Sawa sawa DAUD ....ungejiita Mwanamalunde kuliko DAUD ningekuelewa comments zako...Hivi bado kuna watanzania bado wana haya mawazo magando yaliyojaa ujinga wa zama za mawe za kati.... Kwa taarifa yako ukristo israel n 2% tu ya waisraeli... Soma hapa Religion in Israel - Wikipedia, the free encyclopedia
Ili ujue ujue hili taifa lina wenye nalo kidin na sio ukristo wala uislam....
Hebu niambie mungu alikuwa wapi hitler alivyowateketeza....
Kaa tayari inakujaNaona leo umeamua kutupa hizi DISTINCTIVES za mataifa mbalimbali.
Tunashukuru huku tukisubili kwa hamu uchambuzi wa tanganyika yetu
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).
2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.
3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukumbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.
4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.
5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.
6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.
7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.
8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.
Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kubbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu waliliona kama sio kitu.
9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo
nina wasiwasi na hapo kwenye red hata hivyo wale wapumbavu wa black septemba wanawajua hawa jamaa
nina wasiwasi na hapo kwenye red hata hivyo wale wapumbavu wa black septemba wanawajua hawa jamaa
imenilazimu niwashe bundle nikujibu kukuambia kuwa uache unafiki. ati unawaogopa kuliko IS, hivi ukikutana na IS mmoja utakojoa lita ngapi?Naipenda sana Israel,Ni taifa linalojivunia wanasayansi wake;Wapo imara kila kona;Ukiwachezea rafu wanakuadhibu bila mzahaa!;Waliomzunguka wote ni maadui na wa naiogopa Israel kuli IS.
Mtu hahitaji Bible kwenda kusali. Anahitaji Imani kwa Mungu tu.sasa unaenda kusali ili iweje,...kanisani zinatumika biblia,..wewe walioandika,..yani wameshushiwa maandiko na Mungu unawaita wehu,...take care ndugu,...Mungu aliwatumia manabii wake kuandika bible,...ukianglia paulo anawaonya wayahudi yaani waisrael kuwa wasijione bora kuliko wengine,...katika warumi kuanzia sura ya3,..kawaambia wasijione bora kuliko wengine na Mungu ni wa haki,..wewe leo mitume wa Mungu unawaita wehuu,..angalia kijana usiwe na kiburi cha uzima,...hukumu ipo,...leo hii unawatukana mitume wa Mungu,...,,...Mungu akusamehe hujui utendalo,...unaenda kusali nini sasa weweeeee,..kama huamini ktk bible,...
Nani alijenga mahekalu ya Yelusarem?? Unganisha historia na DNA uone nani anahusika kwa maendeleo ya kanaan.
Netanyahu Benjamin pia ni mmoja kati ya ASSASSINS,kwakuwa alikuwa mosad na alitekeleza operesgen kadha katika nchi za scandinavia kwa kuwauwa wafadhili na masterminds wa kipalestina huko.Thanks kaka. Nimewaza hata kabla ya kugugo nimegundua terrorism term ambayo ni too subjective. It depends na how you narrate it. Nimekuelewa kiongozi wangu na nashukuru umejibu kwa hekima kubwa.
Pia kuna mdau kachangia kwamba mosad ni most trained and well fed na wana kitengo maalum cha assassins. Hapo nikapata maana halisi uliyoikusudia na nakuunga mkono.
Ukisema ni atheist halafu upande mwingine inafahamika Gulion alikuwa Zionist leader naona kama unachanganya mambo...huko kwingine sina shida nako hapo tu...IBARIKIWE ISRAEL,BLESSED BE THE LAND OF ISRAEL
Facts ya 3 ni uongo! Nchi haiwezi ikaonekana kwenye ramani ya dunia ukaikimbia kwa masaa mawili ukaimaliza. Zanzibar yenyewe kwenye ramani ya duniani haionekani, nenda kakimbia uone kama hujamaliza miezi kuimaliza.....
Tangy uipende izraeli wamekupa nini kwa kuipenda huko?bora nimeweka wadhi naichukia iazaeir kwa kuwaunga Wapalestinian kwa Yale wanayofanyiwa.Poor you!!ovyoooooo!!Tangu uanze kuichukia israel umefaidika nini?
Wewe hapa bongo unachukia je wale wapalestine wa Gaza watasemaje?
Utakuwa muumini mpyampya huko walipokubrain wash. Ndio nyie huwa mnaenda kuhiji ukidhani kuna chochote cha kiimani unaongeza.Saudia, Quatar, Turkey Egypt Japokuwa ni mataifa ya kiarabu lakini yanaitambua israel sembuse sisi wabongo??
Ama kweli umelaaniwa
tukiacha mambo ya udini.HAKUNA TAIFA MALICHUKIA DUNIANI KAMA ISRAEL KUFIATIA MAEREKANI,SIZIPENDI HIZI NCHI,LAKINI ANYWAY.
ISRAEL NA MAREKANI FANYENI MTAKAVYO FANYA UISLAMU UTASIMAMA DAIMA.
Ndio.maana Tanzania tumelaaniwa kutokana na serikali yetu Kuvunja uhusiano na Israel na kukumbatia wapalestina
Nchi gani hizo? Tutajie na sie tufaham zaidiZaidi ya nchi NNE ziliitega Israel Na mabom makubwa kutoka kila upande mabom ambayo yangelipuka baada ya Massa matatu
Lkn kabla ya mda uliotegeshewa haujafika kimbunga toka ilipo Israeli kiliyavurumisha yale mabomu na kuleta madhara kwa nchi zilizotega hayo mabomu
Kama Israel isingekuwepo duniani Mungu angekuwa ametuhukum amini usiamini Israeli ndio pona ya ulimwengu huu
imani ndo inakupeleka mbinguni,..we vp,..bible imeandika yatupasayo kutenda na kuishi ktk misingi itupasayo kuishi bila kusomabible utajuaje kutenda ktk mema yaliyoandikwa ?? think big ktk hiliMtu hahitaji Bible kwenda kusali. Anahitaji Imani kwa Mungu tu.
Bible ni stori tu hazilupeleki popote.
weeee ndo wasema,...ukweli utabaki ule ulePeleka upuuzi huko. Yaani wewe ni upumbavu umekujaa kichwa kizima