The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Salaam!
Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.
Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua kuna ile umepata breakfast then mchana lunch alafu mdomo unabaki bila usafi wa uhakika.
Kuna harufu iliyopo kiasili kwa kinywa au wengine meno yanalika na wadudu au kupekechwa hivo harufu lazima izidi.
Does there any solution or medical care to carry out this problem.....
Mawazo yenu yanahitajika.
Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.
Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua kuna ile umepata breakfast then mchana lunch alafu mdomo unabaki bila usafi wa uhakika.
Kuna harufu iliyopo kiasili kwa kinywa au wengine meno yanalika na wadudu au kupekechwa hivo harufu lazima izidi.
Does there any solution or medical care to carry out this problem.....
Mawazo yenu yanahitajika.