I LOVE GIRLS
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 857
- 1,323
hakikisha unapendwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa watu 7 washakidownloadJinsi ya kuitumia MODE ONE soma hiki
Hawa viumbe ndio maana wanatafunwa bure na wahuni sababu wahuni wanaijua siri ya game.
Binafsi nimefanya utafiti na majaribio kabla ya kushare nanyi hiki kitabu
Mshindwe wenyewe
Mkuu we mkaushie atarudi meenyeweDemu nimemuwekea vikwazo vya kiuchumi Jana kanitumia Bonge la message eti Mimi nampendea K yake dah!!
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mkuu anakiburi balaa huyu manziMkuu we mkaushie atarudi meenyewe
Kwa muujibu wa kitabu hiyo ni aina flani yabwanaeake wanaopenda kuumiza wanaume huyo hata kama akikupa papuchi ipo siku atakuomba hela ya nauli na atakuambia kapamda boda yupo njiani then siku inaisha kimyaa
Demu nimemuwekea vikwazo vya kiuchumi Jana kanitumia Bonge la message eti Mimi nampendea K yake dah!!
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hauju kitu mkuu, mimetogoza demu tangu mwezi wa Kwanza tarehe 4 mpaka leo hii sijaambulia kitu na nimesha toboka vitu vingi sana but me sikuwa na lengo la mbususu nilikuwa nalengo la kumuweka ndani kabisa kama wife but imeshindikana, ni juzi tu nikaja gundua kuwa anayepewa mbususu ni jamaa furani hivi ambaye anamademu kibao na anawapanga asikwambie mtu.Hii ilikuwaga zamani ila hawa wasasa wapenda hela mta-share tu na jamaa ambae hampi hela ila hawez kukunyima kabisa kama unampa hela
Yan Yuko hvyo hvyo huyu dada afu eti anachukia chukia hovyo mimi naisi anaelekea kunishindaKwa muujibu wa kitabu hiyo ni aina flani yabwanaeake wanaopenda kuumiza wanaume huyo hata kama akikupa papuchi ipo siku atakuomba hela ya nauli na atakuambia kapamda boda yupo njiani then siku inaisha kimyaa
Haaaaah haaaaah ukweli mwananguBlaza nimecheka balaaa
Mkuu nakushauri usome hiki kitabu kitakusaidia sanaHauju kitu mkuu, mimetogoza demu tangu mwezi wa Kwanza tarehe 4 mpaka leo hii sijaambulia kitu na nimesha toboka vitu vingi sana but me sikuwa na lengo la mbususu nilikuwa nalengo la kumuweka ndani kabisa kama wife but imeshindikana, ni juzi tu nikaja gundua kuwa anayepewa mbususu ni jamaa furani hivi ambaye anamademu kibao na anawapanga asikwambie mtu.
Wanawake hawaeleweki wanataka nini msela wangu
Sahihi [emoji817]%Hahahahah hivi kumtongoza mwanamke online au kwa simu hizo bia anatuhudumia nani humu?[emoji23]
Mwanamke kumuwin unahitaji uwe na negotiation skills za hali ya juu ili kumshawishi akupe matokeo unayoyataka.
We began to do that on elementary school. Kwa sasa tushakuwa wababa tunaendeleza kujinoa tu. Mambo yamekuwa mepesi baada ya ujio wa simu.
Most guys sikuhizi hawana hizi skills na kwakuwa wamegundua short cut ni ku introduce miamala basi wamejazana ujinga kuwa bila hela hupati mwanamke ila cha kushangaza ni hadi muuza lamba lamba ana mke na watoto, konda wa daladala, machinga wote wana wake na watoto.
Ubaya ni kuwa ukitumia hela utakuwa na access ya aina flani ya wanawake ila sio makundi yote. Kuna wanawake wa hovyo wa kuokoteza na kuna wanawake waliostaarabika wenye maadili safi.
I lavuu [emoji23]Mwingin Hana maleng nae yeye ni part time Ila utakuta anaanz I lavuu I lavuu [emoji23][emoji3][emoji3]lazma akupige chini vijana wanakosea
Jaman [emoji23]Mtu kama wewe Ukiona unapewa hata mara moja ujue Umeonewa huruma tu,Shukuru sana!
Hata sijui nitakipataje ndugu yangu, lakini pia me ni mvivu kusomaMkuu nakushauri usome hiki kitabu kitakusaidia sana
Wavivu wakusoma vitabu utawajua tu ata humu wapo😀😀😂😂Yani wewe hapo hauna utofauti na mtu aliye andika kama unataka kuwa tajiri soma kitabu flani na akiambatanisha icho kitabu.
Wewe kama umekisoma kweli kwanini usi share ulicho jifunza wewe kama wewe lakini mtu akihitaji kupata maarifa zaidi ndo asome kitabu siyo bla bla nyingine izo.
Vijana mnawaza chini ,hii nchi haijengwi chiniDemu ukiwa unampa hela hawezi kukunyima papuchi