Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

Hao wanapewa amri na Saud Arabia na Saud Arabia ana undugu na Israel haswa viongozi wake 😄
Iran itoe muda maalum wa Israel kusitisha vita na isikikane kuwa kuna shule imepigwa au kombora limepiga kambi ya wakimbizi.Iwapo sharti hilo litavunjwa Iran iendeleze kipigo bila kusita
 
Iran itoe muda maalum wa Israel kusitisha vita na isikikane kuwa kuna shule imepigwa au kombora limepiga kambi ya wakimbizi.Iwapo sharti hilo litavunjwa Iran iendeleze kipigo bila kusita
Ndugu Iran sa mbili za nyuma commander wao General
Ali Fadawi anasema watamtia adabu Israel, kutekeleza amri ya Ayatollah Ali Khomen

 
Mtume Muhammad alisha sema Israel itasambaratishwa hata yaje mataifa matano kama US yamsaidie Israel ni bye bye tu. Sijui taifa gani mtachagua liwe la Mungu wa Paulo badaye 😄
usisome quran kwa jaziba soma almaida 20 israel kajaliwa kiliko walimwengu wote hakuna aya ktk quran allah kapora baraka kwa israel kama ipo ilete aya kuwa wamenemeshwa kuliko walimwengu wote ipo allah yehova amesha wapa hekima maarifa na utawala haitabatilika hadi kiama
 
Mtume Muhammad alisha sema Israel itasambaratishwa hata yaje mataifa matano kama US yamsaidie Israel ni bye bye tu. Sijui taifa gani mtachagua liwe la Mungu wa Paulo badaye 😄
hakuna iyo aya labda utumi hadith za kubumba zisizo na dalili kama zile za kusema mtume alikuwa anachuchumaa akikojoa na kuvaa nguo za bi aisha anapo pokea ufunuo😄
 
Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.

Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.

Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?

Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Mimi siko upande wowote, ila ukweli ni kuwa, Iran haina uwezo wa kuwapiga wayahudi.

Huo ndio ukweli.
 
Unajua gharama ya kujenga kinu kimoja cha nuclear?
Aliulizwa Ayatollah na raisi wa Iran... joking
 
usisome quran kwa jaziba soma almaida 20 israel kajaliwa kiliko walimwengu wote hakuna aya ktk quran allah kapora baraka kwa israel kama ipo ilete aya kuwa wamenemeshwa kuliko walimwengu wote ipo allah yehova amesha wapa hekima maarifa na utawala haitabatilika hadi kiama
Surah Al-Ma’idah Ayat 78 (5:78)
Cursed were those who disbelieved among the Children of Israel by the tongue of David and of Jesus, the son of Mary. That was because they disobeyed and [habitually] transgressed.

Deuteronomy 28.15-26
You will be unsuccessful in everything you do; day after day you will be oppressed and robbed, with no one to rescue you
Pia kosome Yohana 8.44

Hizo zote zinaongelea wa Israel wamelaniwa.
 
Surah Al-Ma’idah Ayat 78 (5:78)
Cursed were those who disbelieved among the Children of Israel by the tongue of David and of Jesus, the son of Mary. That was because they disobeyed and [habitually] transgressed.

Deuteronomy 28.15-26
You will be unsuccessful in everything you do; day after day you will be oppressed and robbed, with no one to rescue you
Pia kosome Yohana 8.44

Hizo zote zinaongelea wa Israel wamelaniwa.
Jamani biblia haisomwi hivyo, jaribu kuelewa context nzima ya hizo sura na mistari. Inawezekana una hoja ila, ijenge vizuri. Otherwise, utajipotosha na kupotosha wengine.

Lakini pia, Mungu wetu wakristo tunayemwamini hatetewi na mtu bali anajitetea mwenyewe na kulitetea jina lake. Sina uhakika na Mohamed SAW maana mnamtetea utafikiri yeye hawezi. Mwacheni ajitetee mwenyewe na kulitetea jina lake.

Mwisho. Vita haina mshindi, no matter what everyone loses. Mi naendelea kuomba kusitokee full scale war.
 
