Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Umsadie hata kwa kidole kufanya nini?
 
[emoji3064]eti hata kwa kidole, WTF
 
Mwache avune anichopanda
 
Hatari mkuu...mie nilipewa moja hiyo nilichokaje.

Mtu mwenyewe huna mbele wala nyumba kama mche wa sabuni.
 
Kauli ilionifanya nimpige chini moja kwa moja na sijamwambia tatizo nini ni kuniambia

"Najuta kuitupa ile namba ya yule kaka wa TanRoads" Baada ya ugomvi kidogo.

Hii kauli ilinifanya nimwone huyu anadhani maisha ni gambling, nilikapenda hivyo hivyo japokuwa ni under educated, sio financial independent, anaongea broken english(Atainiabisha mbele ya my colleagues) nikayabeba madhaifu yake yote yan nlikuwa naenda nayo na naenda kumfix . Yan anaona bora Moster asiemjua kuliko anaemjua, mtoto ni mzuri sana moyo unauma ila nimejikaza kiume, nimepoteza mazima akipiga simu napokea then i act normal...Anapiga simu daily anajisumbua tu, Tatizo wanawake midomo yao haina break yan wanadhani si huwa hatuna maneno ya kusema tunayo ila for the sake of well being of both of us we decide to zipper our mouth.

Alafu I have a question for you women , ivi kunuka huko chini ni ugonjwa au somebody is just not good at cleaning he P ? Hii haina uhusiano na what i said earlier [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nshaombwaga misamaha a million times before sijakung'uta mikono na kusonga mbele kama injili.

Tangu hapo nilitambua mwanamke ni mtu wa aina gani na jinsi ya ku deal nae. Harsh reality!

Harsh reality wanawake wanapenda Ma-hooligan, sijuagi kwanini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pole sana mzeebaba, huyo mtoto kila nikimvutia picha naiona taswira ya Cappuccino Tunda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!

Piga moyo konde mkuu kisongeshe tu ki Hiphop...Ila kuhusu harufu ya mzoga watakuja kujibu akina Espy, Karma na Heaven Sent
 
Pole sana mzeebaba, huyo mtoto kila nikimvutia picha naiona taswira ya Cappuccino Tunda [emoji23][emoji23][emoji23]!

Piga moyo konde mkuu kisongeshe tu ki Hiphop...Ila kuhusu harufu ya mzoga watakuja kujibu akina Espy, Karma na Heaven Sent

haina noma mzeee, ningemuweka yule angenifanya zombe na kameza hela yangu mingi sana mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…