- Thread starter
- #41
Time will tell brother.we kaamke usingizi, uache hizo ndoto za kipuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time will tell brother.we kaamke usingizi, uache hizo ndoto za kipuuzi
Tokea lini Mungu wa Wakristo akawa yule yule Mungu wa waiskam? Wale wanaabdu shetani chini ya Mohammed mtume wao!So sikuhizi Mungu wa Wakristo na Waislamu ni tofauti?
Sikujua hilo mkuu
Naomba kuuliza alishafanya kosa hata moja ili tuanze kutafakari mapema nini kitakachojiri hapo baadae...Akifanya makosa mawili hasahasa kosa la pili katika tukio la pili, kutatokea na Upinzani mkubwa ndani ya chama chake na pia Upinzani utatoka nje kwake ambao itasababisha madhara katika safari yake ya uongozi mtukuka.
Anyway Raisi anahitaji Dua na Sala.Tokea lini Mungu was Wakristo akawa yule yule Mungu wa waiskam? Wale wanaabdu shetani chini ya Mohammed mtume wao!
I don't know brother, inategemea na perceptions za watu wengi kama atafanya kosa.Naomba kuuliza alishafanya kosa hata moja ili tuanze kutafakari mapema nini kitakachojiri hapo baadae...
Na kibaya zaidi watetezi wanajificha kwenye kichaka cha ushauri mbaya wa washauri ilhali ni dhahiri shairi kiti hakina mtu (incompitence)Hatuhitaji hata unabii kujua ,yanayotkoea, ayatendayo na jinsi anavyo yashughulikia ni ushahidi tosha kuwa tumepigwa na kitu kizito🤔inshort kiti kimepwaya,nchi Ina ombwe kubwa la uongozi wa juu wa nchi.
Kwasasa tutazame series of events, then tudecide.Naomba kuuliza alishafanya kosa hata moja ili tuanze kutafakari mapema nini kitakachojiri hapo baadae...
🤐🤐🤐NiacheeKwani Ina shida gani?
Hayo nayo yatapita tu nothing big deal everything happened for a reason, So there’s nothing to complicate about at all...I don't know brother, inategemea na perceptions za watu wengi kama atafanya kosa.
Inawezekana mwingine akaona sio kosa , mwengine akaona ni kosa, ila ikiwa watu wengi wakaona the same thing, ujue Kuna shida .
True brother, mi nilikuwa nashare tu video hii niliosikiliza long time ago.Hayo nayo yatapita tu nothing big deal everything happened for a reason, So there’s nothing to complicate about at all...
Let’s hope so...Ila bandari itakua imeshakwenda hivi hivi 🤣🤣Kwasasa tutazame series of events, then tudecide.
2024 itatuambia vitu vingi.
Bro mimi hata kabla ya leo wewe kuleta hii juzi tulikaa sehemu wadau wakawa wanajadili possibility ya mama kupotoshwa ili 2025 atemwe. Kwakuwa ukizingatia hakukua na haja ya kuendelea na mkataba hata kama upo sahihi baada ya kelele kama Rais ningekuwa mshauri wake ningemwambia ustishwe ajipe muda kwamza wakuuangazia.I don't know brother, inategemea na perceptions za watu wengi kama atafanya kosa.
Inawezekana mwingine akaona sio kosa , mwengine akaona ni kosa, ila ikiwa watu wengi wakaona the same thing, ujue Kuna shida .
Mungu kama ndio kamuweka atakamilisha misheni yake regardless of what na hivyo vigingi atavuka kama kawaida maana hao wapuuzi hawatashinda..Kabisa maana ni hatari. Na ndo alivosema tumuombee, Mungu ni muweza anaweza kutuepusha na mabaya.
Hilo ndio kosa lake la kwanza la pili litatokana na la kwanza kama alivyosema nabii na atapata upinzani mkubwa ndani na nje ya chama chake.Naomba kuuliza alishafanya kosa hata moja ili tuanze kutafakari mapema nini kitakachojiri hapo baadae...