Hakika kile kitabu kina aya zinazohamasisha chuki dhidi ya binadamu wengine.
Juzi mtaani kwetu tulikuwa na kiji sherehe tukandaa mbuzi wawili,kuna jamaa mmoja muislam akaanzisha ligi huku akijua wakristo tupo wengi kwamba atakayechinja lazima awe muislam.Mzozo ulioibuka si wakitoto na tulipanga kuchinja siku ya alfajiri ya nane nane ngoma ikadoda mpaka saa tano asubuhi baada ya jamaa kuomba msamaha.Kuchinja haikuwa issue kwa sababu matukio tuliofanya ya sherehe ni mengi,ila jamaa aliposema lazima mgogoro ukaanzia hapo.Suluhisho lilikuwa kushirikiana wote katika kuchinja!.Jamaa ni washari sana ni cancer of the world.
 
Ungemshauri US huo ushauri ungemfaa sana, kuliko kutafuta shari anatoka wapi kuja hangaika middle east.
Mullah Omar alimuambia G.W.Bush tutaona nani anasema ukweli kati ya Mungu na Bush. Alisema hivi; Bush kaniambia atakuja nimaliza hakuna sehemu itakuwa salama kwangu hapa Afghanstan, na Mungu anasema pigania haki yako usiondoe hata Mguu chembe kwenye ardhi yako utapa ushindi. Sa ukweli ulionekana badaye G.W.Bush hakushinda na Mullah Omar akawa hai anadunda mpaa Kafa 2013 kwa amri ya Mungu sio ya Bush.
Us hajaamua tu kwani gaidi wenu no1 Allah alikuwa wapi kumtetea?Maajabu yapo kwa yule mwandishi Salman Rushdie ambaye fatwa,albadir na kisu kimeshindwa kumuonda duniani.
 
Wananchi wa Iran waiondoe hiyo Serikali ya Kidini waweke Serikali ya Kisecular wataishi kwa Amani na Majirani zao wote.

Serikali ya Kiislamu katiba yake ni Quruani na Quruani inasema wasake Makafiri na Wayahudi popote pale walipo na kuwaua, hebu Imagine?!

Tuko 2024 fitna za Karne ya saba hazina nafasi.
Sahihi kabsa...ndo maana kile chama cha kipuuzi cha Muslim brotherhood kilifulushwa madarakani huko Misri.
 
Juzi mtaani kwetu tulikuwa na kiji sherehe tukandaa mbuzi wawili,kuna jamaa mmoja muislam akaanzisha ligi huku akijua wakristo tupo wengi kwamba atakayechinja lazima awe muislam.Mzozo ulioibuka si wakitoto na tulipanga kuchinja siku ya alfajiri ya nane nane ngoma ikadoda mpaka saa tano asubuhi baada ya jamaa kuomba msamaha.Kuchinja haikuwa issue kwa sababu matukio tuliofanya ya sherehe ni mengi,ila jamaa aliposema lazima mgogoro ukaanzia hapo.Suluhisho lilikuwa kushirikiana wote katika kuchinja!.Jamaa ni washari sana ni cancer of the world.
China haitaki kabsa kusikia hizo mambo.
 
hakuna iyo aya labda utumi hadith za kubumba zisizo na dalili kama zile za kusema mtume alikuwa anachuchumaa akikojoa na kuvaa nguo za bi aisha anapo pokea ufunuo😄
Qur'an ilisha wajibu hao Wayahudi hivi. [62.6] Say, ˹O Prophet,˺ “O Jews! If you claim to be Allah’s chosen ˹people˺ out of all humanity, then wish for death, if what you say is true.”

We huwaoni vipi waoga wakitishwa tu kidogo wanajificha kwenye mashimo na wana silaha za kila aina 😄


Qur'an 17.4 And We warned the Children of Israel in the Scripture, “You will certainly cause corruption in the land twice, and you will become extremely arrogant.

Hizo sura mbili zinajibu kila kitu kwenye swali lako.
 
Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja.

Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea wapalestina hasa baada ya mauwaji hayo.

Jee Iran irushe makombora kama yale ya mwezi Aprili kulenga maeneo ya Israel au ibadili mbinu kukwepa hasara?

Ni dhahiri kuwa Iran inajua inataka kuongoza mapambano ya kuwatetea wapalestina dhidi ya adui ambaye ana nguvu sana za kivita.Na kwa hivyo itajiandaa vizuri kupiga kwa ufundi mkubwa na kutoa funzo kwa wababe wengine wa dunia.
Ni miez sasa imepita kisasa mtalipa mwakani?
 
