Unabii wa Godbless Lema kwa Dkt. Pima umetimia mapema sana

Unabii wa Godbless Lema kwa Dkt. Pima umetimia mapema sana

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
SHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA

Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.

"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri

"Wewe Dkt. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".

Godbless Lema, Novemba 17. 2020

NB: hili andiko sio langu
 
Back
Top Bottom