Bro mimi hata kabla ya leo wewe kuleta hii juzi tulikaa sehemu wadau wakawa wanajadili possibility ya mama kupotoshwa ili 2025 atemwe. Kwakuwa ukizingatia hakukua na haja ya kuendelea na mkataba hata kama upo sahihi baada ya kelele kama Rais ningekuwa mshauri wake ningemwambia ustishwe ajipe muda kwamza wakuuangazia.
Ila kupita kama vile hasikii kinachoendelea hata kama (mkataba upo sahihi) inamuharibia.
Kwa mfano kwa jicho pana (aliandika Yericko Nyerere) nikaona Ina mantiki. Mwarabu hawezi iendeleza Dar kwa kiwango hicho tunachodhani kwakuwa kufanya hivo nikuiua bandari ya Dubai ambayo saizi ni lango kuu kwa Afrika, wakati East Afrika ni more strategic kuliko Dubai. Hivo ukiendeleza Dar es salaam ni kama kuiua dubai. Hivo Dubai ana hodhi hizi bandari zisikue kwa kiwango cha kutishia bandari ya Dubai. Hivo kwasasa ilikuwa sahihi kuwapa kipaumbele wawekezaji kama wa kichina kuliko waarabu.
Kabisa.Unabii siyo jambo la kupuuza
Mnaotunza kumbukumbu vizuri, hv tarehe hiyo huyo kiongozi mwanamke alikuwa bado hajapatikana huko ea?!!!! Alitabiri nn sasa?Kweli na Kuna mengi kazungumza katika video hiyo ya dakika kama 5 sema sikuandika maana TISS si watu wa kuwachezea ila alichokisema mwaka 2021 mwezi wa August inatosha kufahamu huyu Rais mwanamke kutoka Afrika ya Mashariki ni nani.
Ilikuwa tarehe 22 August 2021, ok Rais huyu mwanamke wa Afrika Mashariki aliapishwa kabla ya mwezi wa 8 au baada ya mwezi wa 8?Mnaotunza kumbukumbu vizuri, hv tarehe hiyo huyo kiongozi mwanamke alikuwa bado hajapatikana huko ea?!!!! Alitabiri nn sasa?
Hii ni mada ya haters na wenye stress, wenye utulivu tuendelee na mada zinazojenga!!
Madam wetu, president, Samia Suluhu Hassan, ni mtu anayejiamini na sidhani kamwe kama anaweza kubadili msimamo kaa jambo jema kwa nchi kisa makelele ya shetani kadhaa waovu. Isitoshe, the strongest man in the world is he who stands alone!Bro mimi hata kabla ya leo wewe kuleta hii juzi tulikaa sehemu wadau wakawa wanajadili possibility ya mama kupotoshwa ili 2025 atemwe. Kwakuwa ukizingatia hakukua na haja ya kuendelea na mkataba hata kama upo sahihi baada ya kelele kama Rais ningekuwa mshauri wake ningemwambia ustishwe ajipe muda kwamza wakuuangazia.
Ila kupita kama vile hasikii kinachoendelea hata kama (mkataba upo sahihi) inamuharibia.
Kwa mfano kwa jicho pana (aliandika Yericko Nyerere) nikaona Ina mantiki. Mwarabu hawezi iendeleza Dar kwa kiwango hicho tunachodhani kwakuwa kufanya hivo nikuiua bandari ya Dubai ambayo saizi ni lango kuu kwa Afrika, wakati East Afrika ni more strategic kuliko Dubai. Hivo ukiendeleza Dar es salaam ni kama kuiua dubai. Hivo Dubai ana hodhi hizi bandari zisikue kwa kiwango cha kutishia bandari ya Dubai. Hivo kwasasa ilikuwa sahihi kuwapa kipaumbele wawekezaji kama wa kichina kuliko waarabu.