Ndugai amtafute Lema wayamalize Mapema
 
Mimi siingii kichwakichwa kiongozi... ndo maana naomba mwongozo wa Nabii Lema...

Najua Saint Anne alikuwa kichwa sana chuoni. Ila hata mimi sio wa kubeza. Kama unabisha kamuulize mwalimu wangu wa Sayansi Kimu pale Mtakuja primary school, darasa la 6B.
 
 
Na mimi wa tatu, hapa nimepata maono huko Hai watu wanasherehekea utadhani mwezi umeonekana Hai!
Ilitakiwa uwe ulisema kabla tena mapema, halafu yakaja kutokea, huo ndio unabii.
Vinginevyo unakuwa ni reporter wa matukio au mjanjamjanja kama wapiga ramli
 
Aiseee 🤔🤔, wooraaa Lema 🤣🤣 Nyinda meku!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…