Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Sawa sawa DAUD ....ungejiita Mwanamalunde kuliko DAUD ningekuelewa comments zako...
 
 
nina wasiwasi na hapo kwenye red hata hivyo wale wapumbavu wa black septemba wanawajua hawa jamaa
nina wasiwasi na hapo kwenye red hata hivyo wale wapumbavu wa black septemba wanawajua hawa jamaa

Hahahaa namaanisha kidons waliitengeneza rasmi na kuipa jina tofauti na nchi nyingine ambazo hizi assasins unit zinakuwepo ila ni kwa usiri mkubwa.

By the way hata wale Iranian Nuclear scientists wanawafahamu vizuri sana walikuwa wanapotea mmoja mmoja.

Their motto is to ""TERRORISE THE TERRORISTS ""
 
Naipenda sana Israel,Ni taifa linalojivunia wanasayansi wake;Wapo imara kila kona;Ukiwachezea rafu wanakuadhibu bila mzahaa!;Waliomzunguka wote ni maadui na wa naiogopa Israel kuli IS.
imenilazimu niwashe bundle nikujibu kukuambia kuwa uache unafiki. ati unawaogopa kuliko IS, hivi ukikutana na IS mmoja utakojoa lita ngapi?
 
Mtu hahitaji Bible kwenda kusali. Anahitaji Imani kwa Mungu tu.
Bible ni stori tu hazilupeleki popote.
 
Nani alijenga mahekalu ya Yelusarem?? Unganisha historia na DNA uone nani anahusika kwa maendeleo ya kanaan.

Waisraeli wanadaiwa kutafuta ardhi yao yenye alama za kufikirika na kusadikika,wanafika eneo fulani wanalowea kama makaburu pale "refueling place".

Wanapapenda kwa kuwa hali ya hewa ni "very condusive", wanawakuta wenyeji wanaishi nao, baadae wanadai ni kwao, na sisi WaTz wote tunaungana na wazawa na wenyeji kuwaita makaburu wageni.

Halafu tuhalalishe taifa "LOWEZI", tena baguzi kuliko!, kwa kusema ISRAEL ni Taifa na lina ardhi.

Hivi wanatafutaje kwao na asiwepo hata babu wa babu yao mmoja akawaambia "kwenu huku/hapa?

Wanakuta ardhi ya watu wakalia kwa nguvu wanadai hapo ndipo kwao, Watumwa wakubwa.

Hata hapa na nyinyi munabeba akili za kitumwa kwa msukumo wa imani wakati israeli hakuna imani munayoidhani, kwakuwa uwepo wake ni asilimia ndogo sana ,sawa na kuitafuta kwa darubini.
 
Netanyahu Benjamin pia ni mmoja kati ya ASSASSINS,kwakuwa alikuwa mosad na alitekeleza operesgen kadha katika nchi za scandinavia kwa kuwauwa wafadhili na masterminds wa kipalestina huko.
Na mwenyewe alikuwa akielezea jinsi alivyovaa kama mwanamke kwenda kumuua mwanaharakati mpanga mipango wa kipalestina.
 
Ukisema ni atheist halafu upande mwingine inafahamika Gulion alikuwa Zionist leader naona kama unachanganya mambo...huko kwingine sina shida nako hapo tu...IBARIKIWE ISRAEL,BLESSED BE THE LAND OF ISRAEL

Zionism is a political movement not a religious one.
 
HAKUNA TAIFA MALICHUKIA DUNIANI KAMA ISRAEL KUFIATIA MAEREKANI,SIZIPENDI HIZI NCHI,LAKINI ANYWAY.
ISRAEL NA MAREKANI FANYENI MTAKAVYO FANYA UISLAMU UTASIMAMA DAIMA.
 
Ni taifa Lenye watu wenye jitihada ya kutafuta maarifa Ndio maana wakatuzunguka kwa kuqndika vitabu kuwa wamebarikiwa na ni Taifa teule. Hili halipo ni shauku ya kutafuta maarifa na kujifunza Mengi ndo kumewaweka Bora
 
Facts ya 3 ni uongo! Nchi haiwezi ikaonekana kwenye ramani ya dunia ukaikimbia kwa masaa mawili ukaimaliza. Zanzibar yenyewe kwenye ramani ya duniani haionekani, nenda kakimbia uone kama hujamaliza miezi kuimaliza.....

kutumia hisia na kuconclude ni uongo hauwezi kufanikiwa kwa lolote mkuu.

angalia hata ramani, hujajiuliza hata utakimbia lini. hilo ni moja.
Huji

Mimi nimekufanyia hiyo kazi.
the current thinnest point ya israel ina 15KM width. Kwa mtu mzembe anaweza kukumbia kwa saa mbili ila a
bayi enzi zake hapo ni dakika 45 tu au chini.
 
Tangu uanze kuichukia israel umefaidika nini?
Wewe hapa bongo unachukia je wale wapalestine wa Gaza watasemaje?
Tangy uipende izraeli wamekupa nini kwa kuipenda huko?bora nimeweka wadhi naichukia iazaeir kwa kuwaunga Wapalestinian kwa Yale wanayofanyiwa.Poor you!!ovyoooooo!!
Soma dondooo namba 4.
 
Saudia, Quatar, Turkey Egypt Japokuwa ni mataifa ya kiarabu lakini yanaitambua israel sembuse sisi wabongo??
Ama kweli umelaaniwa
Utakuwa muumini mpyampya huko walipokubrain wash. Ndio nyie huwa mnaenda kuhiji ukidhani kuna chochote cha kiimani unaongeza.
I spend Half of my time investigating and reading biblical truth, I trust bible and what you are saying is not biblical mdau.
"amelaaniwa amtumainiaye mwanadamu huku Moyoni mwake amemuacha Mungu" Huelewi hata Mungu/Yesu alichokifanya msalabani ni bure kabisa
 
HAKUNA TAIFA MALICHUKIA DUNIANI KAMA ISRAEL KUFIATIA MAEREKANI,SIZIPENDI HIZI NCHI,LAKINI ANYWAY.
ISRAEL NA MAREKANI FANYENI MTAKAVYO FANYA UISLAMU UTASIMAMA DAIMA.
tukiacha mambo ya udini.

we need to appreciate their innovation na mambo mengi mazuri walio nayo.
Tusiwe na Total Chuki wakati huohuo unatumia simu zimetengenezwa nao, unatumia JF ambayo source code wao, kila kitu ni chao. kwa hili watendee haki. Kidini baki na msimamo wako
 
Hapo namba 6, jiji la Yerusalemu kutekwa mara 23, kutekwa na kukombolewa mara 44 ?
 
Ndio.maana Tanzania tumelaaniwa kutokana na serikali yetu Kuvunja uhusiano na Israel na kukumbatia wapalestina

Mchaga gani mwehu hivi,lbda umelaaniwa wewe hapo binafsi...yaani huna justification yoyote zaidi ya vitu vya kufikirika kichwani mwako....Mungu hawezi kua mbaguzi namna hiyo
 
Nchi gani hizo? Tutajie na sie tufaham zaidi
 
Mtu hahitaji Bible kwenda kusali. Anahitaji Imani kwa Mungu tu.
Bible ni stori tu hazilupeleki popote.
imani ndo inakupeleka mbinguni,..we vp,..bible imeandika yatupasayo kutenda na kuishi ktk misingi itupasayo kuishi bila kusomabible utajuaje kutenda ktk mema yaliyoandikwa ?? think big ktk hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…