makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hahahaha na imetosha, Toto asilete ujingaHesabu nilizopiga za kumnyandua mama yake.
Kwa siku hii ya hatari, niEXCUTE SIMPLE HARMONI MOTION kwa speed gani, nimuweke kwenye angle gani, nifanyaje ili utelezi uwe mwingi friction ipungue,mzigo umwagikie nandani kabisa. π
Hesabu hizo zinatosha.
πNa mama mtu nikishindwa tutaita waandishi wa habari kutolea ufafanuzi ππDadii Nina mambo meng...nenda Kwa Mama yako.
Na jamaa yangu fulan ukooni yeye hakusoma , jamaa wanae wakimletea daftari, kwanza anazigeuza juu chini .
Sema anavyopambana kusomesha balaaa
ππHesabu nilizopiga za kumnyandua mama yake.
Kwa siku hii ya hatari, niEXCUTE SIMPLE HARMONI MOTION kwa speed gani, nimuweke kwenye angle gani, nifanyaje ili utelezi uwe mwingi friction ipungue,mzigo umwagikie ndani kabisa. π
Hesabu hizo zinatosha.
Utasikia shule nyingine hazifundishi kabisaa WifeπNa mama mtu nikishindwa tutaita waandishi wa habari kutolea ufafanuzi ππ
πππUtasikia shule nyingine hazifundishi kabisaa Wife
Nasimamia maendeleo yake tuu inatosha....Hoja iwe mzazi ndo Mwalimu wakwanza wakumsaidia mtoto.
Hapa la Msingi nikwamba Usiache kujitutumua mbele ya wanao
Kabisaaa π€£Hahahaha na imetosha, Toto asilete ujinga
Dadii kwenye moja na mbiliππWaalimu kazi yao nini ....niwalipe halafu niwasaidie majukumu yao ....huo nao utoto pia....nimelipa ada na ghalama nyingingine ili mtoto wangu afundishwe sio mie nimfundishe .
Mwanamke kilaza unamjua wewe?Ndo maana siwez oa mwanamke kilaza[emoji23]
Kapenda kufundishwa na dadii trapeza ππππSasa Unalipa Ada ya nini.?
Ndio maana kuna Walimu.
Kwahyo kama baba sikufanikiwa kapata elim na mtoto wangu najitahid apate elim bora unataka kusemaje?Et Baba wa nyumba...
Haiwezekani unasomesha mtoto Intaneshino skuli, alafu jioni mtoto wako anarudi home.
Ile ameshakula Cha usiku, anachukua Daftari, anakufata wewe Baba yake, Baba umekaa kwenye Sofa, na Miwani yako na Upara, kifua wazi ,na Pensi lako , Baba Bonge na likitambi hilooo alafu mbaya zaidi Tall unamwili mkubwaaa
Binti yako wa Darasa la Sita, anakuambia "Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Eneo la Trapeza, Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Uwiano , Dadii nielekeze jinsi ya kutafuta Eneo la Nusu duara lenye nusu kipenyo kwakutumis Pai =22/7, Dadii nielekeze namna yakusoma majira ya nukta , Dadii nielekeze Namna ya kutafuta mzingo wa eneo lilotiwa kivuli kwenye hili umbo..
[emoji117]Alafu Dadii mwenyeweee Kanjanjaa, hajui Kila kituuu
We sio Dadii wee ni Kenge Mmoja tu uliyekua unaogopa Hesabu [emoji1787]
Nimejisikia tu Leo kuwatendea hili!!
Povuu povuuu Kisha tuhamie kula kimasihara
Mimi nitawafundisha chalii zangu mbinu za kutafuta pesa madaftari atakagua mama aoNi
Ni nani akague daftari za watoto wetu?
Ni nani awezaye kugundua kua mwalimu fulan anayefundisha mtoto wangu, anamuingiza chaka mtoto
Miaka mitano yote iyo, nimeshazoea kufundisha watoto wa miaka mitatu. Kumfundisha mtoto unatakiwa uwe very patient. Plus vimotisha vya hapa na pale. Ukitaka kujifunza highest degree of patience fundisha daycare. ππMwalimuuu ni ka miaka 5 Sasa, utakaweza?.
Hongera nitakuja unifundishe maana watoto ni nomaMiaka mitano yote iyo, nimeshazoea kufundisha watoto wa miaka mitatu. Kumfundisha mtoto unatakiwa uwe very patient. Plus vimotisha vya hapa na pale. Ukitaka kujifunza highest degree of patience fundisha daycare. ππ