Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

Safari hi Iran atafumua mpaa wa Israel watajuta hata kulitamka jina la Iran kwenye midomo yao tena.

Kipigo nikikubwa sana kina kuja na Yemen atatoa dozi pia alijipanga kulipa ya Al Houdaida kimemsimamisha ni hayo mauwaji ya Ismail Al Hania R.I.P
kwa uwezo wa allah alie ijalia israel maarifa makubwa sana israeli itawapiga hao makafiri walio ungana mpaka watakapo mtambuwa allah wa kweli alie jitambulisha kwa jina la yehova kwa mababu wa israel huku akijinadi kuwa yeye ni bwana wa vita
 
kwa uwezo wa allah alie ijalia israel maarifa makubwa sana israeli itawapiga hao makafiri walio ungana mpaka watakapo mtambuwa allah wa kweli alie jitambulisha kwa jina la yehova kwa mababu wa israel huku akijinadi kuwa yeye ni bwana wa vita
Mtume Muhammad alisha sema Israel itasambaratishwa hata yaje mataifa matano kama US yamsaidie Israel ni bye bye tu. Sijui taifa gani mtachagua liwe la Mungu wa Paulo badaye 😄
 
Mtume Muhammad alisha sema Israel itasambaratishwa hata yaje mataifa matano kama US yamsaidie Israel ni bye bye tu. Sijui taifa gani mtachagua liwe la Mungu wa Paulo badaye 😄
Kusambaratika kwa Israel katikati ya ulinzi wa mataifa makubwa itakuwa ndio maajabu mapya ya dunia.
Kibinadamu wengi hawajaweza kuliona hilo kuwa liko njiani.
 
Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.

Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.

Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?

Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
ahamna chenyewe inaweza fanya!
Iingie mkataba wa amani kama ilivo fanya Egypt.
Ni simple
 
Mtume Muhammad alisha sema Israel itasambaratishwa hata yaje mataifa matano kama US yamsaidie Israel ni bye bye tu. Sijui taifa gani mtachagua liwe la Mungu wa Paulo badaye 😄
mtume wenu 😂😂😂
huyo mwenyewe ndio chanzo cha uovu bado unaamini??
Biblia inasema “Nae (israel) ataporudi hamna taifa litaloweza kumng’oa”
 
mtume wenu 😂😂😂
huyo mwenyewe ndio chanzo cha uovu bado unaamini??
Biblia inasema “Nae (israel) ataporudi hamna taifa litaloweza kumng’oa”
Haya tutaona Paulo na Mtume Muhammad nani ni fake Prophet time will tell.
 
Huamini tu??
Tubuni na kuiamini injili
Nyie mna bibilia Injil alikuja nayo Yesu, Paulo. Mateo, Joni, Luka, na Mako hawajawahi hata kumuona Yesu ukinionyesha dalili moja hao walikutana na Yesu za uhakika sio za kuota Shetani. Mtu yuko chini ya mti wa mkuni pale daima ni majoka tu na majoka ni shetani tu ataona Mitume au Malaika subutu 😄

Hebu soma hi nakala nzuri sana

Shambulio linaanza lini? Katika makala nzuri ya Hussein Al-Dirani, anasema:

"Wakati usiku huu ni usiku wa nne ambapo walowezi wa Kizayuni watekaji nyara wanalazimika kujificha kwenye makazi yenye injini za umeme na masanduku ya maji na chakula baada ya kuvamia maduka ya vyakula... wanajiandaa kwa woga na kutetemeka!

Wakati soko la hisa la Marekani na soko la hisa likiwa katika hali duni isiyo na kifani na wataalam wa uchumi wa dunia kutangaza hasara ya dola trilioni 2.9 baada ya tishio la Iran!

Wakati Amerika inalazimika kutumia mamilioni ya dola kusafirisha meli za kivita, ndege kubwa na wapiganaji hadi eneo hilo!

Viwanja vya ndege vya Kizayuni vinapofungwa na safari za ndege kusitishwa moja baada ya nyingine!

Wakati hakuna Mzayuni hata mmoja ambaye yuko tayari kuhamia maeneo yaliyokaliwa ili kukaa!

Wakati, kama wanasema, walowezi zaidi ya 500,000 walipokanyaga katika ardhi hii iliyokaliwa kwa ahadi ya usalama, waliondoka na bado wanaondoka!

Wakati Mossad wanahamisha jengo la kati lenyewe kwa hofu!

Wakati viwanda na bandari zao kupokea amri ya kuacha shughuli zao na kuondoka mzunguko wa shughuli na uzalishaji!

Wakati nchi kadhaa zinaingilia kati kwa njia ya kufedhehesha kusimamisha hatua zinazofuata za kulipiza kisasi za Irani, haiwezekani, Mungu akipenda.

🔴 Shambulio limeanza kabla halijaanza, na kinachoendelea ni sehemu ya vita.. Hebu jifikirie (uko wapi?)!!"
 
