Unabii kuhusu Rais mwanamke aliyepo Afrika Mashariki (ulitolewa 2021)

Unabii kuhusu Rais mwanamke aliyepo Afrika Mashariki (ulitolewa 2021)

Mwaka 2021, Mchungaji Ian Ndlovu kutoka Zimbabwe alisema kuwa Roho wa Mungu amemwambia kuwa awaambie kuhusu Raisi mwanamke kutoka Afrika Mashariki.

Aliambiwa kuwa, wote wanaompenda Raisi huyu mwanamke wanapaswa wamwombee sana maana aliona atapitia matukio mawili huko miaka ya mbele ambapo atafanya makosa mawili kutokana na kupewa ushauri mbaya na watu wake anaowaamini waliopo kwenye uongozi wake.

Akifanya makosa mawili hasahasa kosa la pili katika tukio la pili, kutatokea na Upinzani mkubwa ndani ya chama chake na pia Upinzani utatoka nje kwake ambao itasababisha madhara katika safari yake ya uongozi mtukuka.

Atakayetaka kufuatilia ujumbe huu anaweza kumsikiliza hapa kwenye link nitakayotuma hapa.

Mimi simjui huyu Rais mwanamke mpaka sasa.

Link:

Tutaona mengi hadi 2025!
 
Ilikuwa tarehe 22 August 2021, ok Rais huyu mwanamke wa Afrika Mashariki aliapishwa kabla ya mwezi wa 8 au baada ya mwezi wa 8?
Alafu huu Uzi haumchukii mtu yeyote ila una nia njema ya kumuombea kwa Mungu huyu Rais mwanamke wa Afrika Mashariki aweze kufanya maamuzi sahihi pale atakaposhauriwa na wengine.
Tazama kwanza hii video mkuu usiwe emotional sana.
Oh, kumbe! Nilikuwa sijaijua tarehe husika haswa🙏🙏.

Hata hivyo nimejitahidi kidogo maana kwa mwezi huo kila ntu alikuwa anajua kuwa Samia Suluhu Hassan anaenda kuapishwa hivyo utabiri huo kidogo una kaukakasi as dar as tabiri kama ya yule aliyetabiri ajali ya ndege is concerned
 
Oh, kumbe! Nilikuwa sijaijua tarehe husika haswa🙏🙏.

Hata hivyo nimejitahidi kidogo maana kwa mwezi huo kila ntu alikuwa anajua kuwa Samia Suluhu Hassan anaenda kuapishwa hivyo utabiri huo kidogo una kaukakasi as dar as tabiri kama ya yule aliyetabiri ajali ya ndege is concerned
Rais Samia aliapishwa mwezi wa tatu mwaka 2021, na hapo anazungumzia Rais mwanamke aliyeko madarakani sio atakayekuja kuwako.
Anyway Respect Kwa kuwa hukujua tarehe husika.
 
Kweli na Kuna mengi kazungumza katika video hiyo ya dakika kama 5 sema sikuandika maana TISS si watu wa kuwachezea ila alichokisema mwaka 2021 mwezi wa August inatosha kufahamu huyu Rais mwanamke kutoka Afrika ya Mashariki ni nani.
Magufuli alifariki March 17, 2021 Muda ambao SSH aliingia madarakani na ndo Rais pekee Afrika Mashariki. Hapo hakuna kitu! Angetabiri kabla hajaingia madarakani angekuwa na mashiko kwasababu unabii wake kautoa August 2021 wakati tiyari yuko madarakani
 
Magufuli alifariki March 17, 2021 Muda ambao SSH aliingia madarakani na ndo Rais pekee Afrika Mashariki. Hapo hakuna kitu! Angetabiri kabla hajaingia madarakani angekuwa na mashiko kwasababu unabii wake kautoa August 2021 wakati tiyari yuko madarakani
Elewa hakutabir kutokea rais mwanamke bali alitabir atayokutana nayo rais mwanamke wa EAST AFRICA , hv kwann waswahili ni wagumu kuelewa ?
 
Magufuli alifariki March 17, 2021 Muda ambao SSH aliingia madarakani na ndo Rais pekee Afrika Mashariki. Hapo hakuna kitu! Angetabiri kabla hajaingia madarakani angekuwa na mashiko kwasababu unabii wake kautoa August 2021 wakati tiyari yuko madarakani
Ukimsikiliza amesema lady president in east African country, kumaanisha aliyepo madarakani so hapo hakubahatisha bahatisha.
Pili alitaka wanaompenda wamweke kwenye Dua zao maana alionyeshwa matukio atakayopitia.
Yeye Hana haja ya kusema kuhusu Hii nchi ya Afrika Mashariki maana anaishi Zimbabwe na Nabii zake nyingi ni za Zimbabwe na Mungu huwa anazitimiza kama walioonywa walipuuza.
 
Hatuhitaji hata unabii kujua ,yanayotkoea, ayatendayo na jinsi anavyo yashughulikia ni ushahidi tosha kuwa tumepigwa na kitu kizito[emoji848]inshort kiti kimepwaya,nchi Ina ombwe kubwa la uongozi wa juu wa nchi.
Chuki zenu tu za kishamba ndizo zinazowasumbua.Ni kipindi cha Raisi gani wizi haukutokea?Huyo magufuli kama alikuwa msafi kweli Kwa nini amuondoe madarakani SAG Musa Asad baada ya kufichua wizi wa tirioni 1.5?Huyu mama amefanya kitu gani kibaya cha kukufanya uone hakuna uongozi wa juu?Mazuri mangapi anayafanya katika nchi hii ambayo magufuli pamoja na kujipropagate Kila CK ktk media asingeweza kuvifanya?Magufuli alifanya kazi mdomoni sana kuliko uhalisia.Sana sana apmiradi aliyoijenga kikwete au kuianzisha kikwete akajitangaza Kwa nguvu zote kuwa yeye ndo kafanya.Mfano ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa,daraja la kigamboni,mabasi ya mwendo kasi, flyover,n.k.Lkn wewe mwenyewe ni shahidi,vituo vya afya vimejengwa kila tarafa.Na bado vinaendelea kujengwa.Kila secondary yamejengwa madarasa yenye viwango vya university kuanzia mawili nchi nzima.Lakini mama sio mtu wa media kama yule bwana.
 
