Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Daaaaa mkuu yaani unavyosema hivyo utadhani yenyewe ndo mungu ila elewa kuwa pia ndo nchi pekee iliyoanzisha ufrimason enzi za suleman kipindi hekalu lake linatengenezwa dhumuni kubwa ni kuendeleza mila na desturi za kishetani zilizokuwa zinatumika na nephilisms(wanephili ambao walitokana na malaika kuingiliana na binadamu na pia ndo nchi ambayo ililaaaaaniwa na mungu na pia ndo nchi ambayo itakuja kutawala dunia kwa kutumia huyo nabiii wa uwongo anayesubiriwa
 

Mzee,
Hivi kuna sehemu iliyokuwa na Wayahudi wengi duniani zaidi ya Europe?

Hivi kipindi cha French Revolution hadi Kufika the Battle of Water Loo kulikuwa na taifa la Ujerumani duniani?
 
Mtu ana uhuru wa kupenda anachotaka na sbabu zake. Mimi kiukweli naipenda israel the way ilivyo imara huku ikizungukwa na mataifa adui ya kiarabu na kuyathibit ipasavyo ikiwa na eneo dogo na watu wachache. Kuliko mataifa hayo. Ukisoma vita ya six day war au yom kipur utajikuta tu unatabasam na kujiuliza ingekuwa tz ingekuwa wapi?Nchi iliyoyapiga mataifa zaid ya sita ya kiarabu ndani ya muda mfupi mpaka waarabu kuchanganyikiwa. Naipenda Tanzania na naheshimu mtu anayeipenda nchi yoyote. Ooh naipenda israel pia na sijui dini yao. Ila najua uwezo wao na akili zao. Muisrael mmoja wanasema ni zaidi ya arabs 1000 zaman. Siku hizi wameondoa tarakimu moja so imekuwa at least 100 kutokana na mataifa meng kuwaomba waisrael wawaonee huruma arabs na akili zao za uuaji na ukatili
 
Mwana Wa mungu? Hv mungu anawatoto wangap?
 
Ndiyo maana huna akili unajifunika manguo meusi gubigubi kama jini!!

Hahahaha ushawahi kumuona jini?
Ooh nimekumbuka dini yako inaabudu majini na mapepo.

Haya manguo meusi ndio stara ya mwanamke.
 
Kama ni nyumbani basi kwao ni Egypt ambako firauni aliwafanya watumwa na nabii mussa alaihi salaam ndio alie waokoa wana Israel.
 
 
we ndo umesema thats y nakuuliza
mbna unairuka point yako??

Kwani wewe unataka nini kwa mfano, wenzio wanadandia magari wewe unadandia maneno,
Mada ni UNAELEWA NINI JUU YA ISRAEL,
Nadhani ungejadili hilo kuliko kuingilia yasiyokuhusu.
 
Ndio.maana Tanzania tumelaaniwa kutokana na serikali yetu Kuvunja uhusiano na Israel na kukumbatia wapalestina
Habari njema ni kwamba uhusiano umerudishwa. Uwepo wa hii Thread hapa ni mpango wa Mungu wa Israel na Isaka!
Tuliaanza kuijadili kabla Israel haijasimika ubalozi wao hapa nchini.

Kumbe magu alikuwa kwenye process.
 
Kwani wewe unataka nini kwa mfano, wenzio wanadandia magari wewe unadandia maneno,
Mada ni UNAELEWA NINI JUU YA ISRAEL,
Nadhani ungejadili hilo kuliko kuingilia yasiyokuhusu.
basiiiii samahani mama/dada...calm down
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…