Mi hadi kwenye ndege nilikataaga haya mambo yao ya visu na uma nikagonga kwa mkono tu. Tatizo sasa hawana maji ya kunawa, ni vitishu fulani tu wet (wipes), ilibidi tu nijiongeze nikaenda kunawa chooni, teh!mambo ya wazungu tuwaachie wenyewe. mimi kulia hata kijiko tu huwa naona mateso sana.
Umeonaa uzi hata auhusu misosi ndo washaubadili content, ilikua jinsi ya kudeal na ka ushamba ukienda sehemu mambo safi, vitu huvijuiWatu wameamua wajadili vyakula.... nilitaka nihesabu vikunde ndo mshanikwambisha
Majani ya maboga huwa yakipkwa na bamia inakuwa mlendaMsusa ni nini?
Nakulaga mgongo lakin siupendii,napenda paja,sehemu zilizojaa nyama mi ndio napendaHadi mgongo?
Hao wamekuwa vikunde hapa. Mambo safi, wanashindwa kutililika nayo.Umeonaa uzi hata auhusu misosi ndo washaubadili content, ilikua jinsi ya kudeal na ka ushamba ukienda sehemu mambo safi, vitu huvijui
Ndio wabongo tulivyoo tushabadili mada[emoji23][emoji23][emoji23] ila mi nikienda popote na yeyote nakula wala siogopi aisee kitu sijui nauliza tu sijivungiUmeonaa uzi hata auhusu misosi ndo washaubadili content, ilikua jinsi ya kudeal na ka ushamba ukienda sehemu mambo safi, vitu huvijui
Binafsi nilitegemea kuona wadada humu mlivyo wajanja wa maeneo ,sehemu za ukweli na za kishua Mnavyojiachia ,kuanzia kuagiza,hadi kuvitumia ,mfano hotel siku ya kwanza jacuzzi mnavyopza maji baridi na moto, kucheza na remote za ac , kuweka uma kisu kushoto Kijiko kulia, nijifunze kitu,Umeonaa uzi hata auhusu misosi ndo washaubadili content, ilikua jinsi ya kudeal na ka ushamba ukienda sehemu mambo safi, vitu huvijui
😀😀😀😀Siku moja nililazimishwa kula burger nilihangaika aisee kujilazimisha kidogo nitapike
ni ujinga tu msosi mtu unakuwa hauufaidi vizuri. mikono ndio unaenjoyMi hadi kwenye ndege nilikataaga haya mambo yao ya visu na uma nikagonga kwa mkono tu. Tatizo sasa hawana maji ya kunawa, ni vitishu fulani tu wet (wipes), ilibidi tu nijiongeze nikaenda kunawa chooni, teh!
Kulala kwenye jakuzi hatujazoeaa tushazoea kuoga tumesimama tu[emoji23][emoji23][emoji23] ndio nataka nianze kujaribu sasa hiviBinafsi nilitegemea kuona wadada humu mlivyo wajanja wa maeneo ,sehemu za ukweli na za kishua Mnavyojiachia ,kuanzia kuagiza,hadi kuvitumia ,mfano hotel siku ya kwanza jacuzzi mnavyopza maji baridi na moto, kucheza na remote za ac , kuweka uma kisu kushoto Kijiko kulia, nijifunze kitu,
Sasa Uzi umekua wa menu tena
Unaeza shangaa wote ni kina chikunde ila kukubali ndo ishuBinafsi nilitegemea kuona wadada humu mlivyo wajanja wa maeneo ,sehemu za ukweli na za kishua Mnavyojiachia ,kuanzia kuagiza,hadi kuvitumia ,mfano hotel siku ya kwanza jacuzzi mnavyopza maji baridi na moto, kucheza na remote za ac , kuweka uma kisu kushoto Kijiko kulia, nijifunze kitu,
Sasa Uzi umekua wa menu tena
Tena unaoga na kopo hahahahaKulala kwenye jakuzi hatujazoeaa tushazoea kuoga tumesimama tu[emoji23][emoji23][emoji23] ndio nataka nianze kujaribu sasa hivi
Hahahaha, hujatulia wewe ujueUnaeza shangaa wote ni kina chikunde ila kukubali ndo ishu
Hahhahahahhaha mbona kuliarrestHaya mambo ya kisu na uma kama yakupa shida, we jifanye tu unajiskia kinyaa kutumia hizo kitu ambazo huna uhakika zimetumiwa na wangapi kabla yako! Ukijifanyisha, utajulikana tu kwamba huna huo utamaduni manake hata kama utaweza kula lakini staili ya ushikaji na movement ya mikono itatoa jibu kwamba wewe ni chikunde ndani ya sekunde tano tu!
Yote tisa, kumi ni pale ukosefu wa uzoefu utakaposababisha pande la kuku lichoropoke kutoka kwenye umma wakati lilishakaribia kabisa mdomoni na kufuatiwa na zile body movement utakazofanya kujaribu kuhakikisha pande halifiki chini wakati watoto wa kishua wakipata eksident kama hiyo huwa wanajitahidi kulikwepa lisiwachafue huku mwenzangu mimi unataka kujaribu kuli-arrest lisifike chini.
Hahahaha, asee mbavu zanguKulala kwenye jakuzi hatujazoeaa tushazoea kuoga tumesimama tu[emoji23][emoji23][emoji23] ndio nataka nianze kujaribu sasa hivi
Hapa ndoo inahusika sio ? HahahahaTena unaoga na kopo hahahaha
Hiyo yote hamtaki kuja vijijini kulima.Acha kabisa aiseee.
Maisha ya uswazi ukiwa na buku 2 siku imepita.
Unanunua fungu moja la dagaa mchele unaligawa mara mbili, nusu unakula mchana nusu nyingine unamalizia jioni.
Ukiona vipi kama appetite imekata unaongezea na kachumbali silingi 400 tu inatosha,
Unanunua nyanya za mia 2 na kitunguu cha mia 1 na karoti moja ya 100 siku imepita.
Nimeyamisi sana hayo maisha aiseeee.
Niliwahi pia kukaa kule kinondoni shamba, nilikula sana utumbo wa kuku.
Jioni tunayoosha miguu kuelekea msasani kule kuosha macho kwa kuangalia machangu wakijiuza, ukichoka unarudi kulala geto.
Maisha ya uswazi safi sana.
Uncle tangu nikiwa mdogo, nilikuwa naomba kweli utumbo wasiutupe, nausafisha, natia viungo nakaanga teh, hadi leo nikiuona mate yananitoka. Cha kushangaza nikikuta tu nyama imechanganywa na utumbo wa ng'ombe sigusiìiiiiiUtumbo wa kuku? daah bora nipike uji.