Unadhani Mashahidi wanne ambao wameombwa kulindwa wasitajwe na Kibatala kesi ya Mbowe ni wakina nani?

Unadhani Mashahidi wanne ambao wameombwa kulindwa wasitajwe na Kibatala kesi ya Mbowe ni wakina nani?

Hali imebadilika mahakamani baada ya Kibatala kuomba Mashahidi wanne wasitajwe mahakamani kwa Usalama wao. Hali hii imepelekea Mawakili wa Jamhuri kuomba kesi iarishwe au la sivyo isikilizwe bila kuwepo watu mahakamani.

Je, Mashahidi hao ni waking Nani? Lakini kwa upande mwingine Jamhuri imetoa vielelezo ambapo vielelezo vyote vinatokana na kazi za awali za watuhumiwa wa Kwanza Hadi watatu na hukuna kilipuzi kwenye vielelezo hivyo. Vingi ya vielelezo ni sare za kaxi za Jeshi .
Sasa kama Mahakama imeombwa wasitajwe sisi ni nani wa kuwataja?
Uoni kwamba JF inatumiwa na watu kuingilia ushaidi /kesi inayoendelea?
Kwa mfano wakikurupuka watu hapa bila kujua na kuwataja huoni kuwa usalama wa watu hao uko hatarini?
 
Mawakili wameomba mashahidi wasitajwe mahakamani...

Halafu wewe unataka watu wakisie majina yao na wawataje huku JF...

Je, JF itapigania usalama wa raia ambao mahakama imeona si busara kujulikana??
Kwa kweli hata mimi sijamuelewa muanzisha uzi huu..
 
Ili nalo litapita, ila MBOWE na wapinzani wengine waachane na siasa wafanye shughuli zingine ama warudi ccm.
Sioni anachokoswa ama anachotafuta mbowe katika maisha yake hadi ajivike UKUHANI wa Akina mussa kuwaokoa Wanaisrael kutoka kwa farao. Nchi hii si rafiki kwa mtu aliyeko nje ya Ccm.
Mathayo 4:4 Mtu hataishi kwa mkate tu, ...

Duniani lazima wawepo watu kama Mbowe, Lissu, n.k. Aidha, thamani halisi ya binadamu ni zaidi ya ukwasi wake. Katika Maslow's hierarchy of needs watu wa maana hupania kufikia hatua ya SELF-ACTUALIZATION.
 
Hii kesi utawatoa jasho hao mawakili was serikali na mashaidi wao Mana mengi yanaenda kufimuliwa.
 
Uwongo wa polisi unakaribia kuanikwa hadharani.
 
Katiba ilikuwa rahisi kupatikana chini ya magufuli kuliko kiongozi yoyote tena katiba ya kweli siyo ya kinafiki ila ukiwa na saikoloji ndogo ni vigumu kunielewa magu alitambua sana ubovu wa hii katiba ila alitumia ubovu wake kama alivyosema nyerere kuwa akipatikana kiongozi mzuri hii katiba itamfaa ila akipatikana kiongozi fisadi watz tutajuta, ubaya wa magu unatokana na kukuta nchi imechafukwa kwa mafisadi wauza unga nk ndiyo maana tunamuona magufuli kuwa ni dictator ila angekuta nchi ipo kama wakati wa nyerere watu tungegundua kuwa magu alikuwa kiongozi mzuri sana
Hoja yako ni nzuri sana kiongozi
Mbali na mapungufu ya Jpm bado alionesha kujali na kuwa na matamanio ya maendeleo.

Maendeleo sio kitu chepesi kuna gharama yake, hata katika familia inawezakufikia hatua baba unachukiwa kwa upungufu wa mhitaji fulani kisa unahitaji kutimiza lengo fulani.

Shida tupeta kiongozi mwepesi alafu nyima yake kuna watu wana ajenda za uchuwa uongozi, pesa n.k
 
Je, Mashahidi hao ni waking Nani?

1631289937063.png

--
1631290053154.png

--
1631290213980.png
 
Kwamba chini ya utawala wa magufuli katiba mpya ilikuwa inawezekana? upo serous kweli?
Najua unatania, jaribu kuwa serious kwasababu kwa kauli yako hii unajaribu kutonesha vidonda na majeraha ya watu.
Ikiwa tu uvumilivu wa kisiasa hakuwa nao ni kwa namna ipi hasa uzani alikuwa Nia ya Katiba mpya ?.
Yaan mhalifu anachangia ujenzi wa mahakama!!.. Oooh.
Unayatazama mambo Katika angle ipi? Inawezakuwa unaishi katika ulimwengu wako mwenyewe.
Wewe ujui tsbia za watu kama magufuli mm nakuambia chini ya magufuli katiba ingepatikani tena nzuri isiyo na unafiki
 
Kwamba chini ya utawala wa magufuli katiba mpya ilikuwa inawezekana? upo serous kweli?
Najua unatania, jaribu kuwa serious kwasababu kwa kauli yako hii unajaribu kutonesha vidonda na majeraha ya watu.
Ikiwa tu uvumilivu wa kisiasa hakuwa nao ni kwa namna ipi hasa uzani alikuwa Nia ya Katiba mpya ?.
Yaan mhalifu anachangia ujenzi wa mahakama!!.. Oooh.
Unayatazama mambo Katika angle ipi? Inawezakuwa unaishi katika ulimwengu wako mwenyewe.
Ukiwa na moyo safi na ukawa kiongozi wa juu ndiyo utajua hii nchi ilifikia wapi kwenye uchafu magufuli alikuwa anapambana na waharifu wakubwa mno kumbuka kabla ya korona tulizushiwa kuficha ugonjwa wa dhika walivyo shindwa wakazusha kuwa ebora nayo ikashindwa ndipo ulipo kuja ukonjwa wa korona hii ndiyo ilimfanya magu kutumia mbinu za kivita katika kila anacho fanya kupambana na waharifu waliojivisha vazi la kondoo
 
Hoja yako ni nzuri sana kiongozi
Mbali na mapungufu ya Jpm bado alionesha kujali na kuwa na matamanio ya maendeleo.

Maendeleo sio kitu chepesi kuna gharama yake, hata katika familia inawezakufikia hatua baba unachukiwa kwa upungufu wa mhitaji fulani kisa unahitaji kutimiza lengo fulani.

Shida tupeta kiongozi mwepesi alafu nyima yake kuna watu wana ajenda za uchuwa uongozi, pesa n.k
Magufuli hakuwa na mapungufu wanayo msema ila kuna vita ilikuwa anapambana nayo kwa jicho la uraisi mfano unajua kuwa nchi ya pili kwa tanzanite ilikuwa ni kenya sasa nikuulize wewe unadhani hayo hayakuwa yanaratibiwa na serikali ya kenya pamoja na mafisadi wa kimataifa kuna vita kubwa magufuli alikuwa anapigana nayo kwa maslai ya taifa pasipo watu kujua
 
Ili nalo litapita, ila MBOWE na wapinzani wengine waachane na siasa wafanye shughuli zingine ama warudi ccm.
Sioni anachokoswa ama anachotafuta mbowe katika maisha yake hadi ajivike UKUHANI wa Akina mussa kuwaokoa Wanaisrael kutoka kwa farao. Nchi hii si rafiki kwa mtu aliyeko nje ya Ccm.
Acha ujinga ww
 
Back
Top Bottom