Unabii wa Godbless Lema kwa Dkt. Pima umetimia mapema sana

Daaaah .. Lema ni mtu na nusu
 
Duh Pole sana
Aaah ndugu Elli, pole ya nini sasa?

Hakukuwa na ubaya wowote kama angeweka background fupi ya tukio analolisimulia ili hata waliosahau au ambao hawajawahi kufuatilia kabisa kisa cha Pima na Lema wapate picha ya kilichotokea huko nyuma..

Hivyo ndivyo ambavyo hufanyika ktk ku - ripoti story inayosimulia tukio lolote lenye mwendelezo flani.....
 
Naam Kaka, nilifanya hivyo! Hakuna shaka, Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…