Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.

Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.

Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?

Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
 
Iran Mimi nashauri asipige Israel ila asambaze mpunga na vifaa na technology zake kwa hawa makundi yake halafu vita ipiganwe kwa muda mrefu huku yeye anasapoti tu mdogo mdogo kama ni kulipiza afyatue tu kibalozi ka Israel tena nje ya Israel alafu aseme kisasi kimeisha
 
Iboreshe kwanza Intelejensia yake, iondoe moles woote.

Iwaambie Jews wote walioko Iran, ni either waondoke au wasijihusishe na ujasusi otherwise wawafukuze wote.
Ijipe muda na special programmes kutengeneza watalaam wa kutosha nk.

Ihakikishe ina viwanda vya kutosha kutengeneza silaha mbalimbali kuanzia nyepesi mpaka nzito kama tanks nk.

Iboreshe naval force yake iwe ya kisasa kwa kushirikiana na North Korea na Urusi.

Kuna makombora na technolojia ikanunue Tu Urusi, China na Russia hasa hizi supersonic missiles.
 
Wananchi wa Iran waiondoe hiyo Serikali ya Kidini waweke Serikali ya Kisecular wataishi kwa Amani na Majirani zao wote.

Serikali ya Kiislamu katiba yake ni Quruani na Quruani inasema wasake Makafiri na Wayahudi popote pale walipo na kuwaua, hebu Imagine?!

Tuko 2024 fitna za Karne ya saba hazina nafasi.
 
Iran Mimi nashauri asipige Israel ila asambaze mpunga na vifaa na technology zake kwa hawa makundi yake halafu vita ipiganwe kwa muda mrefu huku yeye anasapoti tu mdogo mdogo kama ni kulipiza afyatue tu kibalozi ka Israel tena nje ya Israel alafu aseme kisasi kimeisha
Ushauri mzuri
 
Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja,
Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.
Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara.?.
Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Arab League ilitakiwa iwe mstari wa mbele kupigania Palestine iwe taifa ila tayari imeahatekwa na Marekani
 
Iboreshe kwanza Intelejensia yake, iondoe moles woote.
Iwaambie Jews wote walioko Iran, ni either waondoke au wasijihusishe na ujasusi otherwise wawafukuze wote.
Ijipe muda na special programmes kutengeneza watalaam wa kutosha nk.
Ihakikishe ina viwanda vya kutosha kutengeneza silaha mbalimbali kuanzia nyepesi mpaka nzito kama tanks nk.

Iboreshe naval force yake iwe ya kisasa kwa kushirikiana na North Korea na Urusi.
Kuna makombora na technolojia ikanunue Tu Urusi, China na Russia hasa hizi supersonic missiles.
Ushauri mzuri pia.
Akirusha makombora kama yale japo yalileta mafanikio na kuonesha anaweza na ana teknolojia.Kwa muda huu yanaweza yakadakwa kirahisi kwani Marekani amejipanga kuisaidia Israel kiuwazi wazi kabisa.
Inauma sana kuona Israel ikifanya jeuri na dharau kwa waislamu lakini hapo inataka mbinu nzuri za kivita.
Kuhusu kukuza teknolojia na kununua data za silaha wala Iran hafanyi uzembe katika hilo.
 
Wananchi wa Iran waiondoe hiyo Serikali ya Kidini waweke Serikali ya Kisecular wataishi kwa Amani na Majirani zao wote.

Serikali ya Kiislamu katiba yake ni Quruani na Quruani inasema wasake Makafiri na Wayahudi popote pale na kuwaua, hebu Imagine?!
Ukisema 'secular' nadhani unamaanisha pro-western government....
 
Ukisema 'secular' nadhani unamaanisha pro-western government....
Hata Urusi ni Secular hata China nk unaposema Serikali ni ya Kiislamu ina maana Quruani ndio inakuwa Katiba yako Quruani nayo imeandikwa karne ya saba ina makandokando mengi.
 
Wananchi wa Iran waiondoe hiyo Serikali ya Kidini waweke Serikali ya Kisecular wataishi kwa Amani na Majirani zao wote.

Serikali ya Kiislamu katiba yake ni Quruani na Quruani inasema wasake Makafiri na Wayahudi popote pale na kuwaua, hebu Imagine?!

Tuko 2024 fitna za Karne ya saba hazina nafasi.
Wananchi wa Israel wakifanya hivyo watakuwa wametumia hekima sana kwani hali ilivyo serikali ya Netanyahu iliyopo madarakani imewaponza na kuwafanya waishi maisha ya wasi wasi kama wasudani na wasomali.
 
Hata Urusi ni Secular hata China nk unaposema Serikali ni ya Kiislamu ina maana Quruani ndio inakuwa Katiba yako Quruani nayo imeandikwa karne ya saba ina makandokando mengi.
Mbona hizo nchi za Ghuba zinafuata hiyo Koran na Zina maendeleo?
 
Islamic Republic ni moja tu katika Mashariki nyingine ni Monarch's kwa mfano UAE haitaki hata kuwaona Islamic Brotherhood.
Hata Saud Arabia, UAE hawataki kabisa kuwaona hao brotherhood maana ni tishio kwa hizo Falme isipokuwa Qatar pekee.

Ismalic republic ni jina tu ila hata hizo Falme zinafuata Sheria hizo hizo za kiislamu.
 
Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.

Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.

Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?

Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.


Iran (mashia) haiaminiki. Ni watu wa khiyana kama ilivyo tabia yao.
 
Back
Top Bottom