Unahitaji shingapi ili usifanye kazi tena?

Unahitaji shingapi ili usifanye kazi tena?

mshamba_hachekwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2023
Posts
20,704
Reaction score
66,337
Nimewaza jinsi watu tunavyotumia muda mwingi kwenye maisha yetu katika kutafuta hela. Iwe ni muajiriwa wa kawaida, au hata tajiri, wote wanahangaika na pirika za kiuchumi, na kwa ujumla lengo kuu ni kupata pesa zaidi.

Sasa nimejiuliza hivi haiwezekani kuwa na hela za kutosha kiasi kwamba hutohitaji kufanya kazi tena? Na kama inawezekana, ni kiasi gani cha fedha kinahitajika?
 
Nimewaza jinsi watu tunavyotumia muda mwingi kwenye maisha yetu katika kutafuta hela. Iwe ni muajiriwa wa kawaida, au hata tajiri, wote wanahangaika na pirika za kiuchumi, na kwa ujumla lengo kuu ni kupata pesa zaidi.

Sasa nimejiuliza hivi haiwezekani kuwa na hela za kutosha kiasi kwamba hutohitaji kufanya kazi tena? Na kama inawezekana, ni kiasi gani cha fedha kinahitajika?

Kwani Elon Musk au JK & Family wamebakiza ngapi?
 
Technically i need a minimum of 5 million dollars.
Twende taratibu, hyo 5M nkiiweka fixed at a minimu of 5% return per annum nna uhakika wa kupata 41 Million tanzanian shillings per month.
Ukitoa max. Kodi ya 20% nabaki na 32.8M approximately 33M.
Therefore per day nna uhakika wa kuspend about 1M bila kuyumba.
Niendelee na uchambuzi au niishie hapa hapa??
 
Kufanya kazi kunatufanya tujifunze vitu vingi sana,

Lkn hapo sijaelewa hoja yako, unamaanisha watu waache kuajiliwa au wasifanye kazi kabisaaa yaani awe ni mtu wa kutumia tu,

Ikiwa utakuwa mtu wa kutumia tu jua unapitia changamoto nyingi kama, minyama uzembe, maradhi ya moyo, nk

Kama ili mtu aache kuajiliwa hapa kila mtu ana kiwango chake kutokana na maisha halisi au malengo yake. Mfano mm nikipata milion 20 ninaacha hii kazi kuna bishara ninakwenda kufungua
 
Technically i need a minimum of 5 million dollars.
Twende taratibu, hyo 5M nkiiweka fixed at a minimu of 5% return per annum nna uhakika wa kupata 41 Million tanzanian shillings per month.
Ukitoa max. Kodi ya 20% nabaki na 32.8M approximately 33M.
Therefore per day nna uhakika wa kuspend about 1M bila kuyumba.
Niendelee na uchambuzi au niishie hapa hapa??
pale dubai kuna lijamaa linaishi hivi hivi kama ww unavyotamani.
 
pale dubai kuna lijamaa linaishi hivi hivi kama ww unavyotamani.
Truuee..
I think the whole point ya mshamba_hachekwi ni kuona jinsi ya kuishi bila kufanya kazi.
Personally i dont think kama ntaamua kuishi dubai. The more unavoongeza expenditure ndo the more unavozidi kuwa maskini kama hauna vyanzo zaidi.
Ni heri nkaishi hapa hapa lakn kwa starehe kubwa maana maisha haya hatiishi milele.
Kwenye hyo monthly ammount nkisave tena naweza kwenda huko dubai vacations kila nikihitaji
 
Truuee..
I think the whole point ya mshamba_hachekwi ni kuona jinsi ya kuishi bila kufanya kazi.
Personally i dont think kama ntaamua kuishi dubai. The more unavoongeza expenditure ndo the more unavozidi kuwa maskini kama hauna vyanzo zaidi.
Ni heri nkaishi hapa hapa lakn kwa starehe kubwa maana maisha haya hatiishi milele.
Kwenye hyo monthly ammount nkisave tena naweza kwenda huko dubai vacations kila nikihitaji
umeiweka vzuri...
unahamaje nchi ambayo mtu anayelipwa kuanzia million 1 kwa mwezi anakula maisha hvyo............
 
Kufanya kazi kunatufanya tujifunze vitu vingi sana,

Lkn hapo sijaelewa hoja yako, unamaanisha watu waache kuajiliwa au wasifanye kazi kabisaaa yaani awe ni mtu wa kutumia tu,

Ikiwa utakuwa mtu wa kutumia tu jua unapitia changamoto nyingi kama, minyama uzembe, maradhi ya moyo, nk

Kama ili mtu aache kuajiliwa hapa kila mtu ana kiwango chake kutokana na maisha halisi au malengo yake. Mfano mm nikipata milion 20 ninaacha hii kazi kuna bishara ninakwenda kufungua
(Mtazamo wangu)Ukiwa na hela uwezo wa kujifunza unakua unlimited maana unakua huna wasi wasi
+ exposure kama zote

Suppose you have that cash na umeiweka somewhere inakupa commission passively ....kila shughuli utaenda ifanya unakua unafanya for fun bila tension ya namna yoyote

Maskini na middle class ndio wana maradhi ya moyo na magonjwa ya ajabu ajabu sababu hatupumziki

Lawama sisi, hatulali sisi, mara vidonda vya tumbo maana tunatafuta hela mpaks tunasahau kula kwa wakati etc...

Tunapanda daladala hewa chafu tunashare etc
 
umeiweka vzuri...
unahamaje nchi ambayo mtu anayelipwa kuanzia million 1 kwa mwezi anakula maisha hvyo............
Indeed.
Hapa TZ kuna njia rahisi amnazp mtu unaweza kupunguza expenditure zako kwa kias kikubwa na at the same time ukapata quality life.
Hili linawezekana tu pale ukiamua kutofata mkumbo.
 
Back
Top Bottom