Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,029
- 3,520
Aksante kwa Ushauri.Tumia browser utaiona Public Enemy
Mshana nipo nae kwenye uzi flani amaizing sana kule mkuu,alafu hili jamaa linaangalia sura, koote kaweka dislike, kwenye comment ya Mshana limeogopa kudislike[emoji38]
Acha umama jamaa! Kwani unatatizo na nani?Nina 43 mkuu, nisamehe nimekosa mimi nimekosa ila mimi sio naniliii
Anyway naomba usi ni quote mkuuu 💩💩💩💩💩💩
[emoji38][emoji38]public enemy! HakikaTumia browser utaiona Public Enemy
Uwezi kuta mwanamke mrembo yuko JF, waliomo humu wanasura ngumu kama za hakina Mdee, Tulia, ......!Nafurahi kukuona tena mrembo wa culture me [emoji847]
BrowserNimetoka Ku update app hapa Ila Bado sioni Dislike. Au Ni Kwa Vifaa vyenye uwezo upi??
Do ya thing hommie.Eti sister watu wana nongo sana alaf naewachezea akili nina 19 wao unakuta wana 30+ huko ila wanalialia tu hapa 🤣🤣🤣
Ndiwooooooh!!! Dear [emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]Nafurahi kukuona tena mrembo wa culture me [emoji847]
Anaitwa Kabinti ka ludilo amemaindi kweliAksante kwa Ushauri.
Nimeona Uzi mwingine mdau analalamika kapewa Dislike nyingi Imenipasa nicheke. Tumefikia Hatua ya kujali Like na Dislike.
Anyway Like hii Comment nijiskie vizuri.
Anaitwa Kabinti ka ludilo amemaindi kweliAksante kwa Ushauri.
Nimeona Uzi mwingine mdau analalamika kapewa Dislike nyingi Imenipasa nicheke [emoji3][emoji3][emoji3]. Tumefikia Hatua ya kujali Like na Dislike.
Anyway Like hii Comment nijiskie vizuri.
😂😂😂😂alafu hili jamaa linaangalia sura, koote kaweka dislike, kwenye comment ya Mshana limeogopa kudislike[emoji38]
Bure kabisa wewe hata kwa mkopo sikusogelei😡😡Ndiwooooooh!!! Dear [emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]
huyu dogo ye34nbe kiukweli amechafukwaUna miaka 19 wapi wewe mzee, hivi kwanini wanaume wa siku hizi mnadeka deka na kujifanya watoto sana!? ni kukimbia majukumu?
Kuna mkwepu jrHapa JF ni raraa reree peke yake anaye-like bila kubagua.
[emoji3][emoji3][emoji3] Ale Chuma Hiko