Unamhonga pesa mzigo hakupi, halafu kuna boya mmoja anamtafuna bure

Unamhonga pesa mzigo hakupi, halafu kuna boya mmoja anamtafuna bure

Mkuu anakiburi balaa huyu manzi
Hahaaa... hiyo ni tabia ya mademu karibu wote wazuri hua wana viburi balaa. Mi kuna mmoja alizingua nikamkatia mawasiliano nikajua atajirudi, huu unakatika mwezi wa pili sasa kapiga kimya na mimi kimya..!
 
Hahaaa... hiyo ni tabia ya mademu karibu wote wazuri hua wana viburi balaa. Mi kuna mmoja alizingua nikamkatia mawasiliano nikajua atajirudi, huu unakatika mwezi wa pili sasa kapiga kimya na mimi kimya..!
Hapo moyo unauma kichiz unasubiri akucheki, iyo mindset itakutesa Kuna kitu unatakiwa ufanye uyo dem amesha move on
 
Na huu ndio Ukwel
Screenshot_20220323_123148.jpg
 
Back
Top Bottom