evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,333
kimjazacho mtu ndicho kimtokacho,...kama unawaza pombe na bangi,...haya mambo huwezi kuelewa,never....haya mambo unahitaji neema ya Mungu,...ili uelewe kama huelewi jua huna neema wewe,....najua neno limeingia moyoni mwako na hata ukiendelea kubisha mbegu ishaingia moyoni one day hope Mungu atasema naweweHizi dini zenu zina alcohol kubwa kuliko hata piwa 😀
Au ni zaidi ya chaarusha.
Mithali 31:6-7kimjazacho mtu ndicho kimtokacho,...kama unawaza pombe na bangi,...haya mambo huwezi kuelewa,never....haya mambo unahitaji neema ya Mungu,...ili uelewe kama huelewi jua huna neema wewe,....najua neno limeingia moyoni mwako na hata ukiendelea kubisha mbegu ishaingia moyoni one day hope Mungu atasema nawewe
so whats your pointMithali 31:6-7
Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea
Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini
Akanye ausahau umaskini wake na asiikumbuke tena shida yake.
(Mwisho wa kunukuu)
Uachane na tabia ya kuhukumu wenzio wakati inaonyesha wazi jinsi maandiko yalivyokupiga chenga.so whats your point
nimemuukumu nan,...nipe evidence please sio maneno matupu nduguUachane na tabia ya kuhukumu wenzio wakati inaonyesha wazi jinsi maandiko yalivyokupiga chenga.
Cc aretasludovick
Hivi unawezaje kumwambia mtu kuwa anawaza pombe na bangi wakati huna hakika na hilo. Kama sio kuhukumu ni nini?nimemuukumu nan,...nipe evidence please sio maneno matupu ndugu
hayo mambo sio ya mchezomchezooo... .. .Mkuu Bennie 369 njoo uwasome wazee Kabala
Unajua maana ya ukweli?weeee ndo wasema,...ukweli utabaki ule ule
Hizi dini zenu zina alcohol kubwa kuliko hata piwa 😀Hivi unawezaje kumwambia mtu kuwa anawaza pombe na bangi wakati huna hakika na hilo. Kama sio kuhukumu ni nini?
hiyo kauli ameisema huyo jamaa yako,.anaitwa aretasludovick inamaana moyo wake hayo ndo yawazayo thats y kayatoa humu,.Hivi unawezaje kumwambia mtu kuwa anawaza pombe na bangi wakati huna hakika na hilo. Kama sio kuhukumu ni nini?
nliyokwambia ndo huo ukweli,..kama huamini ktk Mungu micwezi kukubea bunduki kukulazimisha,..Unajua maana ya ukweli?
Jibu swali kwanza. Ukweli unaambatana na kujua sio kuamini kama ulivyofundishwa na mchungaji wako wewe kondoonliyokwambia ndo huo ukweli,..kama huamini ktk Mungu micwezi kukubea bunduki kukulazimisha,..
Sio middle East?10. Israel sijui sababu ya msingi, lkn sio bara la Asia, Israel ipo bara la Ulaya
taifa teule