Unajiita Baba/Kichwa cha Familia halafu mtoto wako anakuletea swali la Hesabu ya Darasa la tano, hujui!!

Ndio shida ya wanawake hii. Wanataka wanaume tujue kila kitu.
 
Mimi nilikuwa napata hesabu 15 ya 50😂 alafu Dadi ndo awe hivo sijui tutawaambia nn watu😂😂😂
Dadii Nina mambo meng...nenda Kwa Mama yako.

Na jamaa yangu fulan ukooni yeye hakusoma , jamaa wanae wakimletea daftari, kwanza anazigeuza juu chini .


Sema anavyopambana kusomesha balaaa
 
Umeutoa wapi huo mtihani. We umechanganyikiwa kalale. Mi hayo kwangu ni mambo madogo, hata uwe wa form four basi tu hapa JF hakuna anayemjua mwenzie
Sual la form four unajua wewe nimekwambia tafuta muda wako unaoweza kuwa free nikupe pepa la darasa la tano sio muda wa mipasho Kama unaimba taarabu
 
Esabu za la tano mimi na miaka yangu 42 wapi na wapi mzee?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…