Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee!! Kama una link ya uzi share plsKahukumiwa miaka 20 Lupango
Hapana kuwa na amani maana hayo ndiyo maeneo niliyokuliaM
Mkuu heshima yako unaniweka mashakani kwa kunywa maeneo hayo.
GAMONDI LAO.Walioshiriki hujuma hizi wengi wao wameshatangulia mbele ya haki akiwepo aliyekuwa kocha wao.
Aiseee!! Kama una link ya uzi share pls
Mwewe kafungwa sassUzi umeja hadithi za Abunuwasi, dua za kuku kwa mwewe na machozi ya Samaki, Lema sio mtabiri.
Hahahahhaahaaha nimecheka kama bwege wallah! Eti mwewe kafungwa saa! Kwamba kama haamini aandamaneMwewe kafungwa sass
KaVideo TafadhaliSHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA !
Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.
"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri
"Wewe Dr. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".
Mhe. LEMA, Novemba 17. 2020
NB: hili andiko sio langu
Hahahahhaahaaha nimecheka kama bwege wallah! Eti mwewe kafungwa saa! Kwamba kama haamini aandamaneMwewe kafungwa sass
KarmaSHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA
Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.
"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri
"Wewe Dkt. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".
Godbless Lema, Novemba 17. 2020
NB: hili andiko sio langu
Kamanda tupo pamoja hapa PICNIC tunatwanga kilaji
Eti NABII kabisa lema Mmachame wa Masama mwee!SHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA
Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.
"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri
"Wewe Dkt. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".
Godbless Lema, Novemba 17. 2020
NB: hili andiko sio langu
Unaandika kana kwamba kila mtu anamjua huyo Pima na kilitokea nini kati yake na Godbless Lema na sasa kumetokea kitu gani kuonesha kuwa unabii umemtimia..SHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA
Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.
"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri
"Wewe Dkt. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".
Godbless Lema, Novemba 17. 2020
NB: hili andiko sio langu
Nipo kwa shivas hapa,nimelaza bapaKamanda tupo pamoja hapa PICNIC tunatwanga kilaji
HakikaHahahahhaahaaha nimecheka kama bwege wallah! Eti mwewe kafungwa saa! Kwamba kama haamini aandamane