Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kwamba ataitwa?Huyu chalii yuko vizuri alimtabiria hata bwana yule
HahaahhaaHiyo salamu niendelee kufika kwa wana🦎🍀wote popote walipo🏃🏃😂
Alimtabiria Sabaya na yakamkutaAisee! Lema ni mtabiri
Kamanda tupo pamoja hapa PICNIC tunatwanga kilajiHiyo salamu iende na kufika kwa wana[emoji1656][emoji256]wote popote walipo[emoji125][emoji125][emoji23]
Alaa kumbe,Huyu chalii yuko vizuri alimtabiria hata bwana yule
Kapigwa Mvua 20 bila hurumaKwani imekuwaje tena?
Au tayari.....
Hata yule kijana jeuri,saa mbovu alitabiri wa😂Huyo Nabii Lema apewe Maua yake!
DahKamanda tupo pamoja hapa PICNIC tunatwanga kilaji
Nikutakie jioni njema Mwamba.Kamanda tupo pamoja hapa PICNIC tunatwanga kilaji
Walioshiriki kutaka kudhurumu uhai wa mh Lissu sasa hivi wamebakia wachache sana uraianiMuda ni mwalimu mzuri sana.
Yule kocha mchezaji?Walioshiriki hujuma hizi wengi wao wameshatangulia mbele ya haki akiwepo aliyekuwa kocha wao.
Bado DABKapigwa Mvua 20 bila huruma