Kwanza ebu njoo apaππ,,nani kakwambia mi wifi ako!!!,hujui unaweza kua unanifukuzia ndege zangu weweππππππππππππ Mi mshangazi kweli shauri yako.!!
Wifi unaye mshangazi nangai
Sijui hata ilikua akili ya wapi, umri huo nlikuw la nne/tano flan hv... School tulikua na yale madawati tunakaa wawili dadeq nkipangwa na mdada mwalimu akitoka namtoa nduki binti wa watuMkuu kwanini?π
Wewe ni Mhenga, unastahili heshima zako98 hadi 2000 miaka ya A level hiyo, tupo tunajisomea mara paap tunasikia tangazo la mzee mkapa, Nyerere kafariki, tukahisi nchi inakwisha!
Gumbo la Y2K, kwamba usiku wa kuamkia January 1, 2000 dunia itafikia mwisho...
Kama ww uliangalia world cup ya 1998 na ww haupo mbali na ufalmeWewe ni Mhenga, unastahili heshima zako
Wifi acha ujuaji!! Kwa ndege gani wa kupotezewa humu??kwanza ebu njoo apaππ,,nani kakwambia mi wifi ako!!!,hujui unaweza kua unanifukuzia ndege zangu weweπππππππππ
Asante kwa kunipa heshima yangu mkuu.Wewe ni Mhenga, unastahili heshima zako
πππSema umeongea point,, enhee nipe nipe basi jamaniWifi acha ujuaji!! Kwa ndege gani wa kupotezewa humu??
Niulize mimi nikupe details za kichaka cha JF shauri yako utatapeliwa ohhh π€£π€£π€£
Nikiona dada yupo kwenye kamati ya harusi najua msos uhakika π¦Ύπ¦Ύnamna gani paleeeeeeeWifi acha ujuaji!! Kwa ndege gani wa kupotezewa humu??
Niulize mimi nikupe details za kichaka cha JF shauri yako utatapeliwa ohhh π€£π€£π€£
Nakumbuka enzi hizo daftari za mistari mikubwa na midogo kwa ajili ya kujifunza mwandiko kwa wanafunzi zilikuwa zinapatikana maduka ya Tanzania Elimu Supplies tu.
Nakumbuka pia tulikuwa tunapewa madaftari bure shuleni kila mwaka shule ikifunguliwa na likiisha unakwenda kumuonyesha mwalimu anakupa jingine jipya.
Nakumbuka enzi hizo kulikuwa na mashirika ya uchukuzi kila mkoa Mwanza ilikuwa KAUMA, Kagera ilikuwa KAGERA RETCO, Iringa ilikuwa IRINGA RETCO, Dodoma ilikuwa KAUDO, wadau mtaongezea.. Morogoro, Rukwa na kule kaskazini yalikuwa yanyanaitwaje.
Kwa hyo blaza ukiwa na miaka 10 ilikua na miaka demu?
Miaka hiyo nilikuwa tajiri wa wanafunzi shuleni kwetu babu yangu alikuwa ananipa shilingi mia nakusanya marafiki zangu wote tunakula bata shuleni vibabu mandazi kashata nk mia chenji InabakiMimi binafsi nimezaliwa mwaka 1988 wakati ambao Tanganyika & Zanzibar zilikuwa kwenye muungano uliozaa Tanzania.
Wiki ikiyopita niliamua kujipa likizo binafsi,kwakuwa ninafanya kazi nyingi kwa takribani mwaka mzima bila kupumzika,nikaona huu ni muda muafaka wa kuipumzisha akili!
!.,Aiseeee !
Mwaka 1998 to 2000 ,inapaswa kuwa miaka yenye kumbukumbu kwa wengi wetu!
Kaa kwa password πππππSema umeongea point,, enhee nipe nipe basi jamani
Ulitisha sana mkuuMiaka hiyo nilikuwa tajiri wa wanafunzi shuleni kwetu babu yangu alikuwa ananipa shilingi mia nakusanya marafiki zangu wote tunakula bata shuleni vibabu mandazi kashata nk mia chenji Inabaki
hakika wanawake hatupendani,,shda ako m niingie cha kiume sioππππKaa kwa password ππ
Kipi kimefanya hivi sasa usiwe tajiri?Ningezaliwa miaka hiyo saivi ningekuwa tajiri sana.