Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #21
You're next hahaahaahaHuyo Nabii Lema apewe Maua yake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You're next hahaahaahaHuyo Nabii Lema apewe Maua yake!
Suala la muda tuBado DAB
Nawatafikiwa na haki tu,siku isiyo na jina🤔Walioshiriki kutaka kudhurumu uhai wa mh Lissu sasa hivi wamebakia wachache sana uraiani
Kweeeeeriiiiiiii ndugu zangu au nadanganya?Yule kocha mchezaji?
Mungu hana likizo daima yupo kaziniNawatafikiwa na haki tu,siku isiyo na jina[emoji848]
AiseeeKapigwa Mvua 20 bila huruma
Yule yakimkuta taifa litafanya sherehe kubwa sanaSuala la muda tu
Lema mwenyewe ndio kaleta huu upupu hapaSHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA !
Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.
"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri
"Wewe Dr. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".
Mhe. LEMA, Novemba 17. 2020
NB: hili andiko sio langu
Hutaki kanywe sumuLema mwenyewe ndio kaleta huu upupu hapa
Acha chuki na uchochezi au unaweza thibitisha hoja yako🤔Lema mwenyewe ndio kaleta huu upupu hapa
Ndio Nini hiki?Lema mwenyewe ndio kaleta huu upupu hapa
Nina taarifa ambazo Sio rasmi sana kuwa alishaenda mara kadhaa kumpigia magoti Mzee Mbowe amsameheYule yakimkuta taifa litafanya sherehe kubwa sana
Wachana na sukuma gang bado wapo kwenye kusubiria miujiza ili yesu wao arudiNdio Nini hiki?
Mbowe kamwe hawezi hata kukubali kukutana na yule sheitwaaaanNina taarifa ambazo Sio rasmi sana kuwa alishaenda mara kadhaa kumpigia magoti Mzee Mbowe amsamehe
Bado wako kwenye DENIALWachana na sukuma gang bado wapo kwenye kusubiria miujiza ili yesu wao arudi
@Elli nini kimemkuta huyo bwana? Kimsingi Lema mtu mzito kwenye spiritual realm asichukuliwe poa.Ndio Nini hiki?
Mkuu heshima yako unaniweka mashakani kwa kunywa maeneo hayo.Kamanda tupo pamoja hapa PICNIC tunatwanga kilaji
Kahukumiwa miaka 20 Lupango@Elli nini kimemkuta huyo bwana? Kimsingi Lema mtu mzito kwenye spiritual realm asichukuliwe poa.