Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Hizi dini zenu zina alcohol kubwa kuliko hata piwa 😀
Au ni zaidi ya chaarusha.
kimjazacho mtu ndicho kimtokacho,...kama unawaza pombe na bangi,...haya mambo huwezi kuelewa,never....haya mambo unahitaji neema ya Mungu,...ili uelewe kama huelewi jua huna neema wewe,....najua neno limeingia moyoni mwako na hata ukiendelea kubisha mbegu ishaingia moyoni one day hope Mungu atasema nawewe
 
Mithali 31:6-7
Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea
Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini
Akanye ausahau umaskini wake na asiikumbuke tena shida yake.
(Mwisho wa kunukuu)
 
Mithali 31:6-7
Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea
Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini
Akanye ausahau umaskini wake na asiikumbuke tena shida yake.
(Mwisho wa kunukuu)
so whats your point
 
Hivi unawezaje kumwambia mtu kuwa anawaza pombe na bangi wakati huna hakika na hilo. Kama sio kuhukumu ni nini?
Hizi dini zenu zina alcohol kubwa kuliko hata piwa 😀
Au ni zaidi ya chaarusha.
 
Israel is so small, you can run through it from west to east in 2 hours and from top to bottom in 9 days.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…