Elewa hakutabir kutokea rais mwanamke bali alitabir atayokutana nayo rais mwanamke wa EAST AFRICA , hv kwann waswahili ni wagumu kuelewa ?
Si angesema waziwazi SSH wa Tanzania ambaye ndiye rais pekee mwanamke? Kuhusu changamoto hutokea ni kawaida!
Kuhusu kuombea mkuu wa nchi ni wajibu katika imani ya kikristo tunahaswa kuombea mamlaka iliyopo kuanzia Rais!
Hapo hamna kitu!
 
Hukujua? Mungu wao anaitwa (analo jina lake). Wa wakristo ni Yesu mwana wa Mungu Baba katika utatu mtakatifu wa Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu! Kwahiyo mtafaruku juu hizi imani ni wa miungu!
Mbona unasema Mungu wa Wakristo ni Yesu mwana wa Mungu?
Huoni kuwa unajikanyaga mwenyewe?
Anyway ninavyojua Mimi na nimesoma Biblia kwa miaka takribani zaidi ya 8 , Mungu nayemuona ndani ya Biblia na ni Mungu wake Yesu anaitwa YHWH, Yesu alikuwa anamuita "ABBA" (Baba).
Yesu alikuwa mwaminifu kwa huyu Mungu wake mpaka kifo baadaye akafufuliwa na Mungu .
Mungu akampa Yesu cheo kikubwa cha kuwa Hakimu wa wanadamu wote na majini yote katika siku ya mwisho.
 
Chuki zenu tu za kishamba ndizo zinazowasumbua.Ni kipindi cha Raisi gani wizi haukutokea?Huyo magufuli kama alikuwa msafi kweli Kwa nini amuondoe madarakani SAG Musa Asad baada ya kufichua wizi wa tirioni 1.5?Huyu mama amefanya kitu gani kibaya cha kukufanya uone hakuna uongozi wa juu?Mazuri mangapi anayafanya katika nchi hii ambayo magufuli pamoja na kujipropagate Kila CK ktk media asingeweza kuvifanya?Magufuli alifanya kazi mdomoni sana kuliko uhalisia.Sana sana apmiradi aliyoijenga kikwete au kuianzisha kikwete akajitangaza Kwa nguvu zote kuwa yeye ndo kafanya.Mfano ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa,daraja la kigamboni,mabasi ya mwendo kasi, flyover,n.k.Lkn wewe mwenyewe ni shahidi,vituo vya afya vimejengwa kila tarafa.Na bado vinaendelea kujengwa.Kila secondary yamejengwa madarasa yenye viwango vya university kuanzia mawili nchi nzima.Lakini mama sio mtu wa media kama yule bwana.
Acha uongo SSH hakuna jambo lenye mashiko kafanya! Eti kaongeza madarasa, vituo vya afya blah! blah! nyingi! Kajificha ndani ya mambo aliyoyafanya JPM. Anzisha jambo jipya. Mfano. Panua barabara ya njia nane kuanzia Kibaha mpaka Chalinze kila mtu aone!
 
Tabiri za kishetani dhidi ya muislamu hazina nguvu.

اللَّهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ الْحَيُّ الْقَيُّومُ ۚ لَا تَأْخُذُهُ سِنَةٌ وَلَا نَوْمٌ ۚ لَّهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ مَن ذَا الَّذِي يَشْفَعُ عِندَهُ إِلَّا بِإِذْنِهِ ۚ يَعْلَمُ مَا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ ۖ وَلَا يُحِيطُونَ بِشَيْءٍ مِّنْ عِلْمِهِ إِلَّا بِمَا شَاءَ ۚ وَسِعَ كُرْسِيُّهُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۖ وَلَا يَئُودُهُ حِفْظُهُمَا ۚ وَهُوَ الْعَلِيُّ الْعَظِيمُ

(AL - BAQARA - 255)
Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.
Samaleko
 
Chuki zenu tu za kishamba ndizo zinazowasumbua.Ni kipindi cha Raisi gani wizi haukutokea?Huyo magufuli kama alikuwa msafi kweli Kwa nini amuondoe madarakani SAG Musa Asad baada ya kufichua wizi wa tirioni 1.5?Huyu mama amefanya kitu gani kibaya cha kukufanya uone hakuna uongozi wa juu?Mazuri mangapi anayafanya katika nchi hii ambayo magufuli pamoja na kujipropagate Kila CK ktk media asingeweza kuvifanya?Magufuli alifanya kazi mdomoni sana kuliko uhalisia.Sana sana apmiradi aliyoijenga kikwete au kuianzisha kikwete akajitangaza Kwa nguvu zote kuwa yeye ndo kafanya.Mfano ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa,daraja la kigamboni,mabasi ya mwendo kasi, flyover,n.k.Lkn wewe mwenyewe ni shahidi,vituo vya afya vimejengwa kila tarafa.Na bado vinaendelea kujengwa.Kila secondary yamejengwa madarasa yenye viwango vya university kuanzia mawili nchi nzima.Lakini mama sio mtu wa media kama yule bwana.
Walimu mna shida gani kwenye kuandika vizuri? Watoto wetu wapo salama kweli huko shuleni?
 
Back
Top Bottom