Jamani biblia haisomwi hivyo, jaribu kuelewa context nzima ya hizo sura na mistari. Inawezekana una hoja ila, ijenge vizuri. Otherwise, utajipotosha na kupotosha wengine.

Lakini pia, Mungu wetu wakristo tunayemwamini hatetewi na mtu bali anajitetea mwenyewe na kulitetea jina lake. Sina uhakika na Mohamed SAW maana mnamtetea utafikiri yeye hawezi. Mwacheni ajitetee mwenyewe na kulitetea jina lake.

Mwisho. Vita haina mshindi, no matter what everyone loses. Mi naendelea kuomba kusitokee full scale war.
Hahaha sa huwa inasomwa vipi? Kumbe inasomwa kichina 😄
 
Us hajaamua tu kwani gaidi wenu no1 Allah alikuwa wapi kumtetea?Maajabu yapo kwa yule mwandishi Salman Rushdie ambaye fatwa,albadir na kisu kimeshindwa kumuonda duniani.
Hahaha we chizi yule kwenda hata chooni anapelekwa na askari kwa kuogopa kufa. Ongea vitu vya akili si unaleta ujinga wa bwege tokea alipo ongea ujinga hana life yuko kaburini huku anatembea. Afu unakuja sema majabu unless uwe chizi ndio utaona huyo yuko hai.
 
Kule Ndani ya Serikali ya Irani kuna Moles kibao kila kinachofanyika taarifa zinajulikana kwa adui...Iran haina namna imeshaumizwa sana viongozi wazuri iliokua nao wawe wanasayansi wabobevu wa hizo silaha au makamanda wazuri wa majeshi wameuwawa vibaya sana kila mara..

Waulize iran hata juzi mkuu wa Mosad alikua Misri mbona wasingemla kichwa huko huko Misri??

Hawana uwezo na Huyu Rais wao Masoud Ni muoga balaa...Mpaka sasa wanajinyea tangu aseme atalipiza ameshadhalilika sana unakua na mgeni unamlaza nyumba ya wagen maarufu anauwawa kama kuku hovyo kabisa..
 
Kule Ndani ya Serikali ya Irani kuna Moles kibao kila kinachofanyika taarifa zinajulikana kwa adui...Iran haina namna imeshaumizwa sana viongozi wazuri iliokua nao wawe wanasayansi wabobevu wa hizo silaha au makamanda wazuri wa majeshi wameuwawa vibaya sana kila mara..

Waulize iran hata juzi mkuu wa Mosad alikua Misri mbona wasingemla kichwa huko huko Misri??

Hawana uwezo na Huyu Rais wao Masoud Ni muoga balaa...Mpaka sasa wanajinyea tangu aseme atalipiza ameshadhalilika sana unakua na mgeni unamlaza nyumba ya wagen maarufu anauwawa kama kuku hovyo kabisa..
Mkuu wa kitengo cha Mossad wala si mtu muhimu katika kulipizwa kisasi.Yule ni mjumbe wa kawaida na si yeye tu na hata mawaziri wengine wa Israel ukiondoa wa ulinzi nao pia huwa si lengo muhimu kulipiza kisasi cha Ismael Haniye.
Zaidi ni kuwa si heshima wala ubinadamu kumuua mgeni wa nchi nyengine kwenye ardhi yao.Unyama huo huwa unafanywa na yule asiyeua utu tu na asiyeheshimu watu.
 
Wananchi wa Iran waiondoe hiyo Serikali ya Kidini waweke Serikali ya Kisecular wataishi kwa Amani na Majirani zao wote.

Serikali ya Kiislamu katiba yake ni Quruani na Quruani inasema wasake Makafiri na Wayahudi popote pale walipo na kuwaua, hebu Imagine?!

Tuko 2024 fitna za Karne ya saba hazina nafasi.
Ushahidi huu hapa muham mad aka allah Amebainisha!
👇👇
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao Wasomi na wacha Mungu na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.

Yaani Jews wanachukiwa na Abdul's kuliko wanavyo mchukia shehetan...
 
Back
Top Bottom