Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Hata jana alikuja kibaruani kwangu. i encouraged her to start the meds.She like "I miss the good old days,nisaidie basi hata kwa kidole"
But man,inanikasirisha mno nikikumbuka kua I tried that had,breaking all my personal principles making her happy and see our relationship work but she only took me for granted,akadharau machale yangu ambayo mi nayaaminia mno.niliwanyima hadi sister zangu good time to make that hoe happy afu nikaaambiwa nina shida maybe kwenye malez sababu sijiamini kabisa.ni ubinadamu tu ndo unafanya niongee nae hadi leo
Umsadie hata kwa kidole kufanya nini?
 
Hata jana alikuja kibaruani kwangu. i encouraged her to start the meds.She like "I miss the good old days,nisaidie basi hata kwa kidole"
But man,inanikasirisha mno nikikumbuka kua I tried that had,breaking all my personal principles making her happy and see our relationship work but she only took me for granted,akadharau machale yangu ambayo mi nayaaminia mno.niliwanyima hadi sister zangu good time to make that hoe happy afu nikaaambiwa nina shida maybe kwenye malez sababu sijiamini kabisa.ni ubinadamu tu ndo unafanya niongee nae hadi leo
[emoji3064]eti hata kwa kidole, WTF
 
I suspected she was about to start mahusiano mapya nikamuuliza akaruka but viashiria viliendelea kuwepo.
Nikamuuliza tena n she came out like "We mwanaume una shida mahala,HUJIAMINI KABISAAAA.JIFUNZE KUJIAMINI BANA,UNABOA".
Yaani siwez sema nilivyojisikia since I 100% trusted my insticts that shit was bout to go down.
Siku anakwenda kunyanduliwa na huyo boya i had a dream,nikamuuliza asubuhi akanikumbusha "nisivyojiamini" but alikwenda,nikaona hotel walioingia.I refrained from having sex with her for a while before we broke up.
lONG STORY SHORT, she is now HIV+.
Mwache avune anichopanda
 
Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage

Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in. Hii ni kutokana na mmoja kuacha kuweka efforts to make it work au kupuuza hisia za mwenzie.

Hali hii huambatana na kauli za kukaraisha nafsi ambazo mmojawapo huzitoa just to make the situation worse. Lets share zile kauli zilizowahi kuchafua nafsi zetu! Nakumbuka hizi:

"We mbona hauko smart kama vijana wenzio"

"Una gubu sana we mwanaume hadi unaboa"

"Sa utapigia wanaume wenzio simu hadi lini?"

"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"

"Sasa kama mtu humuamini unakuwa nae wa nini..si umuache tu!"
Hatari mkuu...mie nilipewa moja hiyo nilichokaje.

Mtu mwenyewe huna mbele wala nyumba kama mche wa sabuni.
 
Kauli ilionifanya nimpige chini moja kwa moja na sijamwambia tatizo nini ni kuniambia

"Najuta kuitupa ile namba ya yule kaka wa TanRoads" Baada ya ugomvi kidogo.

Hii kauli ilinifanya nimwone huyu anadhani maisha ni gambling, nilikapenda hivyo hivyo japokuwa ni under educated, sio financial independent, anaongea broken english(Atainiabisha mbele ya my colleagues) nikayabeba madhaifu yake yote yan nlikuwa naenda nayo na naenda kumfix . Yan anaona bora Moster asiemjua kuliko anaemjua, mtoto ni mzuri sana moyo unauma ila nimejikaza kiume, nimepoteza mazima akipiga simu napokea then i act normal...Anapiga simu daily anajisumbua tu, Tatizo wanawake midomo yao haina break yan wanadhani si huwa hatuna maneno ya kusema tunayo ila for the sake of well being of both of us we decide to zipper our mouth.

Alafu I have a question for you women , ivi kunuka huko chini ni ugonjwa au somebody is just not good at cleaning he P ? Hii haina uhusiano na what i said earlier [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nshaombwaga misamaha a million times before sijakung'uta mikono na kusonga mbele kama injili.

Tangu hapo nilitambua mwanamke ni mtu wa aina gani na jinsi ya ku deal nae. Harsh reality!

Harsh reality wanawake wanapenda Ma-hooligan, sijuagi kwanini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kauli ilionifanya nimpige chini moja kwa moja na sijamwambia tatizo nini ni kuniambia

"Najuta kuitupa ile namba ya yule kaka wa TanRoads" Baada ya ugomvi kidogo.

Hii kauli ilinifanya nimwone huyu anadhani maisha ni gambling, nilikapenda hivyo hivyo japokuwa ni under educated, sio financial independent, anaongea broken english(Atainiabisha mbele ya my colleagues) nikayabeba madhaifu yake yote yan nlikuwa naenda nayo na naenda kumfix . Yan anaona bora Moster asiemjua kuliko anaemjua, mtoto ni mzuri sana moyo unauma ila nimejikaza kiume, nimepoteza mazima akipiga simu napokea then i act normal...Anapiga simu daily anajisumbua tu, Tatizo wanawake midomo yao haina break yan wanadhani si huwa hatuna maneno ya kusema tunayo ila for the sake of well being of both of us we decide to zipper our mouth.

Alafu I have a question for you women , ivi kunuka huko chini ni ugonjwa au somebody is just not good at cleaning he P ? Hii haina uhusiano na what i said earlier [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana mzeebaba, huyo mtoto kila nikimvutia picha naiona taswira ya Cappuccino Tunda 😂😂😂!

Piga moyo konde mkuu kisongeshe tu ki Hiphop...Ila kuhusu harufu ya mzoga watakuja kujibu akina Espy, Karma na Heaven Sent
 
Pole sana mzeebaba, huyo mtoto kila nikimvutia picha naiona taswira ya Cappuccino Tunda [emoji23][emoji23][emoji23]!

Piga moyo konde mkuu kisongeshe tu ki Hiphop...Ila kuhusu harufu ya mzoga watakuja kujibu akina Espy, Karma na Heaven Sent

haina noma mzeee, ningemuweka yule angenifanya zombe na kameza hela yangu mingi sana mzee
 
Back
Top Bottom