Ushauri wa Medvedev ni ushauri sahihi japo siyo mzuri. Tatizo ni kuhimili the results
 
Nyie mna bibilia Injil alikuja nayo Yesu, Paulo. Mateo, Joni, Luka, na Mako hawajawahi hata kumuona Yesu ukinionyesha dalili moja hao walikutana na Yesu za uhakika sio za kuota Shetani. Mtu yuko chini ya mti wa mkuni pale daima ni majoka tu na majoka ni shetani tu ataona Mitume au Malaika subutu 😄

Hebu soma hi nakala nzuri sana

Shambulio linaanza lini? Katika makala nzuri ya Hussein Al-Dirani, anasema:

"Wakati usiku huu ni usiku wa nne ambapo walowezi wa Kizayuni watekaji nyara wanalazimika kujificha kwenye makazi yenye injini za umeme na masanduku ya maji na chakula baada ya kuvamia maduka ya vyakula... wanajiandaa kwa woga na kutetemeka!

Wakati soko la hisa la Marekani na soko la hisa likiwa katika hali duni isiyo na kifani na wataalam wa uchumi wa dunia kutangaza hasara ya dola trilioni 2.9 baada ya tishio la Iran!

Wakati Amerika inalazimika kutumia mamilioni ya dola kusafirisha meli za kivita, ndege kubwa na wapiganaji hadi eneo hilo!

Viwanja vya ndege vya Kizayuni vinapofungwa na safari za ndege kusitishwa moja baada ya nyingine!

Wakati hakuna Mzayuni hata mmoja ambaye yuko tayari kuhamia maeneo yaliyokaliwa ili kukaa!

Wakati, kama wanasema, walowezi zaidi ya 500,000 walipokanyaga katika ardhi hii iliyokaliwa kwa ahadi ya usalama, waliondoka na bado wanaondoka!

Wakati Mossad wanahamisha jengo la kati lenyewe kwa hofu!

Wakati viwanda na bandari zao kupokea amri ya kuacha shughuli zao na kuondoka mzunguko wa shughuli na uzalishaji!

Wakati nchi kadhaa zinaingilia kati kwa njia ya kufedhehesha kusimamisha hatua zinazofuata za kulipiza kisasi za Irani, haiwezekani, Mungu akipenda.

🔴 Shambulio limeanza kabla halijaanza, na kinachoendelea ni sehemu ya vita.. Hebu jifikirie (uko wapi?)!!"
Mkuu
“Mti mwema hujulikana na matunda yake”
Umemezeshwa political islam
ushaona dini ina had watu wakufanya propaganda😂😂😂shauri yako
 
Ushauri wa Medvedev ni ushauri sahihi japo siyo mzuri. Tatizo ni kuhimili the results
Ungemshauri US huo ushauri ungemfaa sana, kuliko kutafuta shari anatoka wapi kuja hangaika middle east.
Mullah Omar alimuambia G.W.Bush tutaona nani anasema ukweli kati ya Mungu na Bush. Alisema hivi; Bush kaniambia atakuja nimaliza hakuna sehemu itakuwa salama kwangu hapa Afghanstan, na Mungu anasema pigania haki yako usiondoe hata Mguu chembe kwenye ardhi yako utapa ushindi. Sa ukweli ulionekana badaye G.W.Bush hakushinda na Mullah Omar akawa hai anadunda mpaa Kafa 2013 kwa amri ya Mungu sio ya Bush.
 
Mtume Muhammad alisha sema Israel itasambaratishwa hata yaje mataifa matano kama US yamsaidie Israel ni bye bye tu. Sijui taifa gani mtachagua liwe la Mungu wa Paulo badaye 😄
Huyo sio mtu wa kuamini hata kidogo, alidanganya watu kwamba Mungu eti alimtelemshia msaafu huku madhaifu yake yote akiyahalalisha kwamba Mungu ameyakubali...😲😲😲

Watu wa zamani walikuwa ni mapimbi kabisa, yaani mtu anawadanganya kwamba ametumwa na Mungu halafu eti na nyie mnakubali tu, watu wa sasa kamwe hawawezi kukubali usanii huo.
 
Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.

Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.

Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?

Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Wasijaribu hata kukariBia maeneowaliyo hifàdhi Silaha za mangamizi
Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.

Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.

Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?

Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Wasikaribie maeneo Yao walio hifandi Silaha za mangamizi sababu Yahudi anawaona na Ameapa!;
👂👂
Report: Israel could preemptively strike Iran if intelligence shows attack is imminent | The Times of Israel - https://www.timesofisrael.com/israe...intelligence-shows-attack-is-imminent-report/
 
Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.

Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.

Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?

Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Kajiunge nae
 
Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.

Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.

Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?

Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Iran amebonywezwa kabonyezeka wanamsubiri kny 18
 
Back
Top Bottom