walafi ndo watu wake wa karibu🙏binafsi nimepoteza imani na huyu prezidaa🙏
 
Mwaka 2021, Mchungaji Ian Ndlovu kutoka Zimbabwe alisema kuwa Roho wa Mungu amemwambia kuwa awaambie kuhusu Raisi mwanamke kutoka Afrika Mashariki.

Aliambiwa kuwa, wote wanaompenda Raisi huyu mwanamke wanapaswa wamwombee sana maana aliona atapitia matukio mawili huko miaka ya mbele ambapo atafanya makosa mawili kutokana na kupewa ushauri mbaya na watu wake anaowaamini waliopo kwenye uongozi wake.

Akifanya makosa mawili hasahasa kosa la pili katika tukio la pili, kutatokea na Upinzani mkubwa ndani ya chama chake na pia Upinzani utatoka nje kwake ambao itasababisha madhara katika safari yake ya uongozi mtukuka.

Atakayetaka kufuatilia ujumbe huu anaweza kumsikiliza hapa kwenye link nitakayotuma hapa.

Mimi simjui huyu Rais mwanamke mpaka sasa.

Link:

we kaamke usingizi, uache hizo ndoto za kipuuzi
 
Back
Top Bottom