Shuleni kwetu tulikuwa na michango 3 maarufu,kama hujalipa hiyo husogei darasani!1. Elnino pale home maji yalijaa balaa.
2. Ugaidi ubalozi wa marekani yani yale mabomu tuliyasikia.
3. Kifo cha Nyerere.
4. Kufutwa kwa mtihani darasa la saba 1997 na kurudiwa 1998. Nilikua mdogo sana ila nakumbuka.
5. Kuanza kwa michango ya wazazi ili kujenga shule za sekondari, ilikua kila mwanafunzi buku 5 kama sijasahau. Michango hii ndio iliwezesha kupata shule kadhaa ambapo baadae nilisoma moja ya shule hizo.
6. World cup ufaransa 1998.
7. Yote ya yote kirusi cha Y2K kilivyotishia computer kuzima dunia nzima 1999 kwenda 2000.
8. Bwana Kibwetere kuwachoma watu kanisani Uganda.
9. Kutangazwa kwa mwisho wa dunia 2000.
N.k n.k
😂😂😂 Nitaleta mrejesho😂😂😂😂 wifi pata pesa uchezee wanaume.!
Raha sana kuwachezea hawa viumbe asikwambie mtu.!!
Fanya hivo uone 😂😂😂😂 Nitaleta mrejesho
ila nikijichanganya utajutaaaa 😂😂😂Fanta hivo uone 😂
Muhenga on flick!Iko kama hiv
- 1998 nimempoteza mama angu mzazi nikiwa mtoto mdogo tu Darasa la pili. Hii ndio kumbukumbu yangu kubwa mpaka leo
- 1999 nakumbuka msiba wa mwalimu nyerere ndio kumbukumbu yangu kubwa maana ilikua inasemekana akifa Nyerere Tanzania kutatokea vita. Siku ile nikiwa shulen nakumbuka kuwaona walimu wakiwa na huzuni sana, nilikua darasa la 3
- 2000 nakumbuka ndio kwa mara ya kwanza kabisa nafanya mtihani unaoitwa wa Taifa wa Darasa la 4. Tulikua tunaambiwa huo mtihani hutakiwi kukatakata hovyo majibu 😂
Miaka 10 mi nlikua najua niaje ni ya kukojolea tuHiiii kqmbq hiiii 🤣🤣🤣🤣
Hujawahi kuwa sawa🤣🤣🤣Mwaka 2000 nakumbuka nilikuwa natumwa nikamuite mdada mmoja Scola na kaka yangu
Mkuu yaani ile feeling kama ulikua kichwani Mwangu.98 hadi 2000 miaka ya A level hiyo, tupo tunajisomea mara paap tunasikia tangazo la mzee mkapa, Nyerere kafariki, tukahisi nchi inakwisha!
Gumzo la Y2K, kwamba usiku wa kuamkia January 1, 2000 dunia itafikia mwisho...
Pamoja Mkuu, mimi wakati huo nipo Primary tena chini kabisaAsante kwa kunipa heshima yangu mkuu.