ena wewe mboga 12 maharage na kabichi, kachumbali, hazihesabiki. ice cream haikauki kwanu! mlo kwenu unaanza na supu na mikate.Acha basi, unaona kabisa nilivo chikunde, kweli niwe wakishua???
KabisaSafi kabisa. Na Kama hujashiba unasema uongezwe ili Mambo yawe sawa. Ili hata Kama Kuna kitakachojiri Basi uwe umeshiba na uweze ku perform vilivyo.
Kuoga haraka haraka kama unakimbizwa jamanii mama sabrina oga polepole relax lala fumba machoo jisugue polepolee,,hapa shemeji yako ananisugua mgongo taratibuHahahaha, asee mbavu zangu
Hapana weeeee Yale majani ya maboga Yana ufundi wake yakipikwa na karqnga uniletee na ugali. Na mlenda. Pumbafu kabisa Wala Baga.Anhaaa. Nikajua ni aina ya samaki Kama kule kwetu Tanga
Hahahaha, safi sana hii hapo ni ktk Jacuzzi /shower au ndoo na kopo? ,inapendeza sana hii ,kuoga pamojaKuoga haraka haraka kama unakimbizwa jamanii mama sabrina oga polepole relax lala fumba machoo jisugue polepolee,,hapa shemeji yako ananisugua mgongo taratibu
Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app
Acha kabisa aiseee.
Maisha ya uswazi ukiwa na buku 2 siku imepita.
Unanunua fungu moja la dagaa mchele unaligawa mara mbili, nusu unakula mchana nusu nyingine unamalizia jioni.
Ukiona vipi kama appetite imekata unaongezea na kachumbali silingi 400 tu inatosha,
Unanunua nyanya za mia 2 na kitunguu cha mia 1 na karoti moja ya 100 siku imepita.
Nimeyamisi sana hayo maisha aiseeee.
Niliwahi pia kukaa kule kinondoni shamba, nilikula sana utumbo wa kuku.
Jioni tunayoosha miguu kuelekea msasani kule kuosha macho kwa kuangalia machangu wakijiuza, ukichoka unarudi kulala geto.
Maisha ya uswazi safi sana.
Kaka eee. Haya ndiyo mie nisiyoyataka, mie tukienda huko nitasema nataka ugali nyama fullstop. Hivyo visungu siviwesi atiii. Halafu nawaambia walete ya kushiba siyo unapiga tonge la kwanza lapili unajipindua ukae sawa sahani nyeupe. Hilo siliwezi. Yaani Bora tupite kwanza sehemu nipige vitu vyangu tukienda hapo nikapige mswaki tuuuI'm a big time fun of plant based food.
Hapa Arusha nimekula msosi karibia fancy restaurants zote town.
Mimi si tajiri lakini nimejaribu aina nyingi sana za vyakula.
Kuanzia Mexican food, Chinese food, European, Indian, Italian food
Kwenye kutembelea restaurants tofauti tofauti nimegundua restaurants nyingi hawana option ya vyakula navyopendelea zaidi.
1.Tofu
2.Vegan Lasagne
3.Felafel in Pita bread (vegan)
4. Vegetable Satay
5. Tacos (hii labda Mexican restaurants)
6. Vegetable dumplings na vyakula vingine vichache.
Labda sababu ni vegan dishes na watu wengi si plant based.
Ukienda na mimi kupata msosi nitakuonyesha aina ya vyakula hujawahi sikia achilia mbali kujaribu.
Hiyo Ketchup ni vitu vidogo tu vyakujua kama upo na mwingiliano na foreigners especially Americans.
Ni kama vile mnasema chips wao wanaita French fries.
Hahahahaaa.. Ukimaliza unashushia Na Maji baridiHapana weeeee Yale majani ya maboga Yana ufundi wake yakipikwa na karqnga uniletee na ugali. Na mlenda. Pumbafu kabisa Wala Baga.
Starehe ya kunya uchuchumae, siye wengine Mambo ya kunya umekaa mavi hayatoki, nahisi najinyea.Kulala kwenye jakuzi hatujazoeaa tushazoea kuoga tumesimama tu[emoji23][emoji23][emoji23] ndio nataka nianze kujaribu sasa hivi
Kweli niwe mboga 12 halafu uma na kisu viniaibishe? Haiwezekanit
ena wewe mboga 12 maharage na kabichi, kachumbali, hazihesabiki. ice cream haikauki kwanu! mlo kwenu unaanza na supu na mikate.
utaweza wewe wali maharage?
Hahahaaaa!! Hebu nicheke kwanza.
Yaani naviweka viuma hivyo pembeni namsosomora kuku kama sina akili nzuri, siwezagi kupretend walah. Menu kama siielewi namwambia tu "hapa nimetoka kapa ndio vinini hivi!!!"
Hahhahahahh umenikumbusha chikunde
Yaan mm jamani kula na uma na kisu vimenishinda nakulaga na mikono acha tu nionekane wa uswazi
Yaani kumkosea kuku au samaki siwezi kabisa.[emoji23][emoji2o3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie upo kama mm
Ngabu wengine wanaona ushamba ile umeletewa uma na kisu unaviweka pembeni mm kiukweli vimenishinda acha nijilie tu na mikono yanguShualina,
Kwani kula kwa mkono ni ushamba/ jambo la kiswazi?
Mbona hata huko kwingine watu wa kada zote hula kwa kutumia mikono!
Hakuna ubaya wowote ule kwa mtu kula kwa kutumia mikono yake.
Kwanza ndo moja ya kazi za mikono.
Na wala si ushamba.
UmeuwaaaHii mitoko bhn kunasiku niliwaambia washkaji hii misosi yenu mie sishibi kabisa niliwaleta uswazi wakapiga chipsi za uswazi waka zisifia kinoma yaani ndio ikawa chimbo lao nikaja tena kuwalisha miguu ya kuku wanabaki tu kusifia kumbe ndio mitamu hivi,halafu wanashangaa bei chee msosi wa kusaza kisha wananiona mimi nalalamika wametupunja