Unajiita Baba/Kichwa cha Familia halafu mtoto wako anakuletea swali la Hesabu ya Darasa la tano, hujui!!

Unajiita Baba/Kichwa cha Familia halafu mtoto wako anakuletea swali la Hesabu ya Darasa la tano, hujui!!

Hesabu nilizopiga za kumnyandua mama yake.
Kwa siku hii ya hatari, niEXCUTE SIMPLE HARMONI MOTION kwa speed gani, nimuweke kwenye angle gani, nifanyaje ili utelezi uwe mwingi friction ipungue,mzigo umwagikie ndani kabisa. 😂
Hesabu hizo zinatosha.
 
Hesabu nilizopiga za kumnyandua mama yake.
Kwa siku hii ya hatari, niEXCUTE SIMPLE HARMONI MOTION kwa speed gani, nimuweke kwenye angle gani, nifanyaje ili utelezi uwe mwingi friction ipungue,mzigo umwagikie nandani kabisa. 😂
Hesabu hizo zinatosha.
Hahahaha na imetosha, Toto asilete ujinga
 
Dadii Nina mambo meng...nenda Kwa Mama yako.

Na jamaa yangu fulan ukooni yeye hakusoma , jamaa wanae wakimletea daftari, kwanza anazigeuza juu chini .


Sema anavyopambana kusomesha balaaa
😂Na mama mtu nikishindwa tutaita waandishi wa habari kutolea ufafanuzi 😂😂
 
Hesabu nilizopiga za kumnyandua mama yake.
Kwa siku hii ya hatari, niEXCUTE SIMPLE HARMONI MOTION kwa speed gani, nimuweke kwenye angle gani, nifanyaje ili utelezi uwe mwingi friction ipungue,mzigo umwagikie ndani kabisa. 😂
Hesabu hizo zinatosha.
😂😂
 
Waalimu kazi yao nini ....niwalipe halafu niwasaidie majukumu yao ....huo nao utoto pia....nimelipa ada na ghalama nyingingine ili mtoto wangu afundishwe sio mie nimfundishe .
 
Waalimu kazi yao nini ....niwalipe halafu niwasaidie majukumu yao ....huo nao utoto pia....nimelipa ada na ghalama nyingingine ili mtoto wangu afundishwe sio mie nimfundishe .
Dadii kwenye moja na mbili😂😂
 
Ndo maana siwez oa mwanamke kilaza[emoji23]
Mwanamke kilaza unamjua wewe?

Kwa muktadha huo hata mama yako tutamwita kilaza kwa kuzaa mtoto asiyewaza sawasawa kwa ubongo wake maana mada mezani ina-discus masuala ya kinababa wewe unachomekea habari za kinamama.

Hiyo ni sifa mojawapo ya watoto waliozaliwa na vilaza.
 
Et Baba wa nyumba...

Haiwezekani unasomesha mtoto Intaneshino skuli, alafu jioni mtoto wako anarudi home.

Ile ameshakula Cha usiku, anachukua Daftari, anakufata wewe Baba yake, Baba umekaa kwenye Sofa, na Miwani yako na Upara, kifua wazi ,na Pensi lako , Baba Bonge na likitambi hilooo alafu mbaya zaidi Tall unamwili mkubwaaa


Binti yako wa Darasa la Sita, anakuambia "Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Eneo la Trapeza, Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Uwiano , Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Eneo la Nusu duara lenye nusu kipenyo kwakutumis Pai =22/7, Dadii nielekeze namna yakusoma majira ya nukta , Dadii nielekeze Namna ya kutafuta mzingo wa eneo lilotiwa kivuli kwenye hili umbo..


[emoji117]
Alafu Dadii mwenyeweee Kanjanjaa, hajui Kila kituuu


We sio Dadii wee ni Kenge Mmoja tu uliyekua unaogopa Hesabu [emoji1787]


Nimejisikia tu Leo kuwatendea hili!!
Povuu povuuu Kisha tuhamie kula kimasihara
Kwahyo kama baba sikufanikiwa kapata elim na mtoto wangu najitahid apate elim bora unataka kusemaje?

Kazi ya baba ni kuhakikisha mtoto anapata elim na malezi bora pamoja na familia kwa ujumla.

Hayo mengine ni yako umeamua kujiandikia kwa vibe zako za pombe pombe
 
heri ujue kunyandua mbususu kwa ustadi kuliko hata kujua kanuni za trapezia
 
Mwalimuuu ni ka miaka 5 Sasa, utakaweza?.
Miaka mitano yote iyo, nimeshazoea kufundisha watoto wa miaka mitatu. Kumfundisha mtoto unatakiwa uwe very patient. Plus vimotisha vya hapa na pale. Ukitaka kujifunza highest degree of patience fundisha daycare. 😊😊
 
Miaka mitano yote iyo, nimeshazoea kufundisha watoto wa miaka mitatu. Kumfundisha mtoto unatakiwa uwe very patient. Plus vimotisha vya hapa na pale. Ukitaka kujifunza highest degree of patience fundisha daycare. 😊😊
Hongera nitakuja unifundishe maana watoto ni noma
 
Back
Top Bottom