HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Aisee kumbe mtoto wa juzi2012 Nilifanya pepa ya chemistry ya kupima uelewa mpaka nikawa nafurahi huku najibuu...!! matokeo kutoka ndalichakoo akatunyoosha balaaa shikamoo mama ndalii 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kumbe mtoto wa juzi2012 Nilifanya pepa ya chemistry ya kupima uelewa mpaka nikawa nafurahi huku najibuu...!! matokeo kutoka ndalichakoo akatunyoosha balaaa shikamoo mama ndalii 😀 😀
Yule ndo alitakiwa aendelee kuwa pale NECTA, hakika Elimu ingekuwa bora sanaYule Mama Mungu anamuona
Ungekufa tunilitaka kujiua kwa kujipiga risasi kwa Bunduki aina ya shot Gun baada ya kuambiwa nimepata division ZERO...
Daah yule jamaa alijua kunimaliza.
Hongera kwa kupata Division 4Nilipata dv four [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila mindset ya kusoma Azania ilinisaidia sana chuo..
Maana nilianziaga certificate[emoji1787][emoji1787][emoji1787] up to the top
Mi nilipataJf kila mtu alipata one
ChaiSintosahau paper limevuja, tukafanya solving usiku mzima, kuingia kwenye mtihani kitu chenyewe kabisa, ile imefika nusu saa tukaambiwa tusimame wakakusanya makaratasi yao wakatugawia mtihani mwingine, nusu ya darasa tuliangua vilio
ChaiMwalimu wa hesabu alituambia calculator haziruhusiwi kwenye chumba cha mtihani.
Kuja kusoma melekezo, vikokotoo vinaruhusiwa.
Iliniuma sana ningepata A nakuja kupata B.
Itakuwa amemaliza form four 2019 na kuendelea.Kumbe mnaruhusiwa kutumia calculator kwenye mitihani?
ChaiNakumbuka ilikuaa paper la math, yani nilivyoona paper nikajua A uwakika si nikashangilia kwa nguvu kabla paper lijanza[emoji28].
Msimamizi akaja kunikagua kama nina chabo, lakini sikuwa na kitu nilikuwa kipanga kweli wa math japo nilisoma shule ya kata.
Na kweli matokeo yakivyotoka me ndio mwanafunzi wa kwanza kata ya chanika kupata A ya math, kutoka shule ya kata.[emoji1487]
AiseeThose days, mi nasolve maswali yangu kadhaa , rafiki wa karibu akawa amelala huku akisema " hayo hayatoki aisee, tulale tu" mi nikawa nafutilia vizuri sana yale maswali...kesho yeye alianza kupewa paper , naona mtu anageuka kuniangalia kwa huzuni...ile kufungua tu paaaaap, maswali kama yalivyo
Chai99 hiyo....naenda kupiga paper ya chemistry kesho yake....nikapiga konyagi nikawa top....asubuhi naingia kwenye mtihani sina habari niko wayuwayu....hangover kama India...Mzee mzima nikagonga nikasepa mchana tulikua sijui na paper ya kiswahili...nikapiga safari mbili...zile za mbuyu...! Ndio nikaenda kwenye paper la kiswahili
Matokeo..Chem C
...Kisw A
Mpaka leo konyagi sijaiacha....japo ladha yake imebadilika..!
ChaiNachokumbuka ni yule mwamba kujaza booklet mbili mtihani wa mathematics then matokeo ni f na ndo alikuwa mbabe wa mathematics class yetu.
Mimi ukijumlisha kurasa hazikujaa Tatu Ila nikapiga kagentleman pass
Apo kuna zero nshaiona kabisaa.Sasa hao wote wanaosema wamefaulu ni kweli kabisa mkuu hata hawadanganyi...
Ila kuna hati hati ya wewe kuwa ndo unadanganya hapa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Calculator sio unakaa nayo full time ila kuna upuuzi unaitwa logarithm lazima utumieItakuwa amemaliza form four 2019 na kuendelea.
kufa ni pie.Ungekufa tu
Hauwezi amini Ila ndo ukweli na karudia mara kibao na hakufanikiwa kupata creditChai
Ndiyo SIASA hiyo BOSS wangu 🙏🏽🙏🏽Nilipata dv four 😂🤣🤣🤣🤣🤣
Ila mindset ya kusoma Azania ilinisaidia sana chuo..
Maana nilianziaga certificate🤣🤣🤣 up to the top
Hapo utasikia kuna SPECIAL SCHOOLS kama MZUMBE, ILBORU, TABORA BOYS na KIBAHA SECONDARY. Lakini ukijaribu kuangalia TOP TEN YA MWAKA 2007 ya KIDATO CHA NNE, wote niliwaburuza m'maee...😂😂wee ngoma ya ndalichakoo ilikuwaa