Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

This is very true, Nina rafiki yangu huwa ananiambia yeye hawezi mapenzi yasiyo na amsha amsha, nilikuwa namuelezea sisi huwa hatugombani ovyo, most of the time issues zetu huwa tuna solve kwa mazungumzo, akashangaa 'Hee' sasa hapo mna enjoy nini? Mapenzi ni vurugu, mgombane hasa, mapenzi yasiyo na amsha amsha Mimi siyawezi, Mimi natafutaga ugomvi, nikiona pamepoa naboreka' nilicheka sana.! 😂
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Utajua hujui mimba ikiingia kwa mtoto wa form 3! Hapo ndipo utajua jamhuri ina macho
hahahaa akiwa dent huwezi kumpa uhuru wakujiachia hivyo na hata kuongozana nae hudhubutu kabisa, ila kina mwafulani wakitaa fresh tu
 
What's your zodiac sign brother?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…