Mkuu, mimi ni mtu nipendaye kuweka haya mambo katika mizania sawa kwamba, "toa BORITI kwenye jicho lako kabla ya kibazi kilichopo kwenye jicho la mwenzio". Aidha, Watanzania, Wanapenda kuona UCHAGUZI MKUU WA NCHI, ukiendeshwa kama ule wa Chama Kikuu cha Upinzani.Gentleman,
umechangia kwanza au ndio wale mnaokwepakwepa kuangalia upepo π
Ka mdomo katakuponzaWengi wameshtukia na kuhisi mpango huo wa kiongozi wao ni utapeli?
Au wanaona michango yao kupitia ruzuku inatosha kabisa kuendeshea chama, kununua maji ya kunywa spirit, nyama na matumizi mengine, na kuchangishwa tena ni usumbufu na ulaghai?
Au wanahisi watadanganywa tena kama walivyodanganywa mwaka jana kuchangia gari na hiyo gari ikayeyeuka kama barafu mpaka leo na haijulikani ilitakiwa kasi gani kilichangwa kiasi gani, sawa na michango ya sasa haijulikani inatakiwa kiasi gana na kiasi gani kimechangwa tayari?
Je, kiongozi mpya wa Chadema haaminiki tena au kabisa hana mipango mikakati ya maana ya kujitegemea kuendesha chama bila kuomba?
Unadhani Tatizo ni nini kwa wito wa mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa kupuuzwa na wanachadema wenyewe, hata michango ikasusiwa na kusuasua kiasi hiki?π
Mungu Ibarki Tanzania
Tangu lini ukawa mhasibu wa Chadema mwehu wewe!Wengi wameshtukia na kuhisi mpango huo wa kiongozi wao ni utapeli?
Au wanaona michango yao kupitia ruzuku inatosha kabisa kuendeshea chama, kununua maji ya kunywa spirit, nyama na matumizi mengine, na kuchangishwa tena ni usumbufu na ulaghai?
Au wanahisi watadanganywa tena kama walivyodanganywa mwaka jana kuchangia gari na hiyo gari ikayeyeuka kama barafu mpaka leo na haijulikani ilitakiwa kasi gani kilichangwa kiasi gani, sawa na michango ya sasa haijulikani inatakiwa kiasi gana na kiasi gani kimechangwa tayari?
Je, kiongozi mpya wa Chadema haaminiki tena au kabisa hana mipango mikakati ya maana ya kujitegemea kuendesha chama bila kuomba?
Unadhani Tatizo ni nini kwa wito wa mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa kupuuzwa na wanachadema wenyewe, hata michango ikasusiwa na kusuasua kiasi hiki?π
Mungu Ibarki Tanzania
Cha kufurahisha vijana CCM ndo mnamnadi lisu, Mbowe mmemsahau tenakuna vita gani hapo gentleman,
hali ya kua wadau wachangiaji pesa kwaajili ya matumizi ya kuendeshea chadema wanataka kujua michango ya mwaka jana ilihitajika kiasi gani na zilipatikana shilingi ngapi na gari mpya iko wap?
na sasa hivi wanataka kujua inahitajika kiasi gani na tayari ngapi zimechangwa?
hiyo ni vita au kuweweseka ggen
mbona weo?π
Nimeshachangia tayarichangia utapeliwe tena kama mwaka jana, mbona una mbwelambwela tu hapa π
CCM ndio chama pekee kwa ajili ya matumaini na maendeleo ya Watanzania. Chama leo kinaomba michango eti ili kikiingia madarakani kiwaletee maendeleo! Ahahahahaha!! Uliishaiona wapi hii?Kuna kuna vituo vya afya vina hudumia zaidi ya watu laki tano lakini ha ina hata X-ray mashine ,ila pesa za kutoa rushwa na kugawa rushwa mnazipata halafu bado tuwaqmini kwamba mpo kwa ajili ya wananchi.
Atawewe changi acha unaa.Wengi wameshtukia na kuhisi mpango huo wa kiongozi wao ni utapeli?
Au wanaona michango yao kupitia ruzuku inatosha kabisa kuendeshea chama, kununua maji ya kunywa spirit, nyama na matumizi mengine, na kuchangishwa tena ni usumbufu na ulaghai?
Au wanahisi watadanganywa tena kama walivyodanganywa mwaka jana kuchangia gari na hiyo gari ikayeyeuka kama barafu mpaka leo na haijulikani ilitakiwa kasi gani kilichangwa kiasi gani, sawa na michango ya sasa haijulikani inatakiwa kiasi gana na kiasi gani kimechangwa tayari?
Je, kiongozi mpya wa Chadema haaminiki tena au kabisa hana mipango mikakati ya maana ya kujitegemea kuendesha chama bila kuomba?
Unadhani Tatizo ni nini kwa wito wa mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa kupuuzwa na wanachadema wenyewe, hata michango ikasusiwa na kusuasua kiasi hiki?π
Mungu Ibarki Tanzania
Tumechanga na tutaendelea kuchangia mabadiliko ya kweli kwa mustakabali wa taifa letuWengi wameshtukia na kuhisi mpango huo wa kiongozi wao ni utapeli?
Au wanaona michango yao kupitia ruzuku inatosha kabisa kuendeshea chama, kununua maji ya kunywa spirit, nyama na matumizi mengine, na kuchangishwa tena ni usumbufu na ulaghai?
Au wanahisi watadanganywa tena kama walivyodanganywa mwaka jana kuchangia gari na hiyo gari ikayeyeuka kama barafu mpaka leo na haijulikani ilitakiwa kasi gani kilichangwa kiasi gani, sawa na michango ya sasa haijulikani inatakiwa kiasi gana na kiasi gani kimechangwa tayari?
Je, kiongozi mpya wa Chadema haaminiki tena au kabisa hana mipango mikakati ya maana ya kujitegemea kuendesha chama bila kuomba?
Unadhani Tatizo ni nini kwa wito wa mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa kupuuzwa na wanachadema wenyewe, hata michango ikasusiwa na kusuasua kiasi hiki?π
Mungu Ibarki Tanzania
Toka lini chawa akachangia chochoteAtawewe changi acha unaa.
Ila kiuvyonza kutoka kwa wanasii hasa kamwe hutakoma sio?siwezi kutapeliwa na kibaka wa siasa kizembe namna hiyo gentleman
Wasalimie waethiopia bila kuwasahau jirani zao wazuri Wasomaliwait kidogo gentleman niko Ethiopia one time
Wengi wameshtukia na kuhisi mpango huo wa kiongozi wao ni utapeli?
Au wanaona michango yao kupitia ruzuku inatosha kabisa kuendeshea chama, kununua maji ya kunywa spirit, nyama na matumizi mengine, na kuchangishwa tena ni usumbufu na ulaghai?
Au wanahisi watadanganywa tena kama walivyodanganywa mwaka jana kuchangia gari na hiyo gari ikayeyeuka kama barafu mpaka leo na haijulikani ilitakiwa kasi gani kilichangwa kiasi gani, sawa na michango ya sasa haijulikani inatakiwa kiasi gana na kiasi gani kimechangwa tayari?
Je, kiongozi mpya wa Chadema haaminiki tena au kabisa hana mipango mikakati ya maana ya kujitegemea kuendesha chama bila kuomba?
Unadhani Tatizo ni nini kwa wito wa mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa kupuuzwa na wanachadema wenyewe, hata michango ikasusiwa na kusuasua kiasi hiki?π
Mungu Ibarki Tanzania