Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.

Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.

Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?

Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Hakuna haja ya kutunisha misuli itaumiza watu wake zaidi.

Unaeshindana nae Ukubwa wake ni kama Wilaya ya Hai,wamechimba mahandaki Kila mtaa watu wao kujihifadhi.

Wewe Nchi Yako ni kubwa Tanzania mara 2 ,Kwa hili hii unadhani wapi ni rahisi ku manage?

Licha ya Kanchi kuwa kadogo, uchumi wake ni mkubwa kuliko wa Iran.

On top of that Kana sapoti ya Nchi zilizo na Uchumi mkubwa eg USA ,Europe nk .
 
Hakuna haja ya kutunisha misuli itaumiza watu wake zaidi.

Unaeshindana nae Ukubwa wake ni kama Wilaya ya Hai,wamechimba mahandaki Kila mtaa watu wao kujihifadhi.

Wewe Nchi Yako ni kubwa Tanzania mara 2 ,Kwa hili hii unadhani wapi ni rahisi ku manage?

Licha ya Kanchi kuwa kadogo, uchumi wake ni mkubwa kuliko wa Iran.

On top of that Kana sapoti ya Nchi zilizo na Uchumi mkubwa eg USA ,Europe nk .
Hoja iliyoficha ukweli na uwezo thabiti wa nani ni nani!


Heko mkuu
 
Kwenye bandiko lako umekiri vitu vitatu either kwa kujua au kutojua.
Umetambua kuwa Israel ina zana bora za kivita na n nguvu za kivita;
Umekiri kwamba Iran ilipata hasara na pia umekiri kwamba mbinu waliyoitumia hapo awali hakikuzaa mafanikio.
Hongera sana
Kwa hiyo umefurahi na mimi naongeza isreli alishinda juzi maana aliharibu viju vya nuclear aliharibu kiwanda cha silaha na itachukuua miaka 200 kuweza kukirejesha katika hali yake
 
Hakuna haja ya kutunisha misuli itaumiza watu wake zaidi.

Unaeshindana nae Ukubwa wake ni kama Wilaya ya Hai,wamechimba mahandaki Kila mtaa watu wao kujihifadhi.

Wewe Nchi Yako ni kubwa Tanzania mara 2 ,Kwa hili hii unadhani wapi ni rahisi ku manage?

Licha ya Kanchi kuwa kadogo, uchumi wake ni mkubwa kuliko wa Iran.

On top of that Kana sapoti ya Nchi zilizo na Uchumi mkubwa eg USA ,Europe nk .
Lakin wew huoni huyu mwenye vikwazo na asiyepewa msaada amefanikiwa kuliko huu mtegemezi .unashundanaje mtegemezi na anayetigemea kwa wataalam wake
 
Chakufanya Iran ahakikishe kwanza amejidhatiti kwa mifumo ya ulinzi wa anga katika maneno yote sensitive, cha pili afanye utafiti wa kina kwamba ni aina gani ya makombora ambayo hayawezi kuzuiwa na mifumo ya ulinzi ya adui pia afahamu kwamba kadiri kombora linavyosafiri kwa umbali mrefu ndivyo uwezekano wa kudunguliwa unakuwa mkubwa
Kwa hiyo we uliyosoma HGE ndo unaelewa kuliko wao wano yatengeneza na kuyarusha ..mbona awamu ya pili hawakuweza kuzuia .ni kuambie tu unachofaham wew kuhusu hizo program ni 0.000001%
 
Yeye na USA wananguka kwa mpigo mmoja.
Na ujio wa brics+ ndo utachagiza hilo ..kwa sasa suction kwa Iran atapa relief kufanya biashara mbali mbalia na mataifa makubwa kama South Africa..China..India na Brazil na Russia bila kikwazo
 
Hakuna haja ya kutunisha misuli itaumiza watu wake zaidi.

Unaeshindana nae Ukubwa wake ni kama Wilaya ya Hai,wamechimba mahandaki Kila mtaa watu wao kujihifadhi.

Wewe Nchi Yako ni kubwa Tanzania mara 2 ,Kwa hili hii unadhani wapi ni rahisi ku manage?

Licha ya Kanchi kuwa kadogo, uchumi wake ni mkubwa kuliko wa Iran.

On top of that Kana sapoti ya Nchi zilizo na Uchumi mkubwa eg USA ,Europe nk .
Nchi inavyokuwa ndogo ndo inakuwa more vulnerable mmana athari za shambulio lolote lazima kila mtu aliweze kulisikia kikamilifu si uliona octoba mosi mpaka Netanyahu alianza kukimbia hivyo na hiyo ni mabomu 200 tu ..zikipigwa 800 itakuwaje unafikiri
 
Back
Top Bottom