Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Et Baba wa nyumba...
Haiwezekani unasomesha mtoto Intaneshino skuli, alafu jioni mtoto wako anarudi home.
Ile ameshakula Cha usiku, anachukua Daftari, anakufata wewe Baba yake, Baba umekaa kwenye Sofa, na Miwani yako na Upara, kifua wazi ,na Pensi lako , Baba Bonge na likitambi hilooo alafu mbaya zaidi Tall unamwili mkubwaaa
Binti yako wa Darasa la Sita, anakuambia "Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Eneo la Trapeza, Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Uwiano , Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Eneo la Nusu duara lenye nusu kipenyo kwakutumis Pai =22/7, Dadii nielekeze namna yakusoma majira ya nukta , Dadii nielekeze Namna ya kutafuta mzingo wa eneo lilotiwa kivuli kwenye hili umbo..
👉Alafu Dadii mwenyeweee Kanjanjaa, hajui Kila kituuu
We sio Dadii wee ni Kenge Mmoja tu uliyekua unaogopa Hesabu 🤣
Nimejisikia tu Leo kuwatendea hili!!
Povuu povuuu Kisha tuhamie kula kimasihara
Tangu uanze kunyandua mbususu umepata nini?Baba kuwa na pesa na kujua kuendelea kuzizalisha inatosha
Hayo mengine ya kujua hesabu ni mambo madogo sana
Ni heri ujue kunyandua mbususu kwa ustadi kuliko hata kujua kanuni za trapezia
Unatofauti gani na nyani? Hv kwanini hamuoni hata aibu kusifia ujinga? Au ndio kukata tamaa.Baba kuwa na pesa na kujua kuendelea kuzizalisha inatosha
Hayo mengine ya kujua hesabu ni mambo madogo sana
Ni heri ujue kunyandua mbususu kwa ustadi kuliko hata kujua kanuni za trapezia
Namjibia amepata raha raha raha.....nthTangu uanze kunyandua mbususu umepata nini?
2005? Kweli mna vichwa vya panzi. Wenzako tulimaliza miaka ya 1989 kurudi nyuma tunakumbuka vizuri sana. Kwanza huwezi kusahau hizo hesabu mpaka unazeeka. Nyie hamkusoma militia shuleni km mpita njia tu. Ujue maana ya mzingo uje kusahau? Sijui eneo, majira ya nukta, na nini tena? Kumbe watu watupu hivi? Halafu mnajificha kwenye pesa, hivyo vitu havina uhusiano.Hakuna mtu aliyemaliza darasa la saba miaka hio yaani 2005 kurudi nyuma akawa anakumbuka hizo hisabati na kama bado unakumbuka hizo hesabu either wewe Ni mwalimu wa hisabati shule ya msingi Kama sio mwalimu Basi ubongo wako huna kazi ya kufanya
Wanaozijua mpaka Leo Basi wamezipitia nankujikumbusha kwanza
Nafikiri anapata burudani kwani burudani sio kupata??Tangu uanze kunyandua mbususu umepata nini?
Umeeleweka tunaweza onana au pendekeza njia yoyote kwa upande wako itayofaa zaidi nikupe mtihani wa darasa la tano hata nje ya JF nipo tayari kuonana na wewe nikukabidhi mtihani uufanye mimi nipo free weekend.... siupendi kubishana Sana.2005? Kweli mna vichwa vya panzi. Wenzako tulimaliza miaka ya 1989 kurudi nyuma tunakumbuka vizuri sana. Kwanza huwezi kusahau hizo hesabu mpaka unazeeka. Nyie hamkusoma militia shuleni km mpita njia tu. Ujue maana ya mzingo uje kusahau? Sijui eneo, majira ya nukta, na nini tena? Kumbe watu watupu hivi? Halafu mnajificha kwenye pesa, hivyo vitu havina uhusiano.
Et Baba wa nyumba...
Haiwezekani unasomesha mtoto Intaneshino skuli, alafu jioni mtoto wako anarudi home.
Ile ameshakula Cha usiku, anachukua Daftari, anakufata wewe Baba yake, Baba umekaa kwenye Sofa, na Miwani yako na Upara, kifua wazi ,na Pensi lako , Baba Bonge na likitambi hilooo alafu mbaya zaidi Tall unamwili mkubwaaa
Binti yako wa Darasa la Sita, anakuambia "Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Eneo la Trapeza, Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Uwiano , Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Eneo la Nusu duara lenye nusu kipenyo kwakutumis Pai =22/7, Dadii nielekeze namna yakusoma majira ya nukta , Dadii nielekeze Namna ya kutafuta mzingo wa eneo lilotiwa kivuli kwenye hili umbo..
👉Alafu Dadii mwenyeweee Kanjanjaa, hajui Kila kituuu
We sio Dadii wee ni Kenge Mmoja tu uliyekua unaogopa Hesabu 🤣
Nimejisikia tu Leo kuwatendea hili!!
Povuu povuuu Kisha tuhamie kula kimasihara
Umeutoa wapi huo mtihani. We umechanganyikiwa kalale. Mi hayo kwangu ni mambo madogo, hata uwe wa form four basi tu hapa JF hakuna anayemjua mwenzieUmeeleweka tunaweza onana au pendekeza njia yoyote kwa upande wako itayofaa zaidi nikupe mtihani wa darasa la tano hata nje ya JF nipo tayari kuonana na wewe nikukabidhi mtihani uufanye mimi nipo free weekend.... siupendi kubishana Sana.
Kama ni ujinga basi usingekuwepo hapa dunianiUnatofauti gani na nyani? Hv kwanini hamuoni hata aibu kusifia ujinga? Au ndio kukata tamaa.
Tangu uanze kujicream umepata niniTangu uanze kunyandua mbususu umepata nini?
Acha uboya na wewe. Kwani ubaba ni kujua mahesabu ya darasani? Mbona mababu zetu waliendesha familia zao kwa mafanikio kabisa bila kujua hata kusoma na kuandika, sembuse kujua mahesabu??
Acha uboya na wewe. Kwani ubaba ni kujua mahesabu ya darasani? Mbona mababu zetu waliendesha familia zao kwa mafanikio kabisa bila kujua hata kusoma na kuandika, sembuse kujua mahesabu??
Aaah Alaaaa , Taikuni wa Fasihi , Mzee wa Kataa Ndoa, unakata Ndoa alafu unataka watoto?.😂😂😂
Vijana mmevurugwa Kweli.
Mmeamua kutusagia kunguni Baba zenyu