Unaepuka vipi kuwa "Chikunde" ukiwa unadate na mtu mambo safi?

Unaepuka vipi kuwa "Chikunde" ukiwa unadate na mtu mambo safi?

mambo ya wazungu tuwaachie wenyewe. mimi kulia hata kijiko tu huwa naona mateso sana.
Mi hadi kwenye ndege nilikataaga haya mambo yao ya visu na uma nikagonga kwa mkono tu. Tatizo sasa hawana maji ya kunawa, ni vitishu fulani tu wet (wipes), ilibidi tu nijiongeze nikaenda kunawa chooni, teh!
 
Siku moja nililazimishwa kula burger nilihangaika aisee kujilazimisha kidogo nitapike
 
Umeonaa uzi hata auhusu misosi ndo washaubadili content, ilikua jinsi ya kudeal na ka ushamba ukienda sehemu mambo safi, vitu huvijui
Binafsi nilitegemea kuona wadada humu mlivyo wajanja wa maeneo ,sehemu za ukweli na za kishua Mnavyojiachia ,kuanzia kuagiza,hadi kuvitumia ,mfano hotel siku ya kwanza jacuzzi mnavyopza maji baridi na moto, kucheza na remote za ac , kuweka uma kisu kushoto Kijiko kulia, nijifunze kitu,

Sasa Uzi umekua wa menu tena
 
Mi hadi kwenye ndege nilikataaga haya mambo yao ya visu na uma nikagonga kwa mkono tu. Tatizo sasa hawana maji ya kunawa, ni vitishu fulani tu wet (wipes), ilibidi tu nijiongeze nikaenda kunawa chooni, teh!
ni ujinga tu msosi mtu unakuwa hauufaidi vizuri. mikono ndio unaenjoy
 
Binafsi nilitegemea kuona wadada humu mlivyo wajanja wa maeneo ,sehemu za ukweli na za kishua Mnavyojiachia ,kuanzia kuagiza,hadi kuvitumia ,mfano hotel siku ya kwanza jacuzzi mnavyopza maji baridi na moto, kucheza na remote za ac , kuweka uma kisu kushoto Kijiko kulia, nijifunze kitu,

Sasa Uzi umekua wa menu tena
Kulala kwenye jakuzi hatujazoeaa tushazoea kuoga tumesimama tu[emoji23][emoji23][emoji23] ndio nataka nianze kujaribu sasa hivi
 
Binafsi nilitegemea kuona wadada humu mlivyo wajanja wa maeneo ,sehemu za ukweli na za kishua Mnavyojiachia ,kuanzia kuagiza,hadi kuvitumia ,mfano hotel siku ya kwanza jacuzzi mnavyopza maji baridi na moto, kucheza na remote za ac , kuweka uma kisu kushoto Kijiko kulia, nijifunze kitu,

Sasa Uzi umekua wa menu tena
Unaeza shangaa wote ni kina chikunde ila kukubali ndo ishu
 
I'm a big time fun of plant based food.

Hapa Arusha nimekula msosi karibia fancy restaurants zote town.

Mimi si tajiri lakini nimejaribu aina nyingi sana za vyakula.

Kuanzia Mexican food, Chinese food, European, Indian, Italian food

Kwenye kutembelea restaurants tofauti tofauti nimegundua restaurants nyingi hawana option ya vyakula navyopendelea zaidi.

1.Tofu

2.Vegan Lasagne

3.Felafel in Pita bread (vegan)

4. Vegetable Satay

5. Tacos (hii labda Mexican restaurants)

6. Vegetable dumplings na vyakula vingine vichache.

Labda sababu ni vegan dishes na watu wengi si plant based.

Ukienda na mimi kupata msosi nitakuonyesha aina ya vyakula hujawahi sikia achilia mbali kujaribu.

Hiyo Ketchup ni vitu vidogo tu vyakujua kama upo na mwingiliano na foreigners especially Americans.

Ni kama vile mnasema chips wao wanaita French fries.
 
Haya mambo ya kisu na uma kama yakupa shida, we jifanye tu unajiskia kinyaa kutumia hizo kitu ambazo huna uhakika zimetumiwa na wangapi kabla yako! Ukijifanyisha, utajulikana tu kwamba huna huo utamaduni manake hata kama utaweza kula lakini staili ya ushikaji na movement ya mikono itatoa jibu kwamba wewe ni chikunde ndani ya sekunde tano tu!

Yote tisa, kumi ni pale ukosefu wa uzoefu utakaposababisha pande la kuku lichoropoke kutoka kwenye umma wakati lilishakaribia kabisa mdomoni na kufuatiwa na zile body movement utakazofanya kujaribu kuhakikisha pande halifiki chini wakati watoto wa kishua wakipata eksident kama hiyo huwa wanajitahidi kulikwepa lisiwachafue huku mwenzangu mimi unataka kujaribu kuli-arrest lisifike chini.
Hahhahahahhaha mbona kuliarrest
 
Acha kabisa aiseee.

Maisha ya uswazi ukiwa na buku 2 siku imepita.

Unanunua fungu moja la dagaa mchele unaligawa mara mbili, nusu unakula mchana nusu nyingine unamalizia jioni.
Ukiona vipi kama appetite imekata unaongezea na kachumbali silingi 400 tu inatosha,
Unanunua nyanya za mia 2 na kitunguu cha mia 1 na karoti moja ya 100 siku imepita.

Nimeyamisi sana hayo maisha aiseeee.

Niliwahi pia kukaa kule kinondoni shamba, nilikula sana utumbo wa kuku.
Jioni tunayoosha miguu kuelekea msasani kule kuosha macho kwa kuangalia machangu wakijiuza, ukichoka unarudi kulala geto.

Maisha ya uswazi safi sana.
Hiyo yote hamtaki kuja vijijini kulima.
Njooni mashamba yako mengi sana
 
Back
Top Bottom